KAMATI KUU YA BARAZA LA WATOTO LAKUTANA DODOMA KUTOA TAMKO LA WATOTO

Waheshimiwa Wabunge walioitwa kusikiliza ajenda ya mtoto na kuhakikisha inaingia katika mchakato wa katiba.
kamati kuu la Baraza la watoto limekutana mjini Dodoma chini ya Uongozi wa mwenyekiti wake Ummy Jamaal kutoa tamko la watoto kwa waheshimiwa wabunge na waandishi wa habari wakitoa msisitizo wa ajenda ya mtoto kuwa sehemu ya mchaakato wa katiba.
Jambo kubwa walilosisitiza ni kuwaomba Ukawa warudi bungeni ili kumalizia mchakato wa kutengeneza katiba. Mheshimiwa Sophia Simba, waziri wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi.jpg)
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Mhe. Dk. Pindi H. Chana afungua kikao cha baraza la watoto dodoma
.jpg)
.jpg)
.jpg)
9 years ago
MichuziBARAZA KUU CUF LAKUTANA ZANZIBAR
11 years ago
GPL
BARAZA KUU LA WAFANYAKAZI NSSF LAKUTANA JIJINI DAR
11 years ago
Michuzi17 Apr
Baraza Kuu la Wafanyakazi NSSF Lakutana Dar es Salaam



11 years ago
Michuzi.jpg)
Baraza Kuu la Uongozi CUF Taifa lakutana jijini dar es salaam leo
.jpg)
.jpg)
.jpg)
10 years ago
GPL
BARAZA LA WATOTO WENYE ULEMAVU TAIFA LAPATA VIONGOZI, WAKUTANA NA WABUNGE DODOMA!
10 years ago
Michuzi.jpg)
MKUTANO MKUU WA BARAZA LA WATOTO WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WAANZA LEO MJINI DODOMA
kila baada ya miaka 2 Baraza la Watoto la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hufanya mabadiliko ya...
5 years ago
CCM Blog
BARAZA KUU LA ULAMAA BAKWATA LATO TAMKO KUKABILIANA NA CORONA

Baada ya tafakari iliyozingatia ushauri wa kitaalamu na miongozo ya kiafya katika kujikinga na kudhibiti ugonjwa wa Corona (COVID 19); pia baada ya kuzingatia kuwa funga ya...
9 years ago
MichuziRAIS MAGUFULI ATOA ZAWADI ZA SIKUKUU YA KRISMASI KWA WATOTO WANAOISHI KWENYE KITUO CHA KUHUDUMIA WATOTO WA KIJIJI CHA MATUMAINI MKOANI DODOMA.