BARAZA LA WATOTO WENYE ULEMAVU TAIFA LAPATA VIONGOZI, WAKUTANA NA WABUNGE DODOMA!
![](http://api.ning.com:80/files/2Za8s5sYvAIX*G1Nvo-Un6xoohYzr5V17-jeYntcCEdCS1-vq5YR4RQAcx8Y37JxzkbVpcKzsRtNuBDPuZCBZKgFa*sTqcGp/MwenyekitiwaBarazalaWatotoDodomaYohanaDominicakizungumza.jpg?width=650)
Mwenyekiti wa Baraza la Watoto Dodoma, Yohana Dominic akizungumza. Hajra Sadru akitoa dukuduku lake. Mtoto Eric Gembe akieleza jinsi…
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7733_i26TLk/XmD4pxs3RsI/AAAAAAALhOc/Q3lppQgtvGIX4FkuFN-qVkDaY6dAelH3wCLcBGAsYHQ/s72-c/m1AA-768x512.jpg)
MKE WA RAIS MAMA JANETH MAGUFULI AKABIDHI VITI VYA MWENDO (WHEELCHAIRS) KWA WABUNGE KWA AJILI YA WATOTO WENYE ULEMAVU
![](https://1.bp.blogspot.com/-7733_i26TLk/XmD4pxs3RsI/AAAAAAALhOc/Q3lppQgtvGIX4FkuFN-qVkDaY6dAelH3wCLcBGAsYHQ/s640/m1AA-768x512.jpg)
11 years ago
Habarileo27 May
Baraza la wenye ulemavu kuzinduliwa Julai
BARAZA la Watu wenye Ulemavu litazinduliwa rasmi mwezi Julai mwaka huu kwa ajili ya kuhudumia asilimia 13 ya Watanzania walio katika kundi hilo.
10 years ago
Mtanzania28 Apr
Watoto wenye ulemavu wamkuna Natasha
NA GEORGE KAYALA
MWIGIZAJI Susan Humba ‘Natasha’ amewataka wenye makampuni ya uandaaji wa filamu za bongo kuwatumia watoto wenye vipaji ambao wana ulemavu wa viungo.
Natasha alitoa kauli hiyo kwa watoto hao wenye ulemavu wa viungo wanaosoma Shule ya Sekondari Jangwani, jijini Dar es Salaam, baada ya kuonyesha uwezo wao wa kuigiza mbele yake.
Wanafunzi hao walionesha vipaji vyao mwishoni mwa wiki iliyopita, wakati wa uzinduzi wa shirika lisilo la kiserikali la Save Vulnerable Foundation...
10 years ago
Mtanzania04 May
Barnaba: Tusiwatenge watoto wenye ulemavu
NA RUTH MNKENI
WIMBO wa ‘Tuwapende’ wa msanii wa Bongo Fleva, Barnaba umetumika katika kampeni ya kuhamasisha jamii isiwatenge watoto wenye ulemavu wa akili.
Barnaba alionyesha kwa vitendo kuhamasisha jamii hiyo kupitia wimbo wake huo huku akicheza na baadhi ya watoto hao waliokuwa wamekusanyika katika matembezi hayo mwishoni mwa wiki.
“Mimi kwa kweli niliguswa ndiyo maana nikatoka na wimbo huo kwa kuwa naamini hakuna mtu anayependa kupata mtoto mwenye ulemavu wowote na ikitokea hivyo huwa...
9 years ago
StarTV18 Dec
Wazazi watakiwa kutowaficha watoto wenye ulemavu
Wazazi wa watoto wenye ulemavu katika mkoa wa Tanga wameendelea kulaani tabia ya wazazi kuwaficha watoto wao majumbani badala ya kuwapeleka shuleni kupata elimu na maarifa yatakayowasaidia kwenye maisha yao.
Wazazi hao walikuwa wakizungumza katika hafla iliyowakutanisha walemavu kwenye kituo cha watoto wenye ulemavu cha YDCP kama sehemu ya kujumuika nao kusherehekea sikukuu ya Krismasi.
Wazazi hao wamesema ipo sababu ya msingi ya kuondokana na tabia ya kuwaficha watoto wenye ulemavu...
10 years ago
GPLWATOTO WENYE ULEMAVU WAWAPONGEZA FPCT NA ERIKS
11 years ago
Mwananchi28 Jan
Njia bora za kuwasaidia watoto wenye ulemavu
11 years ago
Tanzania Daima15 May
Tuwashirikishe wenye ulemavu kuendeleza uchumi wa taifa
ULEMAVU unaweza kumtokea mtu yeyote bila kutarajia katika mwili iwe kwenye macho, miguu, mikono, masikio, akili au ngozi. Kuna sababu nyingi zinazosababisha ulemavu, ikiwa ni pamoja na ajali, matumizi ya...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Muziki watumika kuwasaidia watoto wenye ulemavu wa akili