Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baraza la wenye ulemavu kuzinduliwa Julai

BARAZA la Watu wenye Ulemavu litazinduliwa rasmi mwezi Julai mwaka huu kwa ajili ya kuhudumia asilimia 13 ya Watanzania walio katika kundi hilo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Baraza la Walemavu kuzinduliwa Julai

WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imepanga kufanya uzinduzi wa Baraza la Taifa la Walemavu Julai mwaka huu. Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Dk. Stephen Kebwe, alieleza hayo bungeni...

 

10 years ago

GPL

BARAZA LA WATOTO WENYE ULEMAVU TAIFA LAPATA VIONGOZI, WAKUTANA NA WABUNGE DODOMA!

Mwenyekiti wa Baraza la Watoto Dodoma, Yohana Dominic akizungumza. Hajra Sadru akitoa dukuduku lake. Mtoto Eric Gembe akieleza jinsi…

 

5 years ago

Michuzi

SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WATU WENYE ULEMAVU TANZANIA WAIOMBA SERIKALI KUSAIDIA WATU WENYE UZIWI KUPATA TAARIFA SAHIHI KUHUSU CORONA


Na Said Mwishehe,Michuzi Globu ya jamii

UONGOZI wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu  Tanzania (SHIVYAWATA )lumesema kwamba uwepo wa tishio la virusi vya Corona (COVID-19) nchini umesababisha hofu kubwa kwa watu wenye uziwi kwani imekuwa ngumu kwao kupata maelekezo na miongozo ya Serikali pamoja na Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jisinsia, Wazee na Watoto.

Umesema kuwa matangazo mengi ambayo yametolewa na Wizara ya Afya yanashindwa kuwafikia watu wenye uziwi kwani hakuna watalaam wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

90% wenye ulemavu hawana elimu

ZAIDI ya asilimia 90 ya walemavu wote wilayani Urambo, Tabora hawajasoma kutokana na mazingira duni ya kuipata elimu. Wilaya hiyo ina wenye ulemavu zaidi ya 900, kati yao watu 860...

 

10 years ago

Habarileo

Wenye ulemavu waomba kusaidiwa

HALMASHAURI ya Jiji la Tanga imeombwa kuangalia uwezekano wa kutenga fedha kwa ajili ya kusaidia manunuzi ya vifaa visaidizi kwa ajili ya watu wenye ulemavu.

 

11 years ago

Habarileo

‘Tembeleeni wenye ulemavu Buhangija’

WAZAZI na walezi waliopeleka watoto wao katika kituo maalumu cha kulelea watoto wenye ulemavu Buhangija katika Manispaa ya Shinyanga, wameombwa kujenga desturi ya kuwatembelea watoto hao.

 

10 years ago

Habarileo

Wenye ulemavu watoa ya moyoni

WATU wenye ulemavu wameomba vyama vya siasa kutowachanganya na wasio na ulemavu kwenye kura za maoni kwa ajili ya kuwania nafasi mbalimbali za kisiasa kutokana na ugumu wanaopata katika kushinda nafasi hizo.

 

10 years ago

Habarileo

Wenye ulemavu wahimizwa kutojinyanyapaa

Balozi wa China nchini, Dk Lu Youging WANAFUNZI wenye ulemavu mbalimbali wanaosoma na kulelewa katika kituo cha shule ya msingi Mugeza Museto Manispaa ya Bukoba, mkoani Kagera wameshauriwa kutumia muda wao mwingi katika masomo ili kupata ufaulu mkubwa na kutojinyanyapaa kuwa wao ni tofauti na wengine.

 

10 years ago

Mwananchi

Wenye ulemavu waingie mahabusu na magongo

Hili linawezekana? Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Elias Masamaki ametaka watu wenye ulemavu waruhusiwe kuingia na magongo mahabusu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani