Baraza la Walemavu kuzinduliwa Julai
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imepanga kufanya uzinduzi wa Baraza la Taifa la Walemavu Julai mwaka huu. Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Dk. Stephen Kebwe, alieleza hayo bungeni...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo27 May
Baraza la wenye ulemavu kuzinduliwa Julai
BARAZA la Watu wenye Ulemavu litazinduliwa rasmi mwezi Julai mwaka huu kwa ajili ya kuhudumia asilimia 13 ya Watanzania walio katika kundi hilo.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-tyk0JWEk0oQ/U4dk1xbGpeI/AAAAAAAFmSE/a3tJvpsvxi0/s72-c/gavel.jpg)
Kesi ya Zitto Kabwe dhidi ya Baraza la Wadhamini la CHADEMA,Dkt. Slaa kusikilizwa Julai 31
![](http://1.bp.blogspot.com/-tyk0JWEk0oQ/U4dk1xbGpeI/AAAAAAAFmSE/a3tJvpsvxi0/s1600/gavel.jpg)
MAHAKAMA Kuu Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, imepanga kusikiliza mapingamizi ya awali ya pande zote mbili katika kesi iliyofunguliwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe dhidi ya Baraza la Wadhamini la Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Katibu Mkuu, Willbrod Slaa, Julai 31, mwaka huu.
Mheshimiwa, Jaji John Utamwa alisema kesi ilipangwa jana kwa ajili ya kutajwa na kwamba itasikilizwa mapongamizi ya awali ya pande zote mbili...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f*E8U3rGFXqXoRy0q2hN*kgf83cKPO*RsiSmijcTXGNLS*HzWLrcUYtMEMx4Tlu4FnBJuOrqobab13tGDKXWwa7Y6WtSku2d/KURA.png?width=650)
NEC: UANDIKISHAJI BVR DAR KUANZA JULAI 16-25, PWANI JULAI 7-20
10 years ago
Habarileo03 Jul
BVR Pwani Julai 7, Dar Julai 16
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ambayo iliahirisha uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa teknolojia ya Biometric Voters Registration (BVR) katika Jiji la Dar es Salaam na Mkoa wa Pwani hivi karibuni, sasa imesema utafanyika kuanzia Julai 7 hadi 20 kwa Mkoa wa Pwani na Julai 16 hadi Julai 25 kwa Jiji la Dar es Salaam.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LRabT8flycGpSjRawy16xZhKQZ4dRHkuPJegC3bfb7VwiZehHprWhkWl5cHHKKUAT1J55yupOgQTZIRarnUSdYMWQgz8YWng/wheelchair2.jpg?width=650)
WATOTO WALEMAVU MAHENGE WANUFAIKA NA MSAADA WA BAISKELI ZA WALEMAVU
10 years ago
MichuziKILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALEMAVU KITAIFA IRINGA , SERIKALI YA TANZANIA YAPIGA MARUFUKU UJENZI WA MAJENGO YASIYO RAFIKI NA WALEMAVU
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oxIvCczYTpU/VI1pEgNfjpI/AAAAAAAG3Ho/aYQr7dY_5cw/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
KATIBU MTENDAJI BARAZA LA BIASHARA ZANZIBAR AZUNGUMZA NA WANAHABARI KUHUSU MKUTANO WA NANE WA BARAZA HILO UTAKAOFANYIKA DESEMBA 16 ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-oxIvCczYTpU/VI1pEgNfjpI/AAAAAAAG3Ho/aYQr7dY_5cw/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1rxkBN0R96M/VI1pE7Keu6I/AAAAAAAG3Hs/DT4Rij6th0E/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-i3trQkc8jPs/VI1pFPBTVxI/AAAAAAAG3H0/2KAhyO1CVnQ/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
10 years ago
BBCSwahili19 Feb
11 years ago
Tanzania Daima22 May
Tujiandae ya Nestori kuzinduliwa
MWIMBAJI wa nyimbo za injili, Mtanzania anayeishi nchini Australia, Mkuruta Nestori, anatarajia kuzindua albamu yake iitwayo ‘Tujiandae’ ikiwa katika mfumo wa DVD, shughuli itakayofanyika kwenye Kanisa la Victoria Living Church...