WATOTO WALEMAVU MAHENGE WANUFAIKA NA MSAADA WA BAISKELI ZA WALEMAVU
![](http://api.ning.com:80/files/LRabT8flycGpSjRawy16xZhKQZ4dRHkuPJegC3bfb7VwiZehHprWhkWl5cHHKKUAT1J55yupOgQTZIRarnUSdYMWQgz8YWng/wheelchair2.jpg?width=650)
MOROGORO, Kampuni ya Kibaran Resources inayojihusisha na utafiti wa uchimbaji wa madini ya Uno kwenye Kijiji cha Epanko, imetoa msaada wa baiskeli 30 za walemavu kwa watoto wenye ulemavu katika kata ya Mahenge Wilaya ya Ulanga mkoani Morogoro. Baiskeli hizo zimeundwa maalumu kwa watoto wanaoishi vijijini. Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kukabidhi baiskeli hizo, Grant Pierce, ambaye ni mkurugenzi wa Kampuni ya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YhYbj--ZTeU/VEvQBROABNI/AAAAAAAGtW0/GDyWkLFxguo/s72-c/unnamed%2B(73).jpg)
WATOTO WALEMAVU MAHENGE WANUFAIKA NA MSAADA WA BAISKELI
![](http://4.bp.blogspot.com/-YhYbj--ZTeU/VEvQBROABNI/AAAAAAAGtW0/GDyWkLFxguo/s1600/unnamed%2B(73).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-j47mUbKPPxM/VEvQBT1cCII/AAAAAAAGtW4/-ieNA8r5OnE/s1600/unnamed%2B(74).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-BpNknAAF8EU/VEvQBl1CI6I/AAAAAAAGtXA/_uB5xBvPRMQ/s1600/unnamed%2B(75).jpg)
10 years ago
GPL![](http://www.yesmobility.com/sitebuildercontent/sitebuilderpictures/Tuffcare/venture_227_manual_wheelchair.jpg)
MSAADA WA BAISKELI YA WALEMAVU TOKA MAREKANI
10 years ago
MichuziKILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALEMAVU KITAIFA IRINGA , SERIKALI YA TANZANIA YAPIGA MARUFUKU UJENZI WA MAJENGO YASIYO RAFIKI NA WALEMAVU
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Zds5s2Ww4Ho/VOSRy0-vC9I/AAAAAAAC0F0/-XfNfpT7OWA/s72-c/_MG_4711.jpg)
MAANDALIZI YA MIAKA 15 YA TAMASHA LA PASAKA YAENDELEA KUNOGA,BAISKELI 100 KUTOLEWA KWA WALEMAVU MIKOA KUMI
![](http://4.bp.blogspot.com/-Zds5s2Ww4Ho/VOSRy0-vC9I/AAAAAAAC0F0/-XfNfpT7OWA/s1600/_MG_4711.jpg)
9 years ago
Habarileo15 Oct
Tenisi walemavu waomba msaada
TIMU ya taifa ya tenisi kwa upande wa walemavu, imewataka wadau mbalimbali kuwaunga mkono na kuwasaidia vifaa vya michezo waweze kutimiza malengo yao ya kufanya vizuri katika michuano mbalimbali.
10 years ago
Tanzania Daima01 Nov
Walemavu wa ukoma Tanga waomba msaada
KAMBI ya wazee wenye ulemavu wa ukoma iliyopo Msufini Kata ya Ngomeni wilayani hapa, Mkoa wa Tanga inakabiliwa na changamoto ya uchakavu wa vitanda hali inayosababisha kulala chini. Wakizungumza na...
10 years ago
Habarileo17 Jun
‘Msifiche watoto walemavu’
TAASISI ya Tiba ya Mifupa (MOI) imewataka wazazi wenye watoto wadogo wenye matatizo ya miguu na mikono iliyopinda kuachana na mila potofu kwa kuwaficha, badala yake wawahishe hospitali ili kupata matibabu na kukua vizuri.
10 years ago
Dewji Blog29 Jun
Kanisa la Methodist latoa msaada kwa walemavu Chato
Mchungaji wa kanisa la Methodist Huru Tanzania (FMCT), Conrad Edimud Bitoye (kulia) akikabidhi msaada wa nafaka na vitu mbalimbali kwa Katibu wa Chama cha walemavu mkoa wa Geita Sokolo Samweli.
Deborah Bookher akizindua rasmi kisima cha bomba katika kijiji cha Ibondo kata ya Buseresere wilayani Chato.
Deborah Bookher akishiriki chakula cha pamoja na walemavu.
Na Alphonce Kabilondo, Chato
KANISA la Methodist Huru Tanzania (FMCT) Jimbo la Geita mkoani Geita limetoa msaada wa nafaka mchele...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iiq-5qTP3-mmvLYbCvX6kmua2nvNBpKNQBI*swpOefMv7qGCIxIfHEvLnn7mU1PaVKEhwWytldhkEyw7rpPJIHtmyaYULfp9/1.jpg?width=650)
AIRTEL YATOA MSAADA KWA KUNDI LA WALEMAVU