WATOTO WALEMAVU MAHENGE WANUFAIKA NA MSAADA WA BAISKELI
![](http://4.bp.blogspot.com/-YhYbj--ZTeU/VEvQBROABNI/AAAAAAAGtW0/GDyWkLFxguo/s72-c/unnamed%2B(73).jpg)
Mtoto Mwidini Ligubuga kutoka kijiji cha Mbuga akifurahia kiti chake kutoka kwa Kibaran Resources . Kushoto ni Mkurugenzi wa kampuni hiyo nchini Bw. Grant Pierce, na kulia ni Mkurugenzi Mkuu Bw. Andrew Spinks
Kaimu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mahenge Bw. Furaha Lilongeri akimbeba Mtoto Magdalena Nwira kutoka kijiji cha Kichanganyi kupokea kiti chake. Mkurugenzi wa Kibaran Resources Grant Pierce anasaidia kukitayarisha hicho kiti.
Watoto Mahenge wakipokea viti kutoka kwa kampuni ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LRabT8flycGpSjRawy16xZhKQZ4dRHkuPJegC3bfb7VwiZehHprWhkWl5cHHKKUAT1J55yupOgQTZIRarnUSdYMWQgz8YWng/wheelchair2.jpg?width=650)
WATOTO WALEMAVU MAHENGE WANUFAIKA NA MSAADA WA BAISKELI ZA WALEMAVU
10 years ago
GPL![](http://www.yesmobility.com/sitebuildercontent/sitebuilderpictures/Tuffcare/venture_227_manual_wheelchair.jpg)
MSAADA WA BAISKELI YA WALEMAVU TOKA MAREKANI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Zds5s2Ww4Ho/VOSRy0-vC9I/AAAAAAAC0F0/-XfNfpT7OWA/s72-c/_MG_4711.jpg)
MAANDALIZI YA MIAKA 15 YA TAMASHA LA PASAKA YAENDELEA KUNOGA,BAISKELI 100 KUTOLEWA KWA WALEMAVU MIKOA KUMI
![](http://4.bp.blogspot.com/-Zds5s2Ww4Ho/VOSRy0-vC9I/AAAAAAAC0F0/-XfNfpT7OWA/s1600/_MG_4711.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sW8tLnVR1aN6m9YHy7TCBMMysndZj6Ze8xOHQzdT3CjESVxJhAvJfriI*RJMVgxNEIbw4fJB3jnUO46KfdS0XmnGp6Ft4*15/001.MUHIMBILI.jpg?width=650)
WATOTO WENYE MARADHI YA SARATANI WANUFAIKA NA LISHE BORA
9 years ago
StarTV04 Jan
Watoto yatima mkoani Njombe wanufaika na kadi za CHF
Serikali mkoani Njombe imezindua mpango wa tiba kwa kadi (CHF) kwa watoto yatima na waishio katika mazingira magumu na hatarishi ili kuhakikisha makundi hayo yanapata huduma za afya kwa uhakika.
Mkuu wa mkoa wa Njombe Dkt. Dkt.Rehema Nchimbi, amesema Mpango huo umelenga kuwafikia watoto wote ndani ya mkoa, ambao wapo katika vituo vya kulelea watoto yatima na wale waishio katika kaya masikini.
Akizindua mpango huo mkuu wa mkoa wa Njombe Dkt. Dkt.Rehema Nchimbi, amesema, lengo ni...
9 years ago
Habarileo15 Oct
Tenisi walemavu waomba msaada
TIMU ya taifa ya tenisi kwa upande wa walemavu, imewataka wadau mbalimbali kuwaunga mkono na kuwasaidia vifaa vya michezo waweze kutimiza malengo yao ya kufanya vizuri katika michuano mbalimbali.
10 years ago
Tanzania Daima01 Nov
Walemavu wa ukoma Tanga waomba msaada
KAMBI ya wazee wenye ulemavu wa ukoma iliyopo Msufini Kata ya Ngomeni wilayani hapa, Mkoa wa Tanga inakabiliwa na changamoto ya uchakavu wa vitanda hali inayosababisha kulala chini. Wakizungumza na...
5 years ago
CCM Blog29 May