Watoto yatima mkoani Njombe wanufaika na kadi za CHF
Serikali mkoani Njombe imezindua mpango wa tiba kwa kadi (CHF) kwa watoto yatima na waishio katika mazingira magumu na hatarishi ili kuhakikisha makundi hayo yanapata huduma za afya kwa uhakika.
Mkuu wa mkoa wa Njombe Dkt. Dkt.Rehema Nchimbi, amesema Mpango huo umelenga kuwafikia watoto wote ndani ya mkoa, ambao wapo katika vituo vya kulelea watoto yatima na wale waishio katika kaya masikini.
Akizindua mpango huo mkuu wa mkoa wa Njombe Dkt. Dkt.Rehema Nchimbi, amesema, lengo ni...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi17 Dec
IDARA YA UHAMIAJI MKOA WA NJOMBE YATOA MSAADA KWA WATOTO YATIMA WILAYANI MAKETE
Hivi karibuni Idara ya uhamiaji mkoa wa Njombe iliunga mkono jitihada za mkuu wa wilaya ya makete Josephine Matiro kusaidia vituo vya watoto yatima wilayani humo kwa kutoa msaada wa zaidi ya shilingi milioni 1
Akizungumza wakati akikabidhi msaada wao afisa uhamiaji mkoa wa Njombe Rose Mhagama alisema wameguswa na suala hilo na kuamua kuvisaidia vituo vya watoto yatima Makete vitu mbalimbali, na kuwaomba wadau wengine kujitokeza kuwasaidia watoto hao
Kwa upande wake Mkuu wa wilaya Hiyo Bi...
Akizungumza wakati akikabidhi msaada wao afisa uhamiaji mkoa wa Njombe Rose Mhagama alisema wameguswa na suala hilo na kuamua kuvisaidia vituo vya watoto yatima Makete vitu mbalimbali, na kuwaomba wadau wengine kujitokeza kuwasaidia watoto hao
Kwa upande wake Mkuu wa wilaya Hiyo Bi...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9_Yp-0iaPaQ/U7--RiGq0LI/AAAAAAAA6Wg/HCnwL8_W73A/s72-c/0.1airtel+mwanza4.jpg)
AIRTEL YATOA FUTARI KWA WATOTO YATIMA MKOANI MWANZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-9_Yp-0iaPaQ/U7--RiGq0LI/AAAAAAAA6Wg/HCnwL8_W73A/s1600/0.1airtel+mwanza4.jpg)
10 years ago
MichuziAIRTEL YAKABIDHI FUTARI KWA WATOTO YATIMA KATIKA VITUO VITATU MKOANI DAR ES SALAAM.
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-rK1VaY_EFGI/VeNpEL0ZFlI/AAAAAAAH1Dw/l8iu0v-1eeo/s72-c/_MG_9335.jpg)
MAGUFULI ALIVYOPOKELEWA NDANI YA WILAYA YA NJOMBE MKOANI NJOMBE.
![](http://2.bp.blogspot.com/-rK1VaY_EFGI/VeNpEL0ZFlI/AAAAAAAH1Dw/l8iu0v-1eeo/s640/_MG_9335.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zAT65H3Am_E/VeNpGtatB2I/AAAAAAAH1D4/FBH4SCVozZM/s640/_MG_9451.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-K6dpwzuXxpo/VeNojq8T0kI/AAAAAAAH1DQ/VgfvkNY33tI/s640/_MG_9275.jpg)
10 years ago
MichuziKIONGOZI WA MWENGE AKABIDHI KADI ZA CHF KWA WAKINA MAMA JIJINI TANGA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zSHAgTatLuI/XooC40NRpxI/AAAAAAALmHY/zNslRSz1th86nvpZM_IQGReW9_PbtlnygCLcBGAsYHQ/s72-c/35239afa-4ae5-4dcd-be68-f2560a84c510.jpg)
Simba Jamii Tanzania latoa msaada tanki la maji na kifaa cha kuzalisha umeme kituo cha kulelea watoto Yatima mkoani Morogoro
Mnamo tarehe 04 April 2020 kundi la Simba Jamii Tanzania " Ultras" lilikabidhi zawadi ya tank la maji la lita 2,000 pamoja na kifaa cha kuzalisha umeme Jua (Solar) kwa kituo cha kulelea watoto yatima cha Ukhty Raya kilichopo eneo la Mindu mkoani Morogoro.
Akikabidhi misaada hiyo mwakilishi wa Simba Jamii mkoani Morogoro Bwana Rashid "Wizzy" Mbegu alimfahamisha mlezi na msimamizi wa kituo hicho Bi Raya kuwa Simba Jamii itawakabidhi watoto wote wa kituo hicho pea 50 za viatu ilivyovipokea...
Akikabidhi misaada hiyo mwakilishi wa Simba Jamii mkoani Morogoro Bwana Rashid "Wizzy" Mbegu alimfahamisha mlezi na msimamizi wa kituo hicho Bi Raya kuwa Simba Jamii itawakabidhi watoto wote wa kituo hicho pea 50 za viatu ilivyovipokea...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YhYbj--ZTeU/VEvQBROABNI/AAAAAAAGtW0/GDyWkLFxguo/s72-c/unnamed%2B(73).jpg)
WATOTO WALEMAVU MAHENGE WANUFAIKA NA MSAADA WA BAISKELI
![](http://4.bp.blogspot.com/-YhYbj--ZTeU/VEvQBROABNI/AAAAAAAGtW0/GDyWkLFxguo/s1600/unnamed%2B(73).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-j47mUbKPPxM/VEvQBT1cCII/AAAAAAAGtW4/-ieNA8r5OnE/s1600/unnamed%2B(74).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-BpNknAAF8EU/VEvQBl1CI6I/AAAAAAAGtXA/_uB5xBvPRMQ/s1600/unnamed%2B(75).jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sW8tLnVR1aN6m9YHy7TCBMMysndZj6Ze8xOHQzdT3CjESVxJhAvJfriI*RJMVgxNEIbw4fJB3jnUO46KfdS0XmnGp6Ft4*15/001.MUHIMBILI.jpg?width=650)
WATOTO WENYE MARADHI YA SARATANI WANUFAIKA NA LISHE BORA
Meneja Mawasiliano na Matukio wa Vodacom Tanzania, Christina Chacha(wapili toka kushoto) akifurahia jambo na mtoto Anna Rajabu anayelelewa na kupata matibabu ya Saratani katika kituo cha Tumaini la Maisha katika hospitali ya Taifa Muhimbili, Wakati wafanyakazi wa Vodacom Tanzania walipowatembelea na kuzindua mradi wa lishe bora kwa watoto hao wenye kusumbuliwa na maradhi hayo. Ambapo Taasisi ya Vodacom Foundation...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania