Kanisa la Methodist latoa msaada kwa walemavu Chato
Mchungaji wa kanisa la Methodist Huru Tanzania (FMCT), Conrad Edimud Bitoye (kulia) akikabidhi msaada wa nafaka na vitu mbalimbali kwa Katibu wa Chama cha walemavu mkoa wa Geita Sokolo Samweli.
Deborah Bookher akizindua rasmi kisima cha bomba katika kijiji cha Ibondo kata ya Buseresere wilayani Chato.
Deborah Bookher akishiriki chakula cha pamoja na walemavu.
Na Alphonce Kabilondo, Chato
KANISA la Methodist Huru Tanzania (FMCT) Jimbo la Geita mkoani Geita limetoa msaada wa nafaka mchele...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo19 Dec
Kanisa latoa msaada wa vyandarua 2,700
MADHEHEBU ya dini nchini yametakiwa kueneza upendo na kujali maisha ya watu bila kujali itikadi na imani zao ili kuleta utengamano wa kitaifa.
10 years ago
Tanzania Daima02 Oct
Kanisa latoa tahadhari kwa waumini
WAZEE wa Kanisa la Ufunuo lililopo Sinza, Dar es Salaam, wametoa tahadhari kwa waumini wa kanisa hilo kuwa makini na watu wanaotumia majina ya watu kuchafua viongozi hao. Akizungumza na...
10 years ago
MichuziJWTZ LATOA MSAADA KWA WAZEE NA MAYATIMA ZANZIBAR
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6_kw6Sa_xqs/U_IBGc7lQFI/AAAAAAAGAg0/5RjUHX8B0ys/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
BARAZA LA MADIWANI CHATO LATOA TUZO ZA ELIMU
Shule binafsi zilizoongoza ni shule ya msingi Kadama (Kadama English medium), ikifuatiwa na shule ya msingi Emau ( Emau english medium) zote zipo wilayani Chato. Shule za serikali zilizoongoza ni shule ya msingi Magiri iliyoshika nafasi ya kwanza, nafasi ya pili...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LRabT8flycGpSjRawy16xZhKQZ4dRHkuPJegC3bfb7VwiZehHprWhkWl5cHHKKUAT1J55yupOgQTZIRarnUSdYMWQgz8YWng/wheelchair2.jpg?width=650)
WATOTO WALEMAVU MAHENGE WANUFAIKA NA MSAADA WA BAISKELI ZA WALEMAVU
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-h3kcCb6aTuM/VCXAp48QPaI/AAAAAAAGmBk/h1JgpuQ7h-s/s72-c/IMG-20140926-WA0025.jpg)
Shirika la EGPAF latoa msaada wa vifaa tiba kwa Hopitali ya Wilaya ya Kilwa
Halfla ya kukabidhi vifaa hivyo vitakavyotumika katika uchunguzi wa awali wa tatizo la saratani ya mlango wa kizazi kwa akinamama ilifanyika jana katika mji wa Kilwa kivinje.
Akikabidhi vifaa hivyo ikiwamo mashine maalum ya kuchunguzia ili kutambua dalili za awali za ugonjwa huo mratibu wa afya,uzazi na jinsia wa shirika hilo,Angasyege...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iiq-5qTP3-mmvLYbCvX6kmua2nvNBpKNQBI*swpOefMv7qGCIxIfHEvLnn7mU1PaVKEhwWytldhkEyw7rpPJIHtmyaYULfp9/1.jpg?width=650)
AIRTEL YATOA MSAADA KWA KUNDI LA WALEMAVU
9 years ago
MichuziBENKI YA NBC YATOA MSAADA KWA WALEMAVU WA NGOZI
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-z6ekupjVKe4/VUw5APbpLlI/AAAAAAAA8sY/zOJ40sJ4t6c/s72-c/RED%2BCROSS.jpg)
MWENYEKITI WA RED CROSS MKOA ARUSHA AKABIDHI MSAADA KWA WALEMAVU
![](http://4.bp.blogspot.com/-z6ekupjVKe4/VUw5APbpLlI/AAAAAAAA8sY/zOJ40sJ4t6c/s320/RED%2BCROSS.jpg)
CHAMA cha Msalaba Mwekundu (Red Cross), Mkoa wa Arusha, kimetoa msaada wa vyakula, viatu, Blanketi na nguo, kwa wazee nane na watu wenye ulemavu wa aina mbalimbali 22, ikiwa ni maadhimisho ya chama hicho Duniani, ambapo kilele chake Mei 8 kila mwaka.
Akizungumza leo Jijini Arusha, wakati akikabidhi misaada hiyo, Mwenyekiti wa Chama cha Msalaba mwekundu Mkoa wa Arusha, Christopher Nzera, amesema kuwa misaada hiyo ni moja ya shughuli zao wanazofanya za kusaidia...