JWTZ LATOA MSAADA KWA WAZEE NA MAYATIMA ZANZIBAR
MKUU wa Mkoa Mjini Magharib, Mhe. Abdalla Mwinyi Khamis akizungumza na Wazee wanaoishi katika nyumba za Wazee Sebleni mjini Zanzibar wakati wa hafla ya kukabidhi msaada wa vyakula na vifaa vya usafi vilivyotolewa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) katika kutimiza miaka 50 ya jeshi hilo tangu kuanzishwa kwake mwaka 1964.
WAZEE wanaoishi katika nyumba za wazee Sebleni wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa Mjini Magharib, Mhe. Abdalla Mwinyi (hayupo pichani) wakati akizungumza katika makabidhiano ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog15 Jul
Zantel yatoa msaada wa vyakula kwa jumuiya ya wazee wa Zanzibar
NAIBU Katibu Mkuu, Wizara ya Uwezeshaji, Ustawi wa Jamii , Vijana , Wanawake na Watoto, Nd. Msham Juma Khamis akimkabidhi msaada , Pili Ahmada wakati wa makabidhiano ya msaada wa vyakula uliotolewa na Kampuni ya simu ya Zantel kwa wazee mbali mbali wa Zanzibar, kulia Mkurugenzi wa Biashara wa Zantel Zanzibar, makabidhiano hayo yalifanyika jana Kibanda maiti.
Naibu Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazee Zanzibar (JUWAZA), Mwadini Kutenga akiwakaribisha wageni wakati wa shughuli ya makabidhino ya...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dXUO6Zp0mSQ/U1DSecgETKI/AAAAAAAFblo/oVYLozq6Qdo/s72-c/unnamedb.jpg)
JUMUIYA YA MUZDALIFAT NA TAASISI YA I,H,H YA UTURUKI WATOA SADAKA KWA WATOTO MAYATIMA ZANZIBAR.
![](http://2.bp.blogspot.com/-dXUO6Zp0mSQ/U1DSecgETKI/AAAAAAAFblo/oVYLozq6Qdo/s1600/unnamedb.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LXmbjIZLEdI/U1DSeaKtN7I/AAAAAAAFblk/wTfTZOFvetc/s1600/unnamedc.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bPN35r4VChQ/U1DSgmSmbwI/AAAAAAAFbmE/ZUqPgbPwDXg/s1600/unnamedv.jpg)
10 years ago
Dewji Blog29 Jun
Kanisa la Methodist latoa msaada kwa walemavu Chato
Mchungaji wa kanisa la Methodist Huru Tanzania (FMCT), Conrad Edimud Bitoye (kulia) akikabidhi msaada wa nafaka na vitu mbalimbali kwa Katibu wa Chama cha walemavu mkoa wa Geita Sokolo Samweli.
Deborah Bookher akizindua rasmi kisima cha bomba katika kijiji cha Ibondo kata ya Buseresere wilayani Chato.
Deborah Bookher akishiriki chakula cha pamoja na walemavu.
Na Alphonce Kabilondo, Chato
KANISA la Methodist Huru Tanzania (FMCT) Jimbo la Geita mkoani Geita limetoa msaada wa nafaka mchele...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-h3kcCb6aTuM/VCXAp48QPaI/AAAAAAAGmBk/h1JgpuQ7h-s/s72-c/IMG-20140926-WA0025.jpg)
Shirika la EGPAF latoa msaada wa vifaa tiba kwa Hopitali ya Wilaya ya Kilwa
Halfla ya kukabidhi vifaa hivyo vitakavyotumika katika uchunguzi wa awali wa tatizo la saratani ya mlango wa kizazi kwa akinamama ilifanyika jana katika mji wa Kilwa kivinje.
Akikabidhi vifaa hivyo ikiwamo mashine maalum ya kuchunguzia ili kutambua dalili za awali za ugonjwa huo mratibu wa afya,uzazi na jinsia wa shirika hilo,Angasyege...
9 years ago
Dewji Blog26 Sep
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Shein atoa mkono wa Eid El Hajj kwa wazee wa Welezo na Sebleni Zanzibar
9 years ago
VijimamboMKE WA RAIS WA ZANZIBAR MAMA MWANAMWEMA SHEIN ATOWA MKONO WA EID EL HAJJ KWA WAZEE WA WELEZO NA SEBLENI ZANZIBAR
10 years ago
MichuziZANTEL YATOA MSAADA WA VYAKULA KWA WAZEE Z'BAR
11 years ago
MichuziSERENA HOTEL YAKABIDHI MSAADA WA VYANDARUA NA MAJI KWA JWTZ KWAAJILI YA WAATHIRIKA WA VITA DARFUR
10 years ago
GPLWOLPER ATOA MSAADA KWA WAZEE WASIOJIWEZA JIJINI DAR