SERENA HOTEL YAKABIDHI MSAADA WA VYANDARUA NA MAJI KWA JWTZ KWAAJILI YA WAATHIRIKA WA VITA DARFUR
Mkurugenzi wa masoko wa Hoteli ya Dar es Salaam Serena,Bw. Seraphin Lusala akimkabidhi vyandarua kwa Mkuu wa Tiba wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ),Meja Jenerali AS Mwabulanga wakati wa hafla fupi ya kukabidhi misaada ya vyandarua na maji,vitakavyokabidhiwa kwa waathirika wa vita huko Darfur ambapo misaada hiyo itatolewa na Jeshi letu la kulinda amani huko Darfur,ikiwa ni katika kusherehekea sikukuu ya Muungano wa Tanzania.Kushoto anayeshuhudia ni Mkurugenzi wa Operesheni za Ulinzi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog18 Apr
Tigo yakabidhi msaada kwa Shirika la Red Cross Tanzania kwa ajili ya waathirika wa mafuriko Dumila na Dar es Salaam
Meneja wa Uwajibikaji kwa Jamii kutoka Tigo Bi. Woinde Shisael (kulia) akimkambidhi mfano wa hundi cha kiasi cha Tsh 20,700,000 Kaimu Katibu Mkuu wa Shirika la Red Cross nchini Bi. Bertha Mlay mapema leo katika hafla fupi ya makabidhiano yaliyofanyika makao makuu ya Red Cross, jijini Dar es Salaam. Kiasi hicho kinalenga kuwapatia waathirika wa mafuriko wa Dumila – Morogoro na Dar es Salaam huduma za malazi, maji, chakula, mablanketi, neti za kuzuia mbu na magodoro.
Kaimu Katibu Mkuu wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwmzZ3uN*6uiVUSNwe3IRa5CuMPDDddtuHcn37G-LHRFosMMXDQlfDEumLLwlKXPsXYqCXgscKId1Eoa3GolUpa4/1.jpg?width=650)
TIGO YAKABIDHI MSAADA KWA SHIRIKA LA RED CROSS TANZANIA KWA AJILI YA WAATHIRIKA WA MAFURIKO DUMILA NA DAR ES SALAAM
10 years ago
Dewji Blog07 May
Wizara ya mambo ya nje yakabidhi msaada wa vyandarua hospitali 8 za Pemba na Unguja
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Dkt. Mahadhi Juma Maalim akimkabidhi Waziri wa Afya wa Zanzibar Rashid Seif Suleiman msaada wa Vyandarua kwa ajili ya kumaliza maradhi ya Malaria Zanzibar katika hafla iliyofanyika Wizara ya Afya Mnazimmoja.
Waziri wa Afya Rashid Seif Suleiman akitoa neno la shukrani baada ya kupokea msaada wa vyandarua ambao utatumika katika Hospital nane zinazolaza wagonjwa Unguja na Pemba.
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...
10 years ago
VijimamboWIZARA WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA YAKABIDHI VYANDARUA KWA HOSPITALI NANE ZANZIBAR
10 years ago
MichuziTBL YAKABIDHI MSAADA WA KISIMA CHA MAJI YOMBO VITUKA DAR
10 years ago
MichuziTBL YAKABIDHI MSAADA WA KISIMA CHA MAJI JIMBO LA MPENDAE,ZANZIBAR
10 years ago
Dewji Blog19 Feb
TBL yakabidhi msaada wa kisima cha maji jimbo la Mpendae, Zanzibar
Mwakilishi wa Jimbo la Mpendae, Said Mohammed Dimwa akikata utepe ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa kisima cha maji kwa wananchi wa Mpendae kilichochimbwa kwa udhamini wa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL). Wa pili kulia ni Meneja Uhusiano wa TBL, Doris Malulu.
Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Doris Malulu akigongeana glasi za maji na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Mpendae baada ya uzinduzi wa kisima kilichochimbwa kwa msaada na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), katika Jimbo...
10 years ago
MichuziTBL YAKABIDHI MSAADA WA KISIMA CHA MAJI SHULE YA UHURU MCHANGANYIKO DAR
10 years ago
MichuziTBL YAKABIDHI MSAADA WA KISIMA CHA MAJI KATA YA KING'ONGO,DAR