Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SERENA HOTEL YAKABIDHI MSAADA WA VYANDARUA NA MAJI KWA JWTZ KWAAJILI YA WAATHIRIKA WA VITA DARFUR

Mkurugenzi wa masoko wa Hoteli ya Dar es Salaam Serena,Bw. Seraphin Lusala akimkabidhi vyandarua kwa Mkuu wa Tiba wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ),Meja Jenerali AS Mwabulanga wakati wa hafla fupi ya kukabidhi misaada ya vyandarua na maji,vitakavyokabidhiwa kwa waathirika wa vita huko Darfur ambapo misaada hiyo itatolewa na Jeshi letu la kulinda amani huko Darfur,ikiwa ni katika kusherehekea sikukuu ya Muungano wa Tanzania.Kushoto anayeshuhudia ni Mkurugenzi wa Operesheni za Ulinzi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Tigo yakabidhi msaada kwa Shirika la Red Cross Tanzania kwa ajili ya waathirika wa mafuriko Dumila na Dar es Salaam

1

Meneja wa Uwajibikaji kwa Jamii kutoka Tigo Bi. Woinde Shisael (kulia) akimkambidhi mfano wa hundi cha kiasi cha Tsh 20,700,000 Kaimu Katibu Mkuu wa Shirika la Red Cross nchini Bi. Bertha Mlay mapema leo katika hafla fupi ya makabidhiano yaliyofanyika makao makuu ya Red Cross, jijini Dar es Salaam. Kiasi hicho kinalenga kuwapatia waathirika wa mafuriko wa Dumila – Morogoro na Dar es Salaam huduma za malazi, maji, chakula, mablanketi, neti za kuzuia mbu na magodoro.

2

 Kaimu Katibu Mkuu wa...

 

11 years ago

GPL

TIGO YAKABIDHI MSAADA KWA SHIRIKA LA RED CROSS TANZANIA KWA AJILI YA WAATHIRIKA WA MAFURIKO DUMILA NA DAR ES SALAAM‏

Meneja wa Uwajibikaji kwa Jamii kutoka Tigo Bi. Woinde Shisael (kulia) akimkambidhi mfano wa hundi cha kiasi cha Tsh 20,700,000 Kaimu Katibu Mkuu wa Shirika la Red Cross nchini Bi. Bertha Mlay mapema leo katika hafla fupi ya makabidhiano yaliyofanyika makao makuu ya Red Cross, jijini Dar es Salaam. Kiasi hicho kinalenga kuwapatia waathirika wa mafuriko wa Dumila - Morogoro na Dar es Salaam huduma za malazi, maji, chakula,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wizara ya mambo ya nje yakabidhi msaada wa vyandarua hospitali 8 za Pemba na Unguja

DSC_0364

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Dkt. Mahadhi Juma Maalim akimkabidhi Waziri wa Afya wa Zanzibar Rashid Seif Suleiman msaada wa  Vyandarua kwa ajili ya kumaliza maradhi ya Malaria  Zanzibar katika hafla iliyofanyika Wizara ya Afya Mnazimmoja.

DSC_0366

Waziri wa Afya Rashid Seif Suleiman akitoa neno la shukrani baada ya kupokea  msaada wa vyandarua ambao utatumika katika Hospital nane zinazolaza wagonjwa  Unguja na Pemba.

DSC_0373

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...

 

10 years ago

Vijimambo

WIZARA WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA YAKABIDHI VYANDARUA KWA HOSPITALI NANE ZANZIBAR

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Dkt. Mahadhi Juma Maalim akimkabidhi Waziri wa Afya wa Zanzibar Rashid Seif Suleiman msaada wa Vyandarua kwa ajili ya kumaliza maradhi ya malaria Zanzibar katika hafla iliyofanyika Wizara ya Afya Mnazimmoja.Waziri wa Afya Rashid Seif Suleiman akitoa neno la shukrani baada ya kupokea msaada wa vyandarua ambao utatumika katika Hospital nane zinazolaza wagonjwa Unguja na Pemba.Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa...

 

10 years ago

Michuzi

TBL YAKABIDHI MSAADA WA KISIMA CHA MAJI YOMBO VITUKA DAR

 Diwani wa Kata ya Vituka, Kenny Makinda (kulia), akisaidia kumtwisha ndoo ya maji Mwajuma Mikorota wakati wa hafla ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL),  ya kukabidhi kisima cha maji katika eneo la Nasizi, Vituka kwa Limboa, Temeke, Dar es Salaam juzi.Kushoto ni Ofisa Uhusiano wa TBL, Doris Malulu. Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Doris Malulu (katikati),  akisaidia kumtwisha ndoo ya maji Haisha Juma wakati wa hafla ya TBL,  ya kukabidhi kisima cha maji katika eneo la Nasizi,...

 

10 years ago

Michuzi

TBL YAKABIDHI MSAADA WA KISIMA CHA MAJI JIMBO LA MPENDAE,ZANZIBAR

 Mwakilishi wa Jimbo la Mpendae, Said Mohammed Dimwa akikata utepe ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa kisima cha maji kwa wananchi wa Mpendae kilichochimbwa kwa udhamini wa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL). Wa pili kulia ni Meneja Uhusiano wa TBL, Doris Malulu.
Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL),  Doris Malulu akigongeana glasi za maji na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Mpendae baada ya uzinduzi wa kisima kilichochimbwa kwa msaada na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL),  katika...

 

10 years ago

Dewji Blog

TBL yakabidhi msaada wa kisima cha maji jimbo la Mpendae, Zanzibar

Mwakilishi wa Jimbo la Mpendae, Said Mohammed Dimwa akikata utepe ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa kisima cha maji kwa wananchi wa Mpendae kilichochimbwa kwa udhamini wa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL). Wa pili kulia ni Meneja Uhusiano wa TBL, Doris Malulu.

IMG_6833

Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL),  Doris Malulu akigongeana glasi za maji na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Mpendae baada ya uzinduzi wa kisima kilichochimbwa kwa msaada na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL),  katika Jimbo...

 

10 years ago

Michuzi

TBL YAKABIDHI MSAADA WA KISIMA CHA MAJI SHULE YA UHURU MCHANGANYIKO DAR

 Ofisa Elimu Taaluma Manispaa ya Ilala, Rehema Msogoloni (wa pili kulia) akisaidiana na Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steve Kilindo (wa pili kushoto), kufunua kitambaa ikiwa ni ishara ya makabidhiano ya kisima cha maji kilichojengwa kwa msaada wa TBL katika Shule ya Uhuru Mchanganyiko, Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Winners iliyosimamia ujenzi huo, Balozi mstaafu Herman Mkwizu na Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Anna Mshana. Wanafunzi...

 

10 years ago

Michuzi

TBL YAKABIDHI MSAADA WA KISIMA CHA MAJI KATA YA KING'ONGO,DAR

 Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa King'ongo, Demetrius Mapesi (kulia),akimtwisha ndoo ya maji Radhia Said baada ya kuzindua mradi wa kisima cha maji mwishoni mwa wiki kilichojengwa kwa msaada wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) katika Kata ya King'ongo, wilayani Kinondoni, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Kisima hicho kimejengwa kwa msaada wa TBL. Kushoto ni Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Kanda ya Kinondoni, Joseph Nicholaus
 Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL)...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani