Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kanisa latoa tahadhari kwa waumini

WAZEE wa Kanisa la Ufunuo lililopo Sinza, Dar es Salaam, wametoa tahadhari kwa waumini wa kanisa hilo kuwa makini na watu wanaotumia majina ya watu kuchafua viongozi hao. Akizungumza na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Kanisa Katoliki latoa hofu waumini kuhusu sakramenti

UONGOZI wa Kanisa Katoliki nchini umewatoa hofu waumini wake, kuhusu uwepo wa baadhi ya makanisa yanayodaiwa kuuza sakramenti na kueleza kuwa suala hilo haliwahusu.

 

10 years ago

Dewji Blog

Kanisa la Methodist latoa msaada kwa walemavu Chato

1

Mchungaji wa kanisa la Methodist Huru Tanzania (FMCT), Conrad Edimud Bitoye (kulia) akikabidhi msaada wa nafaka na vitu mbalimbali kwa Katibu wa Chama cha walemavu mkoa wa Geita Sokolo Samweli.

2

Deborah Bookher akizindua rasmi kisima cha bomba katika kijiji cha Ibondo kata ya Buseresere wilayani Chato.

3

Deborah Bookher akishiriki chakula cha pamoja na walemavu.

Na Alphonce Kabilondo, Chato

KANISA la Methodist Huru Tanzania (FMCT) Jimbo la Geita mkoani Geita limetoa msaada wa nafaka mchele...

 

5 years ago

Michuzi

KANISA KUGAWA BARAKOA KWA WAUMINI WAKE

Na Editha Karlo,Kigoma.
Katika kupambana na maambukizi ya virusi vya  ugonjwa wa Corona (Covid 19), Paroko wa parokia ya Mt. Vicent wa Paulo Katubuka jimbi la Kigoma Padre  Stephene Shaiju amesema kanisa limeandaa mkakati wa kuhakikisa kila muumuni anapata barakoa 2 bure kutokana na barakoa kuuzwa bei ambayo siyo kila mtu anaweza kuimudu.

Ameyasema hayo wakati wa misa takatifu iliyoazimishwa parokiani hapo baada ya Daktari kutoa elimu ya kujikinga na maambukizi ya virusi hivyo.

Padre Shaiju...

 

11 years ago

GPL

WAUMINI 30 WA KANISA LA MORAVIAN KORTINI KWA VURUGU

Hii ni safari ya kwenda kusomewa mashitaka yao.
Akina mama wakificha sura zao baada ya kutoka mahakamani.
Watuhumiwa wakiingizwa mahakamani.  …

 

11 years ago

Michuzi

WAUMINI WA KANISA LA ADVENTISTA LA WASABATO WAADHIMISHA SIKU YA MATENDO YA HURUMA KWA KUCHANGIA DAMU

Mpango wa Taifa wa Damu salama kwa kushirikiana na waumini wa dhehebu la Sabato wameendesha zoezi la kuchangia damu katika mikoa mbalimbali hapa nchini. Mikoa hiyo ni Dar-es-salaam, Dodoma, Mwanza, Kilimanjaro,Tabora, Mara, Morogoro, Mbeya na Iringa, lengo likiwa  ni kukusanya chupa 3000 katika mikoa hiyo. Akiongea na waumini waliofika katika kituo cha Damu salama ilala mchikichini Askofu wa Jimbo la Mashariki ambalo linajumuisha mikoa ya Dar-es-salaam, pwani, Dodoma, Morogoro, Lindi,...

 

11 years ago

Michuzi

BARAZA LA WAZEE KANISA LA MORAVIAN TABATA LAWATOA HOFU WAUMINI, LAKANUSHA TAARIFA YA KUZUILIWA KWA IBADA

Wakili wa kujitegemea wa Baraza la wazee wa kanisa la Moravian Usharika wa Tabata Bw. Benjamin Mwakambe akiongea na waandishi wa habari kuhusu amri ya iliyotolewa na mahakama kuzuia Bodi ya wadhamini wa kanisa la Moravian Kanda ya Kusini kusimamisha huduma za kiroho na kijamii katika eneo hilo. Wengine ni Mzee Kiongozi wa Usharika huo Bw.Ernest Isakwisa(kulia) na Hamphrey Mgema (kushoto) Baadhi ya Wazee wa Kanisa la Moravian usharika wa Tabata wakifuatilia masuala mbalimbali wakati wa...

 

10 years ago

Habarileo

Kanisa latoa msaada wa vyandarua 2,700

MADHEHEBU ya dini nchini yametakiwa kueneza upendo na kujali maisha ya watu bila kujali itikadi na imani zao ili kuleta utengamano wa kitaifa.

 

10 years ago

Mwananchi

Kanisa Katoliki latoa msimamo Katiba Mpya

Kanisa Katoliki nchini limeanza rasmi mkakati wa kutoa elimu kuhusu Katiba Inayopendekezwa kwa waumini wake, kutokana na kuondolewa kwa mambo mengi ya msingi yaliyotolewa maoni na wananchi.

 

11 years ago

GPL

KANISA LA UFUFUO LATOA SHUKRANI YA KUPATA HELKOPTA

Christina Shusho na Flora Mbasha wakiimba sambamba na waumini wengine waliohudhuria misa hiyo. Flora Mbasha akiimba katika kanisa la Gwajima. Halima Mdee akisisitiza jambo alipokuwa akiwahutubia waumini wa kanisa…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani