KANISA KUGAWA BARAKOA KWA WAUMINI WAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-_yJRapBsGC0/XqVHT6FgFnI/AAAAAAALoQg/8fBXM1cu08kEzIA7kF8gZOvqQGxiKkhkgCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
Na Editha Karlo,Kigoma.
Katika kupambana na maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa Corona (Covid 19), Paroko wa parokia ya Mt. Vicent wa Paulo Katubuka jimbi la Kigoma Padre Stephene Shaiju amesema kanisa limeandaa mkakati wa kuhakikisa kila muumuni anapata barakoa 2 bure kutokana na barakoa kuuzwa bei ambayo siyo kila mtu anaweza kuimudu.
Ameyasema hayo wakati wa misa takatifu iliyoazimishwa parokiani hapo baada ya Daktari kutoa elimu ya kujikinga na maambukizi ya virusi hivyo.
Padre Shaiju...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5VKOG8MGfNs/XqbRujjvuwI/AAAAAAALoVo/2HFgjjnJOMQnVQNFl3AwSDPXssg9Nx0SgCLcBGAsYHQ/s72-c/BARAKOA.webp)
Njombe:Waumini wa kanisa la KKKT watakiwa kuvaa barakoa wanapoingia kanisani
![](https://1.bp.blogspot.com/-5VKOG8MGfNs/XqbRujjvuwI/AAAAAAALoVo/2HFgjjnJOMQnVQNFl3AwSDPXssg9Nx0SgCLcBGAsYHQ/s400/BARAKOA.webp)
Wito huo umetolewa na askofu wa kanisa hilo dayosisi ya kusini Dkt,George Fihavango mara baada ya ibada ya Jumapili katika kanisa la hilo usharika wa Mji Mwema mjini Makambako,ambapo amesema kuwa waumini wote wanatakiwa kuvaa barakoa wanapokuwa ibadani ili waweze kukabiliana na maambukizi ya virusi vya Corona.
Aidha ametoa wito kwa wakuu...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-jw_a6dwhv0c/XtYip3YH7EI/AAAAAAACL6Y/Xk8aToj8AA8MlRGODF_d9pCznVEuC9CEwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200602_124802.jpg)
KANISA HALISI LA MUNGU BABA LAWAJENGA WAUMINI WAKE KIUCHUMI
![](https://1.bp.blogspot.com/-jw_a6dwhv0c/XtYip3YH7EI/AAAAAAACL6Y/Xk8aToj8AA8MlRGODF_d9pCznVEuC9CEwCLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200602_124802.jpg)
KWA NINI IBADA NI UZALISHAJI?
UFUNGUO:
Katika Mathayo 21:13 Yesu aliwaambia watu aliowakuta wanafanyia biashara hekalumi kwamba; “Nyumba yangu itakuwa Nyumba ya Sala, lakini nyie mumeifanya kuwa...
10 years ago
Tanzania Daima02 Oct
Kanisa latoa tahadhari kwa waumini
WAZEE wa Kanisa la Ufunuo lililopo Sinza, Dar es Salaam, wametoa tahadhari kwa waumini wa kanisa hilo kuwa makini na watu wanaotumia majina ya watu kuchafua viongozi hao. Akizungumza na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v4Ts6wAJqDo*ut8V51bGN2owlZWVoSzUqRTgzMNv4XKk1HebPZmCWtltjck6qEQ4ZiOtEc2phs0cGFmDdQRw*456nsIGX6df/6.jpg?width=650)
WAUMINI 30 WA KANISA LA MORAVIAN KORTINI KWA VURUGU
11 years ago
Habarileo11 Jul
'Viongozi wa dini acheni kugawa waumini'
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Uwezeshaji na Uwekezaji, Dk Merry Nagu ameasa viongozi wa dini zote nchini, kutowagawa waumini wao kwa misingi ya vyama vyao.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NOsDz0mkAX4/UySLw7EnAFI/AAAAAAAFTrM/yUbFXlH-I1k/s72-c/unnamed+(26).jpg)
WAUMINI WA KANISA LA ADVENTISTA LA WASABATO WAADHIMISHA SIKU YA MATENDO YA HURUMA KWA KUCHANGIA DAMU
10 years ago
GPLTANZACOMEDY KUGAWA VITAMBULISHO KWA WANACHAMA WAKE
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-t-op8cWY9NA/U6P5gSvAjGI/AAAAAAAFr38/zXmiUngWvTc/s72-c/unnamed+(9).jpg)
BARAZA LA WAZEE KANISA LA MORAVIAN TABATA LAWATOA HOFU WAUMINI, LAKANUSHA TAARIFA YA KUZUILIWA KWA IBADA
![](http://4.bp.blogspot.com/-t-op8cWY9NA/U6P5gSvAjGI/AAAAAAAFr38/zXmiUngWvTc/s1600/unnamed+(9).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-HnQhhc5t7Eg/U6P5gdCxNaI/AAAAAAAFr4A/3EVZ7Pftwhc/s1600/unnamed+(11).jpg)
10 years ago
GPLMR.UWAZI AZIDI KUGAWA ZAWADI KWA WASOMAJI WAKE