BARAZA LA MADIWANI CHATO LATOA TUZO ZA ELIMU
![](http://4.bp.blogspot.com/-6_kw6Sa_xqs/U_IBGc7lQFI/AAAAAAAGAg0/5RjUHX8B0ys/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
Baraza la madiwani la halimashauri ya wilaya ya chato katika kikao chake robo ya nne, limetunuku vyeti, ngao na pesa Taslimu ikiwa ni pongezi kwa shule na kata zilizofanya vizuri katika mtihani wa darasa la saba 2014.
Shule binafsi zilizoongoza ni shule ya msingi Kadama (Kadama English medium), ikifuatiwa na shule ya msingi Emau ( Emau english medium) zote zipo wilayani Chato. Shule za serikali zilizoongoza ni shule ya msingi Magiri iliyoshika nafasi ya kwanza, nafasi ya pili...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMh. Magufuli akutana na baraza la madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato
Mbunge wa jimbo la Chato na waziri wa Ujenzi Mhe. Dk. John Pombe Magufuli leo amekutana na baraza la madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato kwenye ukumbi wa Halamshauri na kutoa zaidi ya Shilingi Milioni 80 za mfuko wa Jimbo kwa kila kata kwa style mpya ambapo kila diwani ametaja mahitaji yake na kupewa kiasi hicho kwa ajili ya kukamilisha miradi yenye nguvu za wa wananchi.
Tofauti na miaka mingine ambapo fedha hizo zimekuwa zikitolewa na kamati maalumu...
9 years ago
CCM BlogBARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI (NACTE)LATOA KIBALI KWA TAASISI YA UHASIBU (TIA) MBEYA KUANZISHA KOZI NYINGINE ZA SHAHADA YA MASOKO
Kikosi cha brasband cha Magereza kikiongoza Maandamao kuelekea uwanjani kwenye mahafali hayo ya Kumi na Tatu ya Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) na ya Tatu kwa kampasi ya Mbeya .
9 years ago
Dewji Blog09 Nov
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) latoa kibali kwa Taasisi ya Uhasibu (TIA) Mbeya kuanzisha kozi nyingine za shahada ya masoko
10 years ago
Dewji Blog29 Jun
Kanisa la Methodist latoa msaada kwa walemavu Chato
Mchungaji wa kanisa la Methodist Huru Tanzania (FMCT), Conrad Edimud Bitoye (kulia) akikabidhi msaada wa nafaka na vitu mbalimbali kwa Katibu wa Chama cha walemavu mkoa wa Geita Sokolo Samweli.
Deborah Bookher akizindua rasmi kisima cha bomba katika kijiji cha Ibondo kata ya Buseresere wilayani Chato.
Deborah Bookher akishiriki chakula cha pamoja na walemavu.
Na Alphonce Kabilondo, Chato
KANISA la Methodist Huru Tanzania (FMCT) Jimbo la Geita mkoani Geita limetoa msaada wa nafaka mchele...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LB6l9Yyl8LAluwC8paLU55rLl4x*X-*PfO9wJj4uL79mnikPIo1nKUzeh-EnOsPbtCCtO20dou787JLyLrjqr5rMLTjk6d4S/1.jpg?width=650)
BARAZA LA MITIHANI LATOA TAARIFA YA KAZI ZAKE
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gNozG5ON0v0/XoH8felyNuI/AAAAAAALllo/J389K4ylRNYwaU_IujzAzWOBT2AEd1pHACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
BARAZA LA VIJANA ZANZIBAR LATOA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA
Na Khadija Khamis –Maelezo Zanzibar
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana Zanzibar Khamis Rashid Kheir amewataka vijana kuunga mkono serikali kwa kufuata maelekezo yanayotolewa na wataalamu wa afya katika kukabiliana na maradhi ya mripuko ya Corona
Hayo aliyasema wakati alipokuwa akigawa vifaa mbali mbali vya kujikinga na maradhi Corona huko Baraza la Vijana Mwanakwerekwe.
Aliwataka vijana kuwa makini katika kupambana na maradhi hayo kwani hivi sasa yamekwisha sambaa duniani kote
‘Nyinyi ndio taifa la...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-z0yZOe-i_N0/VDaX4BcYotI/AAAAAAAGo1I/3EtYjsPjM9o/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
News Alert: Baraza la Maadili latoa amri ya kukamatwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe
Baraza la Maadili limetoa amri ya kukamatwa mara moja Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe. Mrisho Gambo kwa kukaidi wito wa kufika mbele ya Baraza hilo kujibu tuhuma zinazomkabili.
Akizungumza baada ya kuahirisha kikao cha Baraza hilo lililoanza vikao vyake tarehe 9/10/2014, Mwenyekiti wa Baraza la Maadili Mhe Balozi Jaji (Mst.) Hamisi Msumi alisema kuwa amri hiyo imetolewa kwa mujibu wa fungu la 24 (4) la Sheria ya Maadili ...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-N_WwYfPepEQ/Uw9Xwqh0VxI/AAAAAAAFQCM/qAL6v3houMU/s72-c/unnamed+(1).jpg)
DC CHATO AZIHIMIZA KAMATI ZA ELIMU NA KILIMO
![](http://1.bp.blogspot.com/-N_WwYfPepEQ/Uw9Xwqh0VxI/AAAAAAAFQCM/qAL6v3houMU/s1600/unnamed+(1).jpg)
Mkuu wa Wilaya ameyasema hayo mjini Chato wakati akiwasilisha Taarifa ya utekelezaji wa ilani ya Uchaguzi wa chama cha Mapinduzi (CCM) kwa wajumbe wa Halmashauri kuu ya CCM Wilaya.
Mkuu wa Wilaya ya Amesema kuundwa kwa kamati za Kilimo na Elimu katika ngazi ya kata zinatoa fursa kwa wanakamati hao kusimamia masuala yote muhimu...
9 years ago
Dewji Blog17 Oct
Baraza Kuu la Waislamu Mkoa wa Mwanza latoa onyo kali kwa wanaobeza Uislamu nchini