BARAZA LA MITIHANI LATOA TAARIFA YA KAZI ZAKE
![](http://api.ning.com:80/files/LB6l9Yyl8LAluwC8paLU55rLl4x*X-*PfO9wJj4uL79mnikPIo1nKUzeh-EnOsPbtCCtO20dou787JLyLrjqr5rMLTjk6d4S/1.jpg?width=650)
Mkuu wa Idara ya Fedha na Utawala wa Necta, Daniel Mafie, akizungumza jambo na wanahabari (hawapo pichani).…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Dk Msonde: Naahidi mambo matatu Baraza la Mitihani
Baada ya kukaimu kwa karibu mwaka mmoja nafasi ya Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta), hatimaye mwezi Agosti, Rais Jakaya Kikwete alimteua Dk Charles Msonde kuongoza taasisi hiyo nyeti nchini.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6_kw6Sa_xqs/U_IBGc7lQFI/AAAAAAAGAg0/5RjUHX8B0ys/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
BARAZA LA MADIWANI CHATO LATOA TUZO ZA ELIMU
Baraza la madiwani la halimashauri ya wilaya ya chato katika kikao chake robo ya nne, limetunuku vyeti, ngao na pesa Taslimu ikiwa ni pongezi kwa shule na kata zilizofanya vizuri katika mtihani wa darasa la saba 2014.
Shule binafsi zilizoongoza ni shule ya msingi Kadama (Kadama English medium), ikifuatiwa na shule ya msingi Emau ( Emau english medium) zote zipo wilayani Chato. Shule za serikali zilizoongoza ni shule ya msingi Magiri iliyoshika nafasi ya kwanza, nafasi ya pili...
Shule binafsi zilizoongoza ni shule ya msingi Kadama (Kadama English medium), ikifuatiwa na shule ya msingi Emau ( Emau english medium) zote zipo wilayani Chato. Shule za serikali zilizoongoza ni shule ya msingi Magiri iliyoshika nafasi ya kwanza, nafasi ya pili...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gNozG5ON0v0/XoH8felyNuI/AAAAAAALllo/J389K4ylRNYwaU_IujzAzWOBT2AEd1pHACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
BARAZA LA VIJANA ZANZIBAR LATOA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA
Na Khadija Khamis –Maelezo Zanzibar
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana Zanzibar Khamis Rashid Kheir amewataka vijana kuunga mkono serikali kwa kufuata maelekezo yanayotolewa na wataalamu wa afya katika kukabiliana na maradhi ya mripuko ya Corona
Hayo aliyasema wakati alipokuwa akigawa vifaa mbali mbali vya kujikinga na maradhi Corona huko Baraza la Vijana Mwanakwerekwe.
Aliwataka vijana kuwa makini katika kupambana na maradhi hayo kwani hivi sasa yamekwisha sambaa duniani kote
‘Nyinyi ndio taifa la...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-z0yZOe-i_N0/VDaX4BcYotI/AAAAAAAGo1I/3EtYjsPjM9o/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
News Alert: Baraza la Maadili latoa amri ya kukamatwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe
Na. Ally Mataula – Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma.
Baraza la Maadili limetoa amri ya kukamatwa mara moja Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe. Mrisho Gambo kwa kukaidi wito wa kufika mbele ya Baraza hilo kujibu tuhuma zinazomkabili.
Akizungumza baada ya kuahirisha kikao cha Baraza hilo lililoanza vikao vyake tarehe 9/10/2014, Mwenyekiti wa Baraza la Maadili Mhe Balozi Jaji (Mst.) Hamisi Msumi alisema kuwa amri hiyo imetolewa kwa mujibu wa fungu la 24 (4) la Sheria ya Maadili ...
Baraza la Maadili limetoa amri ya kukamatwa mara moja Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe. Mrisho Gambo kwa kukaidi wito wa kufika mbele ya Baraza hilo kujibu tuhuma zinazomkabili.
Akizungumza baada ya kuahirisha kikao cha Baraza hilo lililoanza vikao vyake tarehe 9/10/2014, Mwenyekiti wa Baraza la Maadili Mhe Balozi Jaji (Mst.) Hamisi Msumi alisema kuwa amri hiyo imetolewa kwa mujibu wa fungu la 24 (4) la Sheria ya Maadili ...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-auILKFCV9aM/VOl-mDEsJ3I/AAAAAAAHFGA/oZ2JHFSb1L8/s72-c/004.jpg)
Dkt. Kawambwa azindua jengo jipya la Mitihani la Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE)
![](http://1.bp.blogspot.com/-auILKFCV9aM/VOl-mDEsJ3I/AAAAAAAHFGA/oZ2JHFSb1L8/s1600/004.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-U12yevR1dFo/U-58y2ASygI/AAAAAAAF_88/vasQMNZMZVQ/s72-c/baraza%2Bla%2Bmitihani.jpg)
Dkt. Charles Msonde ndiye Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Mitihani Tanzania (NECTA).
![](http://4.bp.blogspot.com/-U12yevR1dFo/U-58y2ASygI/AAAAAAAF_88/vasQMNZMZVQ/s1600/baraza%2Bla%2Bmitihani.jpg)
Taarifa iliyotolewa Ikulu, Dar es Salaam jioni ya jana, Alhamisi, Agosti 14, 2014, na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue inasema kuwa uteuzi huo ulianza juzi, Jumatano, Agosti 13, 2014.
Kabla ya uteuzi wake, Dkt. Msonde alikuwa Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza hilo hilo la mitihani.
Dkt. Msonde anachukua nafasi...
11 years ago
Michuzi29 Jun
BARAZA LA MITIHANI LAPANGUA MFUMO MZIMA WA KUPANGA MADARAJA YA UFAULU KIDATO CHA NNE NA TANO
![](https://2.bp.blogspot.com/-iyagcdX7E9g/U621AyDjleI/AAAAAAAAJUo/FPL6k41YOQY/s640/1.jpg)
9 years ago
Dewji Blog17 Oct
Baraza Kuu la Waislamu Mkoa wa Mwanza latoa onyo kali kwa wanaobeza Uislamu nchini
9 years ago
GPL16 Nov
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania