News Alert: Baraza la Maadili latoa amri ya kukamatwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe
![](http://3.bp.blogspot.com/-z0yZOe-i_N0/VDaX4BcYotI/AAAAAAAGo1I/3EtYjsPjM9o/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
Na. Ally Mataula – Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma.
Baraza la Maadili limetoa amri ya kukamatwa mara moja Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe. Mrisho Gambo kwa kukaidi wito wa kufika mbele ya Baraza hilo kujibu tuhuma zinazomkabili.
Akizungumza baada ya kuahirisha kikao cha Baraza hilo lililoanza vikao vyake tarehe 9/10/2014, Mwenyekiti wa Baraza la Maadili Mhe Balozi Jaji (Mst.) Hamisi Msumi alisema kuwa amri hiyo imetolewa kwa mujibu wa fungu la 24 (4) la Sheria ya Maadili ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-K39u0MN_Ukg/VD6vGCFlaNI/AAAAAAAGqt0/b4nhcBByfs0/s72-c/unnamed%2B(32).jpg)
Mashahidi walieleza Baraza la Maadili jinsi Mkuu wa Wilaya ya Korogwe alivyokiuka Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-us5MelaC8Lk/VDwrCg8AUKI/AAAAAAAGp9s/3TvtXdGzIFA/s72-c/unnamed.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora wapandishwa kizimbani Baraza la Maadili.
![](http://4.bp.blogspot.com/-us5MelaC8Lk/VDwrCg8AUKI/AAAAAAAGp9s/3TvtXdGzIFA/s1600/unnamed.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe. Mrisho Mashaka Gambo leo amefikishwa mbele ya Baraza la Maadili ili kujibu tuhuma...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YxVE38edN7A/VDg9yxcxuiI/AAAAAAAGpDM/YKyctKBCuEI/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Korogwe ajisalimisha kwenye Baraza la Maadili na kupewa onyo, Nchambi apewa nafasi kufika kikao
Wakati Vikao vya Baraza la Maadili vikiendelea siku yake ya pili kusikiliza mashauri ya ukiukwaji wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma Na. 13 ya 1995, Baraza hilo likiongozwa na Mwenyekiti wake Mhe. Balozi Jaji (Mst.) Hamisi Msumi limetoa onyo kwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe. Mrisho Gambo kwa kukaidi wito wa kufika mbele ya Baraza hilo kujibu tuhuma zinazomkabili.
Kwa mujibu wa maelezo kutoka kwa Mwanasheria wa Sekretarieti...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-k9tNhOuNGs0/VTdLuarrReI/AAAAAAAHSc4/0OcVIZhiN4Y/s72-c/6621067.png)
NEWS ALERT: KAFULILA APANDISHWA KIZIMBANI KWA KUMTUKANA MKUU WA WILAYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-k9tNhOuNGs0/VTdLuarrReI/AAAAAAAHSc4/0OcVIZhiN4Y/s1600/6621067.png)
MBUNGE wa Jimbo la Kigoma Kusini Mhe. David Kafulila amepandishwa kizimbani katika mahakama ya Wilaya ya Kigoma kujibu shitaka la kutumia lugha ya matumisi dhidi ya Mkuu wa Wilaya Uvinza Khadija Nyembo.
Kafulila alifikishwa mahakamani hapo majira ya saa mbili asubuhi akiwa chini ya ulinzi mkali wa polisi.
Mbele ya Hakimu David Ngunyale,Wakili wa Serekali Marysinta Lazaro alidai kuwa Kafulila alitenda kosa hilo tarehe 1 mwezi wa 8 mwaka 2013 katika kata...
11 years ago
Michuzi16 Mar
NEWS ALERT: NYUMBA YA MKUU WA WILAYA YA KILWA YAUNGUA MOTO ASUBUHI HII
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xv2MB-ut_S8/Uvy7xLZdaRI/AAAAAAAAL4E/rxVjtte1-MY/s72-c/1.jpg)
NEWS ALERT: WATATU WAHOJIWA NA KAMATI YA MAADILI CCM DODOMA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-xv2MB-ut_S8/Uvy7xLZdaRI/AAAAAAAAL4E/rxVjtte1-MY/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZDYB20-SX-E/Uvy8EhPYcKI/AAAAAAAAL4M/HfNvTSgB8gY/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1FBmQC52QOQ/Uvy8KeT4x3I/AAAAAAAAL4U/54jtk9v1L9c/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-nJy-gk6GtQ0/Uvy8qlaBdlI/AAAAAAAAL4c/Tvuh37oWi6k/s1600/5.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sNGui7dfNNYaoUQKfZz40A87K6dePId1Rl93O8TFuYFnfVUf6rKxv-OZLVfIl-1WDZUIQQI1UftbZaL7rxlmE3Z7MIdcSRGe/viongozi.jpg?width=750)
MKUU WA WILAYA YA KOROGWE AKUTANA NA MWENYEKITI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-pslJ_saSnV4/VCWzIdnnXZI/AAAAAAAARXc/5ZWHpsJaab8/s1600/1.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM, NDUGU KINANA WILAYA KOROGWE MKOANI TANGA
10 years ago
Habarileo10 Oct
DC Korogwe kukamatwa
SEKRETARIETI ya Maadili kwa Viongozi wa Umma imeamuru Polisi kumkamata Mkuu wa Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga, Mrisho Gambo na kumfikisha mbele ya Baraza.