DC Korogwe kukamatwa
SEKRETARIETI ya Maadili kwa Viongozi wa Umma imeamuru Polisi kumkamata Mkuu wa Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga, Mrisho Gambo na kumfikisha mbele ya Baraza.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-z0yZOe-i_N0/VDaX4BcYotI/AAAAAAAGo1I/3EtYjsPjM9o/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
News Alert: Baraza la Maadili latoa amri ya kukamatwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe
Baraza la Maadili limetoa amri ya kukamatwa mara moja Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe. Mrisho Gambo kwa kukaidi wito wa kufika mbele ya Baraza hilo kujibu tuhuma zinazomkabili.
Akizungumza baada ya kuahirisha kikao cha Baraza hilo lililoanza vikao vyake tarehe 9/10/2014, Mwenyekiti wa Baraza la Maadili Mhe Balozi Jaji (Mst.) Hamisi Msumi alisema kuwa amri hiyo imetolewa kwa mujibu wa fungu la 24 (4) la Sheria ya Maadili ...
9 years ago
StarTV27 Nov
 Mratibu Maabara Korogwe kukamatwa  kwa Jaribio La Kuiba Vipimo Vya Malaria
Mkuu wa Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga Hafsa Mtasiwa ameagiza kukamatwa kwa mratibu wa maabara wa halmashauri ya mji huo kwa madai ya kufanya jaribio la wizi wa vipimo vya kupimia ugonjwa wa Malaria MRDT.
Basondole anatuhumiwa kuchukua boksi la vifaa hivyo kutoka halmashauri ya wilaya ya Korogwe vijijini akidai Halmashauri ya Mji wa Korogwe anakofanya kazi kuna upungufu wa vifaa hivyo.
Ofisa wa dawa wa halmashauri ya wilaya ya Korogwe Issa Mkwawa amesema tukili lilo limetokea Novemba 11 na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vxBfHpZvjMg/XmI09SQ-DzI/AAAAAAALhew/TxQkiCvbdQgtH_RJaBNnQsXoZXJKOBNowCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MAJALIWA AFUNGUA MAKTABA YA CHUO CHA UALIMU KOROGWE, AZUNGUMZA NA WATUMISHI WA KOROGWE
Aliyasema hayo jana jioni (Alhamisi, Machi 5, 2020) wakati alipozungumza na watumishi wa Halmashauri ya Mji Korogwe na wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa TTC Korogwe akiwa kwenye ziara ya kikazi mkoani Tanga.
Waziri Mkuu alisema uaminifu na...
10 years ago
Mwananchi10 Oct
DC Korogwe aangukiwa na rungu la Baraza
10 years ago
Daily News10 Oct
Korogwe DC faces possibility of arrest
Daily News
THE Ethics Council yesterday issued an arrest warrant for Korogwe District Commissioner (DC) Mrisho Gambo in connection with failure to appear before the council's sitting that would have grilled him over his alleged misuse of power. The Chairman of ...
9 years ago
Daily News02 Sep
Korogwe hospital to undergo upgrading
Daily News
CCM parliamentary candidate for Korogwe Urban constituency, Ms Mary Chatanda, has promised to upgrade Korogwe District Hospital to a referral hospital to cater for more people. She made the pledge here yesterday during a campaign rally. She said ...
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Mwenyekiti Korogwe asimamishwa kazi
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Korogwe watekeleza agizo la Rais
MKUU wa Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga, Mrisho Gambo, amesema wilaya yake imetekeleza agizo la Rais la ujenzi wa maabara kwa asilimia 65. Gambo aliyasema hayo hivi karibuni katika ya...
10 years ago
Habarileo24 Dec
Wapongeza nauli Korogwe kupangwa
BAADHI ya wananchi wa mjini Korogwe wamepongeza uamuzi wa serikali kwa kushirikiana na Mamlaka ya Usimamizi wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) wa kupanga viwango halali vya nauli kwa mabasi ya abiria yanayosafiri katika maeneo mbalimbali ndani ya wilaya hiyo.