Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC Korogwe kukamatwa

SEKRETARIETI ya Maadili kwa Viongozi wa Umma imeamuru Polisi kumkamata Mkuu wa Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga, Mrisho Gambo na kumfikisha mbele ya Baraza.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

News Alert: Baraza la Maadili latoa amri ya kukamatwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe

Na. Ally Mataula – Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma.
Baraza la Maadili limetoa amri ya kukamatwa mara moja Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe. Mrisho Gambo kwa kukaidi wito wa kufika mbele ya Baraza hilo kujibu tuhuma zinazomkabili.
Akizungumza baada ya kuahirisha kikao cha Baraza hilo lililoanza vikao vyake tarehe 9/10/2014, Mwenyekiti wa Baraza la Maadili Mhe Balozi Jaji (Mst.) Hamisi Msumi alisema kuwa amri hiyo imetolewa kwa mujibu wa fungu la 24 (4) la Sheria ya Maadili ...

 

9 years ago

StarTV

 Mratibu Maabara Korogwe kukamatwa  kwa Jaribio La Kuiba Vipimo Vya Malaria

 

Mkuu wa Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga Hafsa Mtasiwa ameagiza kukamatwa kwa mratibu wa maabara wa halmashauri ya mji huo kwa madai ya kufanya jaribio la wizi wa vipimo vya kupimia ugonjwa wa Malaria MRDT.

Basondole anatuhumiwa kuchukua boksi la vifaa hivyo kutoka halmashauri ya wilaya ya Korogwe vijijini akidai Halmashauri ya Mji wa Korogwe anakofanya kazi kuna upungufu wa vifaa hivyo.

Ofisa wa dawa wa halmashauri ya wilaya ya Korogwe Issa Mkwawa amesema tukili lilo limetokea Novemba 11 na...

 

5 years ago

Michuzi

MAJALIWA AFUNGUA MAKTABA YA CHUO CHA UALIMU KOROGWE, AZUNGUMZA NA WATUMISHI WA KOROGWE

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema mtumishi wa umma asiyetaka kufuata maadili ya utumishi pamoja na maelekezo ya viongozi wake hafai kufanyakazi katika Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli.

Aliyasema hayo jana jioni (Alhamisi, Machi 5, 2020) wakati alipozungumza na watumishi wa Halmashauri ya Mji Korogwe na wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa TTC Korogwe akiwa kwenye ziara ya kikazi mkoani Tanga.

Waziri Mkuu alisema uaminifu na...

 

10 years ago

Mwananchi

DC Korogwe aangukiwa na rungu la Baraza

Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma limeagiza Polisi kumkamata Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mrisho Gambo na kumfikisha mbele ya baraza hilo Jumatatu ijayo ili ajibu tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka.

 

10 years ago

Daily News

Korogwe DC faces possibility of arrest


Korogwe DC faces possibility of arrest
Daily News
THE Ethics Council yesterday issued an arrest warrant for Korogwe District Commissioner (DC) Mrisho Gambo in connection with failure to appear before the council's sitting that would have grilled him over his alleged misuse of power. The Chairman of ...

 

9 years ago

Daily News

Korogwe hospital to undergo upgrading


Korogwe hospital to undergo upgrading
Daily News
CCM parliamentary candidate for Korogwe Urban constituency, Ms Mary Chatanda, has promised to upgrade Korogwe District Hospital to a referral hospital to cater for more people. She made the pledge here yesterday during a campaign rally. She said ...

 

11 years ago

Mwananchi

Mwenyekiti Korogwe asimamishwa kazi

Baraza la madiwani wilayani Korogwe vijijini wamemsimamisha aliyekuwa mwenyekiti wa halmashauri hiyo katika nafasi ya uenyekiti, Sadick Kallaghe kutokana na tuhuma mbalimbali zinazomkabili.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Korogwe watekeleza agizo la Rais

MKUU wa Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga, Mrisho Gambo, amesema wilaya yake imetekeleza agizo la Rais la ujenzi wa maabara kwa asilimia 65. Gambo aliyasema hayo hivi karibuni katika ya...

 

10 years ago

Habarileo

Wapongeza nauli Korogwe kupangwa

BAADHI ya wananchi wa mjini Korogwe wamepongeza uamuzi wa serikali kwa kushirikiana na Mamlaka ya Usimamizi wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) wa kupanga viwango halali vya nauli kwa mabasi ya abiria yanayosafiri katika maeneo mbalimbali ndani ya wilaya hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani