DC Korogwe aangukiwa na rungu la Baraza
Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma limeagiza Polisi kumkamata Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mrisho Gambo na kumfikisha mbele ya baraza hilo Jumatatu ijayo ili ajibu tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-z0yZOe-i_N0/VDaX4BcYotI/AAAAAAAGo1I/3EtYjsPjM9o/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
News Alert: Baraza la Maadili latoa amri ya kukamatwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe
Baraza la Maadili limetoa amri ya kukamatwa mara moja Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe. Mrisho Gambo kwa kukaidi wito wa kufika mbele ya Baraza hilo kujibu tuhuma zinazomkabili.
Akizungumza baada ya kuahirisha kikao cha Baraza hilo lililoanza vikao vyake tarehe 9/10/2014, Mwenyekiti wa Baraza la Maadili Mhe Balozi Jaji (Mst.) Hamisi Msumi alisema kuwa amri hiyo imetolewa kwa mujibu wa fungu la 24 (4) la Sheria ya Maadili ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-us5MelaC8Lk/VDwrCg8AUKI/AAAAAAAGp9s/3TvtXdGzIFA/s72-c/unnamed.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora wapandishwa kizimbani Baraza la Maadili.
![](http://4.bp.blogspot.com/-us5MelaC8Lk/VDwrCg8AUKI/AAAAAAAGp9s/3TvtXdGzIFA/s1600/unnamed.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe. Mrisho Mashaka Gambo leo amefikishwa mbele ya Baraza la Maadili ili kujibu tuhuma...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YxVE38edN7A/VDg9yxcxuiI/AAAAAAAGpDM/YKyctKBCuEI/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Korogwe ajisalimisha kwenye Baraza la Maadili na kupewa onyo, Nchambi apewa nafasi kufika kikao
Wakati Vikao vya Baraza la Maadili vikiendelea siku yake ya pili kusikiliza mashauri ya ukiukwaji wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma Na. 13 ya 1995, Baraza hilo likiongozwa na Mwenyekiti wake Mhe. Balozi Jaji (Mst.) Hamisi Msumi limetoa onyo kwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe. Mrisho Gambo kwa kukaidi wito wa kufika mbele ya Baraza hilo kujibu tuhuma zinazomkabili.
Kwa mujibu wa maelezo kutoka kwa Mwanasheria wa Sekretarieti...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-A7_xCbvQWek/UznO3xwlMFI/AAAAAAAA4NQ/zZKp1X4NfVA/s72-c/NHIF+1.jpg)
BARAZA LA MADIWANI LA MJI KOROGWE LAUPOKEA KWA MIKONO MIWILI MPANGO TIBA KWA KADI (TIKA)
![](http://1.bp.blogspot.com/-A7_xCbvQWek/UznO3xwlMFI/AAAAAAAA4NQ/zZKp1X4NfVA/s1600/NHIF+1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-K39u0MN_Ukg/VD6vGCFlaNI/AAAAAAAGqt0/b4nhcBByfs0/s72-c/unnamed%2B(32).jpg)
Mashahidi walieleza Baraza la Maadili jinsi Mkuu wa Wilaya ya Korogwe alivyokiuka Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vxBfHpZvjMg/XmI09SQ-DzI/AAAAAAALhew/TxQkiCvbdQgtH_RJaBNnQsXoZXJKOBNowCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MAJALIWA AFUNGUA MAKTABA YA CHUO CHA UALIMU KOROGWE, AZUNGUMZA NA WATUMISHI WA KOROGWE
Aliyasema hayo jana jioni (Alhamisi, Machi 5, 2020) wakati alipozungumza na watumishi wa Halmashauri ya Mji Korogwe na wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa TTC Korogwe akiwa kwenye ziara ya kikazi mkoani Tanga.
Waziri Mkuu alisema uaminifu na...
10 years ago
Tanzania Daima04 Sep
Mtoto aangukiwa na ukuta wa jiko
MTOTO Grace Zefania (9), amefariki dunia baada ya kuangukiwa na ukuta wa jengo la jiko la Kanisa la Calvary Oysterbay Kinondoni, Dar es Salaam. Tukio hilo lilitokea juzi saa 1:30...
9 years ago
Mtanzania01 Dec
Rungu jipya la Magufuli
*Fagio la kupunguza wafanyakazi mashirika ya umma
*Posho za wabunge vikao vya bodi zapigwa marufuku
RUTH MNKENI NA JONAS MUSHI, DAR ES SALAAM
SERIKALI ya awamu ya tano chini ya Rais Dk. John Magufuli, imeshusha rungu jipya kwa kutangaza uamuzi mchungu wa kupunguza wafanyakazi katika taasisi na mashirika ya umma ambayo yameonekana kuwa mzigo katika utendaji.
Mashirika hayo yameelezwa licha ya kuwa na watumishi wengi, lakini bado uzalishaji na utendaji wake umekuwa hauna tija kwa taifa.
Hayo...