Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtoto aangukiwa na ukuta wa jiko

MTOTO Grace Zefania (9), amefariki dunia baada ya kuangukiwa na ukuta wa jengo la jiko la Kanisa la Calvary Oysterbay Kinondoni, Dar es Salaam. Tukio hilo lilitokea juzi saa 1:30...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ukuta waua mtoto

MTOTO Jackline Lubaka (5) mkazi wa Yombo Kilakala jijini Dar es Salaam, amefariki dunia baada ya kuangukiwa na ukuta. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Kihenya Wakihenya, alisema tukio hilo...

 

10 years ago

Mwananchi

DC Korogwe aangukiwa na rungu la Baraza

Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma limeagiza Polisi kumkamata Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mrisho Gambo na kumfikisha mbele ya baraza hilo Jumatatu ijayo ili ajibu tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka.

 

10 years ago

BBCSwahili

Andy Murry apata jiko

Mwishoni mwa wiki hii, kulikuwa na shamra shamra kwa mcheza tenis maarufu ulimwenguni Andy kupata kumvika pete mpenziwe Kim.

 

10 years ago

Michuzi

MDAU YAHYA KIYABO ACHUKUA JIKO

 Maharausi wakikata keki kuashilia upendo katika hafla  iliyofanyika katika Ukumbi wa Danken House,Mikocheni jijini Dar es Salaam, Bwanaharusi Yahaya Kiyabo akimlisha keki Biharusi,Aisha Kirapo katika hafla iliyfanyofanyika katika ukumbi wa Danken  House,Mikocheni Jijini Dar es Salaam,   Biharusi,Aisha Kirapo akimlisha keki Bwanaharusi Yahya Kiyabo katika hafla iliyfanyofanyika katika ukumbi wa Danken ,Mikocheni Jijini Dar es Salaam, Bwanaharusi Yahya Kiyabo akiwakabidhi baadhi ya...

 

11 years ago

Michuzi

JIKO LA GESI LATEKETEZA NYUMBA MISUNGWI

Mwananchi juu ya paa la nyumba ya mtu mmoja maarufu kwa jina la Mama Mayunga, akijaribu kurusha vifuko vya mchanga katika moja ya majengo ya nyumba iliyozuka moto Jana majira ya saa 5 asubuhi mtaa wa Majengo jirani na Masangwa Guest House wilayani Misungwi mkoani Mwanza.  Moto huo unaotajwa chanzo chake kusababishwa na jiko la gesi ulilipuka na kuiteketeza kabisa nyumba hiyo ikiwa na furniture zake. Huku baadhi yao wakiwa wamejitosa kufanya uokoji wa mali, wananchi wengine kama...

 

10 years ago

Vijimambo

ALLY BAKARI CHAMPION ACHUKUWA JIKO

Refarii wa mchezo wa masumbwi nchni kushoto akiwa na mke wake Aisha Chilumba baada ya kuowa hivi karibuni maeneo ya Vingunguti Dar es salaamAlly Bakari Champion akiozeshwaRefarii wa mchezo wa masumbwi nchni kushoto akiwa na mke wake Aisha Chilumba baada ya kuowa hivi karibuni maeneo ya Vingunguti Dar es salaam

 

10 years ago

Michuzi

JIKO LA GESI LAUNGUZA MWALIMU VIBAYA KIGOMA

Mwalimu Masungwe Revania akiwa anaendelea na matibabu  katika chumba cha upasuaji katika hospital ya Mkoa wa Kigoma maweni baada ya kulipukiwa na jiko la gesi na kumuunguza vibaya.

Picha na habari na Editha Karlo
wa Globy ya Jamii, KigomaMwalimu wa shule ya sekondari ya mazungwe Revania Ndebigeze(39)Wilaya ya Uvinza Mkoani hapa amelazwa katika hospital ya Mkoa wa Kigoma(Maweni)baada ya kuungua vibaya na moto wa gesi.
Akiongea na mwandishi wa habari hii kwa taabu katika chumba cha upasuaji...

 

9 years ago

Michuzi

DAWA YA JIKO IMETHIBITISHWA NA MKEMIA MKUU WA SERIKALI.

JIKO ni dawa asilia inayo tolewa na duka la kuuza dawa za asili liitwalo NEEMA HERBALIST & NUTRITIONAL FOODS CLINIC. Dawa hii ni ya asili kabisa isiyo na kemikali za viwandani na ambayo inatibu na kuponyesha kabisa tatizo la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume ndani ya siku thelathini.
Kufahamu zaidi kuhusu tatizo la ukosefu & upungufu wa nguvu za kiume na jinsi dawa ya JIKO inavyo fanya kazi ya kutibu na kuponyesha tatizo la ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani