Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukuta waua mtoto

MTOTO Jackline Lubaka (5) mkazi wa Yombo Kilakala jijini Dar es Salaam, amefariki dunia baada ya kuangukiwa na ukuta. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Kihenya Wakihenya, alisema tukio hilo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ukuta waua wanafamilia

MVUA kubwa zinazoendelea kunyesha mkoani hapa zimesababisha vifo vya watu watatu wa familia moja baada ya kuangukiwa na ukuta wa nyumba walipokuwa wamelala. Tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia jana...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mtoto aangukiwa na ukuta wa jiko

MTOTO Grace Zefania (9), amefariki dunia baada ya kuangukiwa na ukuta wa jengo la jiko la Kanisa la Calvary Oysterbay Kinondoni, Dar es Salaam. Tukio hilo lilitokea juzi saa 1:30...

 

11 years ago

Habarileo

Umeme waua mtoto

WANANCHI wa tarafa ya Mang’ula Wilayani Kilombero wamelilalamikia Shirika la Umeme (Tanesco) kupuuzia kurekebisha miundombinu yake katika eneo hilo na kusababisha kifo cha mtoto Amon Ndawala (5).

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mti waua mama, mtoto

MAMA mjamzito, Sara Leonard (22) na mtoto wake, Christina Salum (4) , wakazi wa Kijiji cha Mgusu, wilayani Geita  wamefariki dunia  baada ya nyumba waliyokuwa wakiishi kudondokewa na mti. Tukio...

 

10 years ago

Dewji Blog

MTUKURU waua mtoto wa mwaka mmoja Singida

DSC03164

Kamanda wa polisi mkoa wa Singida, ACP Thobias Sedoyeka akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) ofisini kwake.

Na Nathaniel Limu, Singida

POLISI mkoani Singida inamshikilia mwanamke mmoja kwa tuhuma ya kusababisha kifo cha mtoto wa mwaka mmoja na mama mtoto kulazwa baada ya kunywa pombe ya ‘Mtukuru’ nyumbani kwa  mtuhumiwa.

Kamanda wa polisi mkoa, Thobias Sedoyeka alimtaja mwanamke anayeshikiliwa kuwa ni Anastazia Kadama (35) mkazi wa kijiji cha Msule, Misughaa wilayani Ikungi...

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga SC na ukuta wa ‘Berlin’

Wakati Ligi Kuu Tanzania Bara ikifikia mechi ya 15, Yanga imeonekana kuwa na ukuta imara mithili ya ule wa Berlin, Ujerumani miaka ya 80, ambao umekuwa mgumu kupitika ikilinganishwa na timu nyingine 13 zinazoshiriki ligi hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Miaka 25 ya ukuta wa Berlin

Nchini Ujerumani, maelfu ya maputo yang'aayo yaliwekwa kwenye mstari wa kilomita kumi na tano za uliokuwa ukuta wa Berlin.

 

10 years ago

Mtanzania

Watano waangukiwa na ukuta wa ghorofa

CLARA MATIMO NA ABUBAKARI, MWANZA
WATU watano wamenusurika kifo baada ya kuangukiwa na ukuta walipokuwa wakijenga ghorofa katika barabara ya Nyerere, Kata ya Pamba,Wilaya ya Nyamagana, Mwanza.
Wakizungumza na MTANZANIA jana, baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo walisema ghorofa hilo liliporomoka baada ya mafundi wa Kampuni ya Exactline ya Mwanza, kuchimba mashimo ya kuweka nguzo za jengo hilo.
Mmoja wa mashuhuda hao, Twahili Hussein alisema watu hao walikuwa kwenye mashimo matatu tofauti na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani