Ukuta waua wanafamilia
MVUA kubwa zinazoendelea kunyesha mkoani hapa zimesababisha vifo vya watu watatu wa familia moja baada ya kuangukiwa na ukuta wa nyumba walipokuwa wamelala. Tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia jana...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima09 Aug
Ukuta waua mtoto
MTOTO Jackline Lubaka (5) mkazi wa Yombo Kilakala jijini Dar es Salaam, amefariki dunia baada ya kuangukiwa na ukuta. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Kihenya Wakihenya, alisema tukio hilo...
10 years ago
Habarileo01 Aug
Wanafamilia wagombea vyama, waumizana
WANACHAMA wa CCM na Chadema wa familia mbili tofauti wamepigana na kuumizana vibaya wakizozana kuhama katika vyama hivyo.
11 years ago
Tanzania Daima13 Jan
Wanafamilia wapoteza fahamu usingizini
WATU wanne wa familia moja wakiwemo watoto wawili wamelazwa katika zahanati ya Kata ya Kisorya, wilayani Bunda, baada kupoteza fahamu katika mazingira ya kutatanisha wakiwa wamelala ndani ya nyumba yao....
10 years ago
Habarileo13 Nov
Wanafamilia washitakiana,wagombea maiti ya daktari
WANAFAMILIA ya daktari mstaafu, Cleophas Senga (80) aliyekuwa mkazi wa Chanji Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa ambaye kwa sasa ni marehemu, imefikishana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Sumbawanga, wakigombea maiti ya baba yao kwa muda wa siku tano sasa.
9 years ago
GPLSIKU YA WANAFAMILIA YA KAMPUNI YA AIRTEL YAFANA DAR
10 years ago
Mwananchi11 Feb
Ni simanzi na vilio mazishi ya wanafamilia sita Dar
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-auM-MzvU6Jg/VCll--r9VhI/AAAAAAACr0k/BrH5-ZFmx3Q/s72-c/1.jpg)
TAMASHA LA WANAFAMILIA LA AIRTEL LAFANA FUN CITY WEEKEND
![](http://1.bp.blogspot.com/-auM-MzvU6Jg/VCll--r9VhI/AAAAAAACr0k/BrH5-ZFmx3Q/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-pcBwilRmg6g/VClmVmtpfLI/AAAAAAACr1E/N75TY9ohMwA/s1600/6.jpg)
(kushoto), Mshindi wa Kwanza, Abdallah Gunda, Mshindi wa Pili, Jackson
Mmbando na Mshindi wa Tatu, Kema Mabango
![](http://3.bp.blogspot.com/-iSk6ALVZYlA/VClmID01bhI/AAAAAAACr00/YZ8fdLDO-gA/s1600/2.jpg)
9 years ago
MichuziSIKU YA WANAFAMILIA YA KAMPUNI YA AIRTEL TANZANIA YAFANA DAR
kufanya hivyo kutaweza kuimairisha afya zao hivyo kuongeza ufanisi
mahali pao pa kazi.
Hayo yalisemwa jijini Dar es Salaam na Meneja Uhusiano wa Kampuni ya
Simu za Simu za Mkononi ya Airtel Tanzania, Jane Matinde wakati wa
bonanza la kila mwaka la siku ya wanafamilia wa kampuni hiyo.
Bi Jane alisema michezo ni kichocheo muhimu katika afya ya mwili na
akili hivyo endapo wafanyakazi watashiriki katika shughuli za michezo
kutaifanya...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/st4AJLMa0ak/default.jpg)
WANAFAMILIA SITA WALIOTEKETEA KWA MOTO WAZIKWA JIJINI DAR