Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanafamilia wapoteza fahamu usingizini

WATU wanne wa familia moja wakiwemo watoto wawili wamelazwa katika zahanati ya Kata ya Kisorya, wilayani Bunda, baada kupoteza fahamu katika mazingira ya kutatanisha wakiwa wamelala ndani ya nyumba yao....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

vurugu zazuka kariakoo leo,wengi wapoteza fahamu

Msamaria mwema akimbeba Mamalishe alifahamika kawa jina la Khadija Rashidi aliezirai baada ya milipuko ya mabomu katika ghasia za wamachinga na Askari Polisi leo mchana katika eneo la kariakoo. Mama lishe huyo alikuwa katika shughuli zake za kutayarisha chakula ghafla wamachinga waliokuwa wanakimbia kutaka kujificha katika sehemu za wafanyabiashara hao. baadhi ya wasamaria wakimsaidia Mama lishe aliefahamika kwa jina Mwanahamisi ambaye alizimia baada ya mabomu kurindima katika vurugu kati ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ukuta waua wanafamilia

MVUA kubwa zinazoendelea kunyesha mkoani hapa zimesababisha vifo vya watu watatu wa familia moja baada ya kuangukiwa na ukuta wa nyumba walipokuwa wamelala. Tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia jana...

 

9 years ago

BBCSwahili

Je wajua siri ya Mamba usingizini?

Wataalamu wa masuala ya wanyama wamegundua kwamba, mamba ana uwezo wa kulala huku jicho lake moja likiwa wazi.

 

11 years ago

Mwananchi

Ujangili ulivyoiamsha Serikali usingizini

Taarifa ya Kamati ya Bunge ya Maliasili na Mazingira chini ya Mbunge wa Kahama, James Lembeli iliyotolewa hivi karibuni bungeni mjini Dodoma iliwapandisha hasira wabunge wenzake na hatimaye Mawaziri wanne wakajiuzulu.

 

10 years ago

Habarileo

Wanafamilia wagombea vyama, waumizana

WANACHAMA wa CCM na Chadema wa familia mbili tofauti wamepigana na kuumizana vibaya wakizozana kuhama katika vyama hivyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Halmashauri ya Jiji Dar ‘yazinduka usingizini’

Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam imetangaza kuanza rasmi usimamizi wa maegesho ya magari jijini Dar es Salaam uliokuwa ukifanywa na Halmashauri za Manispaa Ilala, Kinondoni na Temeke.

 

10 years ago

Mtanzania

Mbunge wa Ukonga afariki dunia usingizini

mwaiposaNA ARODIA PETER, DODOMA
MBUNGE wa Ukonga jijini Dar es Salaam, Eugen Mwaiposa (55), amefariki dunia usiku wa kuamkia jana mjini Dodoma akiwa usingizini.
Akitangaza msiba huo bungeni jana, Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai, alisema Mwaiposa alifariki dunia akiwa nyumbani kwake eneo la Chadulu mjini hapa.
Alisema kwa muda mrefu mbunge huyo aliyeingia bungeni kwa mara ya kwanza mwaka 2010, alikuwa na tatizo la shinikizo la damu.
Wabunge walikuwa wakiendelea kuchangia bajeti ya Wizara ya Afya na...

 

11 years ago

Mwananchi

Demokrasia Tanzania ni jinamizi linalotuvaa usingizini

Lipo somo mtu analojifunza katika kila jambo endapo tu ataamua kuiacha chupa yake ya akili wazi, kwa maana ya kuwa asiamini kwamba anajua kila kitu, binadamu mwenye nadhari nzuri anapaswa asiiaminishe sana akili yake, aiweke wazi kupokea vitu vipya, kamwe asifikirie kuwa chupa yake imejaa, hivyo haiwezi tena kuingia kitu kingine.

 

10 years ago

Habarileo

Wanafamilia washitakiana,wagombea maiti ya daktari

WANAFAMILIA ya daktari mstaafu, Cleophas Senga (80) aliyekuwa mkazi wa Chanji Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa ambaye kwa sasa ni marehemu, imefikishana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Sumbawanga, wakigombea maiti ya baba yao kwa muda wa siku tano sasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani