Wanafamilia wapoteza fahamu usingizini
WATU wanne wa familia moja wakiwemo watoto wawili wamelazwa katika zahanati ya Kata ya Kisorya, wilayani Bunda, baada kupoteza fahamu katika mazingira ya kutatanisha wakiwa wamelala ndani ya nyumba yao....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzivurugu zazuka kariakoo leo,wengi wapoteza fahamu
![](http://4.bp.blogspot.com/--NdybtcXQpk/VJmWHDjGlGI/AAAAAAAG5ZU/5H6LdT9AKxw/s1600/kariakoo2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Soz4C1GAsRI/VJmWH5COS6I/AAAAAAAG5Zw/wWlsllllQe8/s1600/kariakoo3.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima08 Feb
Ukuta waua wanafamilia
MVUA kubwa zinazoendelea kunyesha mkoani hapa zimesababisha vifo vya watu watatu wa familia moja baada ya kuangukiwa na ukuta wa nyumba walipokuwa wamelala. Tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia jana...
9 years ago
BBCSwahili22 Oct
Je wajua siri ya Mamba usingizini?
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Ujangili ulivyoiamsha Serikali usingizini
10 years ago
Habarileo01 Aug
Wanafamilia wagombea vyama, waumizana
WANACHAMA wa CCM na Chadema wa familia mbili tofauti wamepigana na kuumizana vibaya wakizozana kuhama katika vyama hivyo.
11 years ago
Mwananchi20 Jan
Halmashauri ya Jiji Dar ‘yazinduka usingizini’
10 years ago
Mtanzania03 Jun
Mbunge wa Ukonga afariki dunia usingizini
NA ARODIA PETER, DODOMA
MBUNGE wa Ukonga jijini Dar es Salaam, Eugen Mwaiposa (55), amefariki dunia usiku wa kuamkia jana mjini Dodoma akiwa usingizini.
Akitangaza msiba huo bungeni jana, Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai, alisema Mwaiposa alifariki dunia akiwa nyumbani kwake eneo la Chadulu mjini hapa.
Alisema kwa muda mrefu mbunge huyo aliyeingia bungeni kwa mara ya kwanza mwaka 2010, alikuwa na tatizo la shinikizo la damu.
Wabunge walikuwa wakiendelea kuchangia bajeti ya Wizara ya Afya na...
11 years ago
Mwananchi16 Mar
Demokrasia Tanzania ni jinamizi linalotuvaa usingizini
10 years ago
Habarileo13 Nov
Wanafamilia washitakiana,wagombea maiti ya daktari
WANAFAMILIA ya daktari mstaafu, Cleophas Senga (80) aliyekuwa mkazi wa Chanji Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa ambaye kwa sasa ni marehemu, imefikishana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Sumbawanga, wakigombea maiti ya baba yao kwa muda wa siku tano sasa.