Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je wajua siri ya Mamba usingizini?

Wataalamu wa masuala ya wanyama wamegundua kwamba, mamba ana uwezo wa kulala huku jicho lake moja likiwa wazi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wanafamilia wapoteza fahamu usingizini

WATU wanne wa familia moja wakiwemo watoto wawili wamelazwa katika zahanati ya Kata ya Kisorya, wilayani Bunda, baada kupoteza fahamu katika mazingira ya kutatanisha wakiwa wamelala ndani ya nyumba yao....

 

11 years ago

Mwananchi

Ujangili ulivyoiamsha Serikali usingizini

Taarifa ya Kamati ya Bunge ya Maliasili na Mazingira chini ya Mbunge wa Kahama, James Lembeli iliyotolewa hivi karibuni bungeni mjini Dodoma iliwapandisha hasira wabunge wenzake na hatimaye Mawaziri wanne wakajiuzulu.

 

11 years ago

Mwananchi

Demokrasia Tanzania ni jinamizi linalotuvaa usingizini

Lipo somo mtu analojifunza katika kila jambo endapo tu ataamua kuiacha chupa yake ya akili wazi, kwa maana ya kuwa asiamini kwamba anajua kila kitu, binadamu mwenye nadhari nzuri anapaswa asiiaminishe sana akili yake, aiweke wazi kupokea vitu vipya, kamwe asifikirie kuwa chupa yake imejaa, hivyo haiwezi tena kuingia kitu kingine.

 

10 years ago

Mtanzania

Mbunge wa Ukonga afariki dunia usingizini

mwaiposaNA ARODIA PETER, DODOMA
MBUNGE wa Ukonga jijini Dar es Salaam, Eugen Mwaiposa (55), amefariki dunia usiku wa kuamkia jana mjini Dodoma akiwa usingizini.
Akitangaza msiba huo bungeni jana, Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai, alisema Mwaiposa alifariki dunia akiwa nyumbani kwake eneo la Chadulu mjini hapa.
Alisema kwa muda mrefu mbunge huyo aliyeingia bungeni kwa mara ya kwanza mwaka 2010, alikuwa na tatizo la shinikizo la damu.
Wabunge walikuwa wakiendelea kuchangia bajeti ya Wizara ya Afya na...

 

11 years ago

Mwananchi

Halmashauri ya Jiji Dar ‘yazinduka usingizini’

Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam imetangaza kuanza rasmi usimamizi wa maegesho ya magari jijini Dar es Salaam uliokuwa ukifanywa na Halmashauri za Manispaa Ilala, Kinondoni na Temeke.

 

11 years ago

Mwananchi

Komla Dumor; Mtangazaji aliyefariki akiwa usingizini

>Afrika inasikitika kwa kifo cha Komla Dumor. Rais wa Ghana John Dramani Mahama amemtaja marehemu mtu huyu kama zawadi ya Ghana iliyoletwa kwenye ulimwenguni na kukaa kwa muda mfupi.

 

10 years ago

GPL

‘CHUMBA KILISHIKA MOTO NIKIWA USINGIZINI!’

Stori: MAKONGORO OGING’ NA Haruni Sanchawa
MWANAUME mmoja aitwaye Amani Mhegere (45) mkazi wa Yombo jijini Dar es Salaam, Julai 18, mwaka huu alinusurika kufa kwa moto baada ya nyumba yake kuanza kuungua akiwa usingizini. Bw. Amani Mhegere (45) aliyenusurika kufa kwa moto baada ya nyumba yake kuanza kuungua akiwa usingizini. Akizungumza na gazeti hili akiwa amelazwa katika wodi namba 23 iliyopo kwenye Jengo la Sewa...

 

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Video ya uwindaji haramu iitoe Serikali usingizini

>Video kuhusu uwindaji haramu hapa nchini iliyoonyeshwa kwa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam juzi na Waziri Kivuli wa Maliasili na Utalii, Peter Msigwa itakuwa imewashtua wengi. Video hiyo inaonyesha pasipo kuacha shaka jinsi baadhi ya kampuni za uwindaji nchini zinavyotumia vibaya leseni zao na kufanya vitendo vya ujangili.

 

5 years ago

BBCSwahili

Du Wei: Balozi wa China Israel anayedaiwa kuaga dunia akiwa usingizini

Balozi huyo alidaiwa kumshambulia waziri wa kigeni nchini Marekani Pompeo kuhusu mlipuko wa corona alipozuri Israel siku ya Ijumaa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani