Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Demokrasia Tanzania ni jinamizi linalotuvaa usingizini

Lipo somo mtu analojifunza katika kila jambo endapo tu ataamua kuiacha chupa yake ya akili wazi, kwa maana ya kuwa asiamini kwamba anajua kila kitu, binadamu mwenye nadhari nzuri anapaswa asiiaminishe sana akili yake, aiweke wazi kupokea vitu vipya, kamwe asifikirie kuwa chupa yake imejaa, hivyo haiwezi tena kuingia kitu kingine.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Jinamizi la rushwa laiporomosha Tanzania kimataifa-Utafiti

Tanzania imetajwa kushuka miongoni mwa nchi zinazofanya jitihada katika kupambana na rushwa, baada ya Taasisi ya Tranasparency International (TI) kueleza kwamba imeshuka kwa nafasi nane kutoka ya 111 mwaka jana hadi ya 119 mwaka huu.

 

9 years ago

Bongo5

Uhuru Kenyatta asifia demokrasia ya Tanzania

11207351_1166208840074334_7111082718879989795_n

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta ameipongeza Tanzania kwa namna ilivyoonesha ukomavu katika demokrasia baada ya uchaguzi.

11207351_1166208840074334_7111082718879989795_n

Kenya alikuwa mmoja wa viongozi wa Afrika waliohudhuria kuapishwa kwa Rais wa awamu ya tano wa Tanzania, Dokta John Magufuli.

Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Kenyatta ameandika:

I joined other Heads of State and Government for a state luncheon at State House gardens in Dar es Salaam following a colourful swearing-in ceremony of Dr. John Pombe Magufuli as the fifth...

 

9 years ago

Habarileo

EAC yaisifu Tanzania kwa kudumisha demokrasia

JUMUIYA ya Afrika Mashariki (EAC) imeipongeza na kuisifia Tanzania kuwa ni nchi ya kuigwa kutokana na kujali demokrasia na utawala bora kwa kufanya uchaguzi kila baada ya miaka mitano na kila baada ya miaka 10 kubadilisha viongozi wa juu, kwa mujibu wa katiba iliyojiwekea.

 

5 years ago

Bongo5

Anna Mghwira -Tanzania haina uchaguzi wa demokrasia

Aliyekuwa mgombea wa kiti cha Urais kupitia chama cha siasa ACT – Wazalendo, Anna Mghwira amedai Tanzania bado haina uchaguzi wa demokrasia huku akiweka wazi mpango wake wa kugombea ubunge katika uchaguzi ujao wa mwaka 2020 jimbo la Singida.

Mwanamama huyo ambaye alionyesha ujasiri mkubwa katika mbio za kuwania kiti cha Urais katika uchaguzi wa mwaka 2015, amesema hayo Jumatatu hii wakati akizungumza kupitia kipindi Cha Dakika 45 cha ITV.

“Siwazi siioni Tanzania ya uchaguzi ya mwaka 2020....

 

10 years ago

Dewji Blog

Wanazuoni wajadili mustakabali wa Tanzania demokrasia ya vyama vingi

IMG_4861

Jaji Francis Mtungi akifunguja mkutano wa wadau wa siasa  wa uimatishaji demokrasia ya vyama vingi

Jaji Francis Mtungi akifungua mkutano wa wadau wa siasa wa uimarishaji demokrasia ya vyama vingi.

Na Modewji Blog team

Dk. Benson Bana wa Chuo Kikuu cha Dare s salaam ambaye amebobea katika masuala ya siasa amewataka wadau wa siasa na wananchi kwa ujumla kuzuia uvunjifu wa amani kuelekea uchaguzi mkuu kwa kufuata Sheria na kutobeza mamlaka.

Dk Bana alisema hayo jana akijibu swali la msimamizi wa mdahalo wenye lengo la kuimarisha demokrasia ya vyama vingi ulioandaliwa na Msajili wa Vyama...

 

10 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AKUTANA NA WAJUMBE KITUO CHA DEMOKRASIA TANZANIA



Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) Mhe John Cheyo akiongea na Makamu Mwenyekiti wa TCD Mhe Philip Mangula, Katibu Mkuu wa CCM Ndg. ABdulrahman Kinana na Mhe Isack Cheyo walipowasili Ikulu ndogo mjini Dodoma kukutana na Rais Jakaya Mrisho Kikwete leo. Nyuma yao ni Mwenyekiti wa TLP Mhe Augustine Lyatonga Mrema na Mwenyekiti wa UPDP Mhe Fahmi Dovutwa leo. TCD inaundwa na vyama vyenye uwakilishi bungeni,...

 

10 years ago

GPL

WANAZUONI WAJADILI MUSTAKABALI WA TANZANIA DEMOKRASIA YA VYAMA VINGI‏

Jaji Francis Mtungi akifungua mkutano wa wadau wa siasa wa uimarishaji demokrasia ya vyama vingi. Mkurugenzi wa Mkazi wa Shirika Maendeleo la Umoja wa Mataifa UNDP, Philippe Poinsot akizungumza na wawakilishi wa vyama mbalimbali vya siasa na kiraia katika mkutano huo. Dk…

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete akutana na wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania mjini Dodoma

IMG-20140908-WA0005

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) wakati alipokutana nao kwenye Ikulu ndogo mjini Dodoma  Septemba 08, 2014.(Picha na Ikulu).

 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani