EAC yaisifu Tanzania kwa kudumisha demokrasia
JUMUIYA ya Afrika Mashariki (EAC) imeipongeza na kuisifia Tanzania kuwa ni nchi ya kuigwa kutokana na kujali demokrasia na utawala bora kwa kufanya uchaguzi kila baada ya miaka mitano na kila baada ya miaka 10 kubadilisha viongozi wa juu, kwa mujibu wa katiba iliyojiwekea.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog15 Jun
UN yaisifu Tanzania kuwa mstari wa mbele kutetea albino
Baadhi ya watu wenye ulemavu wakipita na mabango yenye ujumbe katika mitaa mbalimbali ya Jiji la Arusha kwa maandamano kwenye maadhimisho ya Siku yao ambayo inalenga kutoa elimu ya kupinga matendo maovu wanayofanyiwa na watu wenye nia mbaya.(Picha na modewjiblog)
Na Mwandishi wetu, Arusha
MRATIBU Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mkurugenzi wa Shirika la Mpango wa maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodgriguez amepongeza Tanzania kwa kuwa mstari wa mbele kushawishi dunia siku ya...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/UN-12.jpg?width=640)
UN YAISIFU TANZANIA KUWA MSTARI WA MBELE KUTETEA ALBINO
9 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-I7om-77pzno/VgIiqqT3VLI/AAAAAAAATPQ/Xeeo1cTex3s/s640/1.jpg)
TANZANIA NA CHINA KUENDELEA KUDUMISHA USHIRIKIANO
9 years ago
Dewji Blog22 Sep
UN na Serikali ya Tanzania kuendelea kudumisha amani iliyopo nchini
Mgeni rasmi Mkuu wa Ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), Zulmira Rodrigues (wa pili kushoto) akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Umoja wa Vilabu vya Waandishi wa Habari (UTPC), Abubakar Karsan mara baada ya kuwasili kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Nyanza jijini Mwanza kwenye maadhimisho ya siku ya kimataifa ya Amani ambapo kitaifa yamefanyika jijini humo na kuandaliwa na Baraza la Dini mbalimbali la Amani...
9 years ago
Dewji Blog23 Sep
Tanzania na China kuendelea kudumisha ushirikiano kupitia UTAMADUNI
Makamu wa Rais wa Makampuni ya StarTimes, Bi. Guo Ziqi (kushoto) akipokea zawadi ya kinyago kilichochongwa na wasanii wa Tanzania kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC- wa kwanza kulia) Bw. Clement Mshana wakati wa uzinduzi wa Maonyesho ya Filamu na Tamthiliya za Beijing kupitia kwenye Luninga ya mwaka 2015. Uzinduzi huo ulifanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki ikiwa ni jitihada za kukuza filamu pamoja na uhusiano wa kiutamaduni baina ya nchi hizo...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-I7om-77pzno/VgIiqqT3VLI/AAAAAAAATPQ/Xeeo1cTex3s/s72-c/1.jpg)
TANZANIA NA CHINA KUENDELEA KUDUMISHA USHIRIKIANO KUPITIA UTAMADUNI
![](http://4.bp.blogspot.com/-I7om-77pzno/VgIiqqT3VLI/AAAAAAAATPQ/Xeeo1cTex3s/s640/1.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar21 Oct
SERIKALI YA TANZANIA YATAKIWA KUDUMISHA AMANI WAKATI WA UCHAGUZI
Profesa Nicholas Boaz, Wednesday, October 21, 2015 NA MWANDISHI WETU WASHINGTON Serikali ya Tanzania imetakiwa kuhakikisha kuwa amani na usalama vinakuwepo wakati na baada ya kupiga kura katika uchaguzi mkuu utakaofanyika nchini Tanzania tarehe 25 mwezi […]
The post SERIKALI YA TANZANIA YATAKIWA KUDUMISHA AMANI WAKATI WA UCHAGUZI appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Vijimambo22 Sep
UN NA SERIKALI YA TANZANIA KUENDELEA KUDUMISHA AMANI ILIYOPO NCHINI
![IMG_0482](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/09/IMG_0482.jpg)
Mgeni rasmi Mkuu wa Ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), Zulmira Rodrigues (wa pili kushoto) akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Umoja wa Vilabu vya Waandishi wa Habari (UTPC), Abubakar Karsan mara baada ya kuwasili kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Nyanza jijini Mwanza kwenye maadhimisho ya siku ya kimataifa ya Amani ambapo kitaifa yamefanyika jijini humo na kuandaliwa na Baraza la Dini mbalimbali la Amani Tanzania...
11 years ago
Mwananchi02 May
‘Muungano wa Tanzania mfano kwa nchi za EAC’