Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Muungano wa Tanzania mfano kwa nchi za EAC’

>Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliozaa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania umeelezwa kuwa mfano halisi unaothibitisha uwezekano wa kuanzishwa na kudumu kwa Shirikisho la Afrika Mashariki (EAC).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MABALOZI WA TANZANIA NJE YA NCHI WATEMBELEA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA


Pichani ni Mabalozi wa Tanzania Nje ya Nchi Waliotembelea Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wa kwanza kushoto ni Balozi wa Tanzania Ubeligiji, Luxembourg na Jumuiya ya Ulaya Balozi Dr. Diodorus Buberwa Kamala.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zanzibar iige mfano wa Bunge la Muungano

WAKATI nilipokuwa Bagamoyo wiki iliyopita katika kikao maalumu cha Jukwaa la Wahariri, ndipo nchi hii ilipopata mtikisiko mkubwa wa kisiasa kwa baadhi ya mawaziri wa Serikali ya Muungano kulazimika kujiuzulu...

 

10 years ago

Vijimambo

EAC NA ECOWAS ZAONESHA MFANO, ZUMA

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Mahadhi Juma Maalim (Mb) kulia akimsikiliza Balozi wa Syria nje ya ukumbi wa mikutano jijini Addis Ababa. Katikati ni Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia, Mhe. Naimi Aziz. Na Ally Kondo, Addis AbabaMwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika, Bibi Nkosazana Zuma amezihimiza Jumuiya za Kikanda barani Afrika kuiga mfano wa EAC na ECOWAS ambazo zimefikia hatua za kuridhisha katika mtangamano wa kanda zao. Alisema mtangamano ni moja ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Treni za mizigo kuanza kazi kwa nchi za EAC

Wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wiki ijayo wanatarajia kuzindua treni ya mizigo ‘block train’ kutoka jijini hapa kwenda nchi wanachama kwa kutumia reli ya kati.

 

10 years ago

Vijimambo

MAWAZIRI WA EAC WAWASILISHA MAAMUZI YA WAKUU WA NCHI KWA RAIS WA BURUNDI

Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (Mb), akiwasilisha kwa Rais wa Burundi, Mhe. Pierre Nkurunziza maamuzi ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki uliofanyika tarehe 31 Mei, 2015 Jijini Dar es Salaam. Mhe. Mwakyembe aliongoza ujumbe wa Mawaziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki katika ziara ya kikazi nchini Burundi tarehe 15 Juni, 2015.Rais Nkurunziza akisalimiana na...

 

10 years ago

Michuzi

JUST IN: MAWAZIRI WA EAC WAWASILISHA MAAMUZI YA WAKUU WA NCHI KWA RAIS WA BURUNDI

  Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (Mb), akiwasilisha kwa Rais wa Burundi, Mhe. Pierre Nkurunziza maamuzi ya Mkutano wa  Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki uliofanyika tarehe 31 Mei, 2015 Jijini Dar es Salaam. Mhe. Mwakyembe  aliongoza ujumbe wa Mawaziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki katika ziara ya kikazi nchini Burundi tarehe 15 Juni, 2015.Rais Nkurunziza akisalimiana na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Dkt. Bilal aiwakilisha Tanzania katika mkutano wa 3 wa wakuu wa nchi za Afrika mashariki (EAC) jijini Nairobi, Kenya

9

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza katika mkutano wa 3  tatu wa wakuu wa Nchi za Afrika Mashariki (EAC) kuhusu miundombinu, uliofanyika katika ukumbi wa KICC jijini Nairobi jana  Novemba 29, 2014. (Picha na OMR).

Mheshimiwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal jana Novemba 29, 2014 aliiwakilisha Tanzania katika mkutano wa siku moja wa Wakuu wa Nchi zinazounda Jumuiya ya Afrika Mashariki jijini...

 

10 years ago

StarTV

Utekelezaji TASAF, Tanzania yatajwa nchi ya mfano Afrika

Na Frederick Siwale,

Njombe.

 

Tanzania inatajwa kuwa ni nchi ya mfano kati ya nchi za Afrika ambazo zinatekeleza mradi kama wa TASAF awamu ya tatu tangu kuanza uhawilishaji fedha kwa kaya masikini mpango ambao umeanza mwaka 2013.

 

Hayo yalibainishwa na Afisa Habari na Mawasiliano wa TASAF Zuhura Mdungi katika warsha ya wataalamu wa mpango wa utambuzi wa kaya masikini wilayani Mbarali mkoani Mbeya.

 

Mdungi alisema kwa hatua ambayo Tanzania imefikia katika kufanikisha uhawilishaji fedha kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani