MAWAZIRI WA EAC WAWASILISHA MAAMUZI YA WAKUU WA NCHI KWA RAIS WA BURUNDI
![](http://1.bp.blogspot.com/-7zlYWOV8TuQ/VYLAi_vYh9I/AAAAAAAAevs/4x46kpJdn98/s72-c/18207742664_9a6d918233_z.jpg)
Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (Mb), akiwasilisha kwa Rais wa Burundi, Mhe. Pierre Nkurunziza maamuzi ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki uliofanyika tarehe 31 Mei, 2015 Jijini Dar es Salaam. Mhe. Mwakyembe aliongoza ujumbe wa Mawaziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki katika ziara ya kikazi nchini Burundi tarehe 15 Juni, 2015.
Rais Nkurunziza akisalimiana na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7zlYWOV8TuQ/VYLAi_vYh9I/AAAAAAAAevs/4x46kpJdn98/s72-c/18207742664_9a6d918233_z.jpg)
JUST IN: MAWAZIRI WA EAC WAWASILISHA MAAMUZI YA WAKUU WA NCHI KWA RAIS WA BURUNDI
![](http://1.bp.blogspot.com/-7zlYWOV8TuQ/VYLAi_vYh9I/AAAAAAAAevs/4x46kpJdn98/s640/18207742664_9a6d918233_z.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7sxXNwS64L8/VYLAicYb_mI/AAAAAAAAevo/uHlQ4YwNQg0/s640/18642613848_0f396dfe46_z.jpg)
10 years ago
MichuziRais Kikwete aongoza Mkutano wa Pili wa Dharura wa Wakuu wa Nchi wa EAC kuhusu Burundi
10 years ago
GPLMKUTANO WA MAWAZIRI WA MAZINGIRA NA MAWAZIRI WA MAMBO YA NJE KUTOKA NCHI ZA KAMATI YA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA KUFANYIKA JIJINI DAR
10 years ago
MichuziMkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi wa EAC kuhusu Burundi kufanyika mwishoni mwa mwezi Mei
![](http://2.bp.blogspot.com/-FVaK6ezhFKA/VWNgUTSTkfI/AAAAAAAAd5M/yIxmGJ5xhfg/s640/2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog09 May
Rais aitisha kikao cha wakuu wa EAC kujadili Burundi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, ameitisha mkutano wa wakuu wenzake wa nchi hizo tano wa EAC, Jumatano ijayo, Mei 13, 2015, kujadili hali ilivyo katika Burundi, kwa kadri nchi hiyo inavyojiandaa kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu Juni 26, mwaka huu.
Rais Kikwete ametangaza habari ya kuitisha mkutano huo wakati alipozungumza na waandishi wa habari katika Makao...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zSB5UrD7OfQ/VZqVc7a_qbI/AAAAAAAHnU8/OPlFkFehqsg/s72-c/unnamed%2B%252855%2529.jpg)
Rais Kikwete aongoza kikao cha Dharura cha wakuu wa nchi za EAC
![](http://4.bp.blogspot.com/-zSB5UrD7OfQ/VZqVc7a_qbI/AAAAAAAHnU8/OPlFkFehqsg/s640/unnamed%2B%252855%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-w0Z1fyUMvEo/VZqXLsog4YI/AAAAAAAHnVQ/4oVdlx93CXg/s640/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-H3yK9HZUKjw/U_8Tw9CETlI/AAAAAAAGKq4/Zdf2fqmuGMk/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
mkutano wa Mawaziri wa Mazingira na Mambo ya Nje kutoka nchi za kamati ya wakuu wa nchi za Afrika kufanyika Agosti 29, jijini Dar
Alitoa rai hiyo alipokuwa akizungumza na waandishi wa Habari leo jijini Dar-es-salaam kuhusu mkutano wa Mawaziri wa Mazingira na Mambo ya Nje kutoka nchi za kamati ya wakuu wa nchi za Afrika kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi utakaofanyika jijini Dar-es -salaam katika ukumbi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OvILUXW7eKQ/VHq_ofggGgI/AAAAAAACvlE/ve302F_TY_4/s72-c/12.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AIWAKILISHA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA 3 WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI (EAC) KUHUSU MIUNDOMBINU JIJINI NAIROBI, KENYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-OvILUXW7eKQ/VHq_ofggGgI/AAAAAAACvlE/ve302F_TY_4/s1600/12.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-15zEC780sLc/VXfscPFBxFI/AAAAAAADq8g/UK6y37W01iY/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWASILI SHARM EL SHEIKH KUHUDHURIA MKUTANO WA TATU WA WAKUU WA NCHI NA SERIKALI YA UTATU WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI (EAC)
![](http://4.bp.blogspot.com/-15zEC780sLc/VXfscPFBxFI/AAAAAAADq8g/UK6y37W01iY/s640/1.jpg)