Utekelezaji TASAF, Tanzania yatajwa nchi ya mfano Afrika
Na Frederick Siwale,
Njombe.
Tanzania inatajwa kuwa ni nchi ya mfano kati ya nchi za Afrika ambazo zinatekeleza mradi kama wa TASAF awamu ya tatu tangu kuanza uhawilishaji fedha kwa kaya masikini mpango ambao umeanza mwaka 2013.
Hayo yalibainishwa na Afisa Habari na Mawasiliano wa TASAF Zuhura Mdungi katika warsha ya wataalamu wa mpango wa utambuzi wa kaya masikini wilayani Mbarali mkoani Mbeya.
Mdungi alisema kwa hatua ambayo Tanzania imefikia katika kufanikisha uhawilishaji fedha kwa...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMAJADILIANO YA RIPOTI YA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA MAFANIKIO NCHI ZA AFRIKA
10 years ago
VijimamboMKUTANO WA MAJADILIANO YA RIPOTI YA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA MAFANIKIO NCHI ZA AFRIKA WAFANYIKA MJINI ABIDJAN
11 years ago
CloudsFM07 Aug
CLOUDS FM YATAJWA REDIO BARA 20 AFRIKA
Clouds fm imetajwa katika listi ya redio 20 bora za barani Afrika, kwa mujibu wa mtandao wa network africa, asanteni sana jamani tunajua kuwa hii nguvu ya waskilizaji na wadau wetu bofya hapo ushuhudie..http://www.networkafrica.com/top-20-best-radio-stations-africa/
11 years ago
Mwananchi02 May
‘Muungano wa Tanzania mfano kwa nchi za EAC’
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7eSrINH3cgM/VPc2Y3VzKRI/AAAAAAAHHuw/SVUFJFXyBhE/s72-c/UN%2B(2).jpg)
AFRIKA KUSINI YATAJWA KUWA NA NJIA NYINGI ZA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA
Imeelezwa kuwa nchi ya Afrika Kusini katika bara la Afrika ndio inayoongoza kwa kuwa na njia nyingi za usafirishaji wa dawa za kulevya aina ya Cocaine na Heroine .
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo,Afisa Habari wa Kituo Cha Habari wa Umoja wa Mataifa (UNIC),Stella Vuzo alisema kuwa hilo limetokana na ripoti ya Bodi ya Kupambana na Dawa za Kulevya ya Umoja wa Mataifa imeweka mkazo katika kwa nchi mwanachama kuweka mikakati katika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ST0P_GFGOqU/Xs5BmLnKRfI/AAAAAAALrsU/CxmCbcudBPAAzDX66yJgqNazYiCEm699gCLcBGAsYHQ/s72-c/New%2BPicture.png)
TASAF KUANZA UTEKELEZAJI WA KIPINDI CHA PILI CHA AWAMU YAKE YA TATU NCHINI KOTE.
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii- TASAF umekamilisha mipango itakayowezesha kuanza kwa utekelezaji wa Kipindi cha Pili cha Awamu yake ya TATU kufuatia uzinduzi uliofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.
Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF ,Ladislaus Mwamanga amekutana na Wandishi wa Habari jijini Dar es salaam na kuwajulisha kuwa mipango ya kuanza utekelezaji wa kipindi cha pili ambayo imezingatia maelekezo ya Serikali inaelekea kukamilika.
Mkurugenzi...
10 years ago
BBCSwahili02 Dec
Uchaguzi Namibia mfano wa kuigwa Afrika
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ccv79ba4KWALXXgBP0lJU601jXnzLDn-Pwa0AE8GjJIvn5DnkMHeHPoYqVixviVJxusgeuq6n3dKZNhDqK7CeFy9pzCLVcXC/mpaper.jpg?width=650)
PROGRAMU YA KUSOMEA MAGAZETI KWENYE SIMU “mPaper” YATAJWA KUWANIA TUZO 2 AFRIKA
10 years ago
Mwananchi07 Oct
Afrika iige mfano wa China katika maendeleo