Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PROGRAMU YA KUSOMEA MAGAZETI KWENYE SIMU “mPaper” YATAJWA KUWANIA TUZO 2 AFRIKA

PROGRAMU ya kusomea magazeti kwenye simu za mikononi hapa nchini ya mPaper jana imetajwa kuwania tuzo mbili za ugunduzi kwa mwaka 2015 kutoka shirika la AppsAfrica lililopo nchini Afrika Kusini. mPaper imetajwa kuwania tuzo mbili, moja ni Programu bora ya Afrika na nyingine ni Tuzo ya ugunduzi bora wa kielimu. Hizi ni habari njema kwa Watanzania wote, hasa ukizingatia ni wiki hii mwanamuziki wa Kitanzania, Naseeb Abdul...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

FILAMU YA ESPINHO DA ROSA “THE THORN OF THE ROSE” YATWAA TUZO TATU TAMASHA LA 17 LA ZIFF 2014‏

Malkia wa Filamu ya Espinho da Rosa (the Thorn of the rose) ya Filipe Henriques kutoka Guinea Bissau ADY de Batista akiwasili huku akiongozana na Meneja wake Sholey Maqueta kwenye usiku maalum wa tuzo wakati wa tamasha la 17 la ZIFF 2014 lililomalizika mwishoni mwa juma visiwani Zanzibar kwenye viunga vya Ngome Kongwe Mkurugenzi Mtendaji wa Hoteli ya Doubletree by Hilton Zanzibar, Bw. Samuel(kulia) Bond na Mkewe Jenny Bond...

 

11 years ago

GPL

SKYLIGHT BAND YAZIDI KUWAKUNA MASHABIKI WAO, SASA KUWALIPIA WASHINDI WA KUCHEZA STYLE YA “KIKUKU” USAFIRI, TIKETI NA VINYWAJI KWENYE SHOW ZAO!‏

Kijana Machachari wa Skylight Band Hashim Donode (kushoto) akilianzisha Taratibuuuu Ijumaa iliyopita ndani ya Thai Village akipewa Sapoti na Sony Masamba. Sasa mashabiki na wapenzi wa Skylight Band kila wiki wanashindanishwa kucheza staili yao matata ya "Kikuku na washindi hupewa ofa ya kulipiwa vinywaji, kiingilio na usafiri. Mwanzo ilikuwa Ijumaa iliyopita ambapo washindi walipewa ofa hiyo pamoja na kuhudhuria show yao kali...

 

10 years ago

GPL

“NINA TATIZO LA MGONGO”

Stori: Imelda Mtema na Denis Mtima/UWAZI
INASIKITISHA! Mtoto Seif Sudi Seif, 15, (pichani), wa Shule ya Msingi Hedenzeri, Tanga analia kwa uchungu akitaka kusaidiwa ili aweze kutimiza ndoto zake kutokana na tatizo lake la kushindwa kutembea kutokana na kuumwa mgongo. Mtoto Seif Sudi Seif akishindwa kutembea kutokana na tatizo la mgongo. Mama wa mtoto huyo, Fatuma Hemed aliliambia gazeti hili akiwa nyumbani kwa shemeji yake...

 

10 years ago

GPL

“NIMEPONEA CHUPUCHUPU KUKATWA MGUUU”

Makongoro Oging’ na Issa Mnally
Brown Mwirwa (42), mkazi wa Tunduma wilayani Momba, Mkoa wa Mbeya  ameponea chupuchupu kukatwa mguu wa kulia uliovunjika mara mbili katika ajali ya kugongwa na gari hivi karibuni akiwa abiria kwenye pikipiki.Akizungumza na waandishi wetu katika Hospitali ya Upasuaji wa Mifupa na Viungo Burere iliyopo Kibaha Kwamathias, Pwani alisema ajali hiyo aliipata hivi karibuni akiwa abiria katika...

 

10 years ago

GPL

“WOMEN MAKE IT HAPPEN” - EVENT

Siku Ya Wanawake Dunia huadhimishwa kila ifikapo Tarehe 8, mwezi wa tatu. Siku hii huadhimishwa kwa shughuli mbalimbali na kutambua mchango wa mwanamke katika maendeleo ya Jamii. Mwaka huu kitaifa Siku hii itaadhimishwa mkoani Morogoro lakini kampuni ya TruMark ya mjini Dar es Salaam imeandaa warsha maalum katika maadhimisho hayo ambayo itafanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City Dar es Salaam Machi 7 mwaka huu.Kauli mbiu ya Siku...

 

9 years ago

GPL

HITILAFU NDANI YA KIZAZI “ENDOMETRIOSIS”-2

Wiki iliyopita nilianza kulizungumzia tatizo hili na leo nitaimalizia ili wiki ijayo nianze mada nyingine. JINSI YA KUJIKINGA NA TATIZO
Kila mwanamke aliye katika umri wa kuzaa anaweza kupatwa na tatizo hili. Mwanamke aliye katika umri wa kuzaa ni kuanzia msichana aliyevunja ungo hadi yule mama aliyefikia ukomo wa hedhi. Kwa hiyo njia za kujinasua usipatwe na tatizo hili ni kuwa na tabia ya kufanya mazoezi ya mwili mara kwa...

 

11 years ago

CNN (Blog)

Tanzania's Blood Ivory: “This is madness now”


IPPmedia
Tanzania's Blood Ivory: “This is madness now”
CNN (blog)
That's the dire message from the president of Tanzania, who spoke to CNN's Christiane Amanpour about his country's battle against wildlife poaching. President Jakaya Kikwete joined Amanpour in London, where heads of state are meeting to find a solution ...
Tourism asset protection Tanzanian President bans the sale of ivory stockpileeTurboNews
Tanzania president says poaching boom threatens elephant populationReuters
Mulls...

 

9 years ago

GPL

SHETTA MZEE WA”SHIKOLOBO” KUBONGA NA WATEJA WA VODACOM ”LIVE”

Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu (kushoto) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kuzindua huduma mpya ya “Bonga na Staa” inayowapa fursa wateja wa kampuni hiyo kuongea moja kwa moja”LIVE” na mtu mashuhuri wanaompenda ambapo wiki hii mashabiki wa mwanamuziki wa kizazi kipya wa bongo fleva Nurdin Billal”Shetta”watapata nafasi hiyo.Ili kujiunga na huduma hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani