Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


“WOMEN MAKE IT HAPPEN” - EVENT

Siku Ya Wanawake Dunia huadhimishwa kila ifikapo Tarehe 8, mwezi wa tatu. Siku hii huadhimishwa kwa shughuli mbalimbali na kutambua mchango wa mwanamke katika maendeleo ya Jamii. Mwaka huu kitaifa Siku hii itaadhimishwa mkoani Morogoro lakini kampuni ya TruMark ya mjini Dar es Salaam imeandaa warsha maalum katika maadhimisho hayo ambayo itafanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City Dar es Salaam Machi 7 mwaka huu.Kauli mbiu ya Siku...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

“WOMEN MAKE IT HAPPEN” - EVENT

Siku Ya Wanawake Dunia huadhimishwa kila ifikapo Tarehe 8, mwezi wa tatu. Siku hii huadhimishwa kwa shughuli mbalimbali na kutambua mchango wa mwanamke katika maendeleo ya Jamii.

Mwaka huu kitaifa Siku hii itaadhimishwa mkoani Morogoro lakini kampuni ya TruMark ya mjini Dar es Salaam imeandaa warsha maalum katika maadhimisho hayo ambayo itafanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City Dar es Salaam Machi 7 mwaka huu.Kauli mbiu ya Siku hii ni Women Make It Happen’ ikiwa inamaanisha wanawake...

 

10 years ago

GPL

“NINA TATIZO LA MGONGO”

Stori: Imelda Mtema na Denis Mtima/UWAZI
INASIKITISHA! Mtoto Seif Sudi Seif, 15, (pichani), wa Shule ya Msingi Hedenzeri, Tanga analia kwa uchungu akitaka kusaidiwa ili aweze kutimiza ndoto zake kutokana na tatizo lake la kushindwa kutembea kutokana na kuumwa mgongo. Mtoto Seif Sudi Seif akishindwa kutembea kutokana na tatizo la mgongo. Mama wa mtoto huyo, Fatuma Hemed aliliambia gazeti hili akiwa nyumbani kwa shemeji yake...

 

9 years ago

GPL

HITILAFU NDANI YA KIZAZI “ENDOMETRIOSIS”-2

Wiki iliyopita nilianza kulizungumzia tatizo hili na leo nitaimalizia ili wiki ijayo nianze mada nyingine. JINSI YA KUJIKINGA NA TATIZO
Kila mwanamke aliye katika umri wa kuzaa anaweza kupatwa na tatizo hili. Mwanamke aliye katika umri wa kuzaa ni kuanzia msichana aliyevunja ungo hadi yule mama aliyefikia ukomo wa hedhi. Kwa hiyo njia za kujinasua usipatwe na tatizo hili ni kuwa na tabia ya kufanya mazoezi ya mwili mara kwa...

 

10 years ago

GPL

“NIMEPONEA CHUPUCHUPU KUKATWA MGUUU”

Makongoro Oging’ na Issa Mnally
Brown Mwirwa (42), mkazi wa Tunduma wilayani Momba, Mkoa wa Mbeya  ameponea chupuchupu kukatwa mguu wa kulia uliovunjika mara mbili katika ajali ya kugongwa na gari hivi karibuni akiwa abiria kwenye pikipiki.Akizungumza na waandishi wetu katika Hospitali ya Upasuaji wa Mifupa na Viungo Burere iliyopo Kibaha Kwamathias, Pwani alisema ajali hiyo aliipata hivi karibuni akiwa abiria katika...

 

11 years ago

CNN (Blog)

Tanzania's Blood Ivory: “This is madness now”


IPPmedia
Tanzania's Blood Ivory: “This is madness now”
CNN (blog)
That's the dire message from the president of Tanzania, who spoke to CNN's Christiane Amanpour about his country's battle against wildlife poaching. President Jakaya Kikwete joined Amanpour in London, where heads of state are meeting to find a solution ...
Tourism asset protection Tanzanian President bans the sale of ivory stockpileeTurboNews
Tanzania president says poaching boom threatens elephant populationReuters
Mulls...

 

9 years ago

GPL

SHETTA MZEE WA”SHIKOLOBO” KUBONGA NA WATEJA WA VODACOM ”LIVE”

Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu (kushoto) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kuzindua huduma mpya ya “Bonga na Staa” inayowapa fursa wateja wa kampuni hiyo kuongea moja kwa moja”LIVE” na mtu mashuhuri wanaompenda ambapo wiki hii mashabiki wa mwanamuziki wa kizazi kipya wa bongo fleva Nurdin Billal”Shetta”watapata nafasi hiyo.Ili kujiunga na huduma hiyo...

 

10 years ago

GPL

“BILA NYINYI WATANZANIA, MIMI NAKUFA”

Stori:  Makongoro Oging’
“Hali niliyonayo kiafya kwa sasa ni ya kutia mashaka, sina muda mrefu kuendelea kuishi hapa duniani, nikifikiria ninavyoteseka ndani ya familia yangu nikichanganya na maumivu ya ugonjwa usiopata matibabu, naamini bila msaada wenu nitafariki dunia.” Hajira Twalib Mdoka akiwa mwenye maumivu makali baada ya kuugua ugonjwa wa kansa. Hivyo ndivyo alivyoanza kusimulia mtoto Hajira...

 

9 years ago

GPL

KUPOTEZA HAMU YA KULA “ANOREXIA NERVOSA”

Hili ni tatizo la kukosa kabisa hamu ya kula na kumfanya mtu apungue sana uzito kutokana na kuogopa kunenepa au kuongezeka uzito. Watu wanaopata zaidi tatizo hili ni wale waliokusudia hasa kwa dhati kujinyima kula ili wapungue uzito na mwili kuwa mwembamba hivyo hujinyima kula kwa kiasi kikubwa kwa kujihisi kuwa wana uzito au miili mikubwa au kujihisi wanene. Tatizo hili la kujihisi unene ni la kisaikolojia zaidi kwani tunaposema...

 

11 years ago

SW Radio Africa

Dell Arricia dubbed “Mugabe's EU cheerleader”


SW Radio Africa
Dell Arricia dubbed “Mugabe's EU cheerleader”
SW Radio Africa
The European Union's ambassador to Zimbabwe has continued to receive strong criticism for comments he made recently, supporting the Mugabe regime and blasting civil society for attacking the ageing leader's government. The latest salvo against Aldo ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani