SHETTA MZEE WA”SHIKOLOBO” KUBONGA NA WATEJA WA VODACOM ”LIVE”
![](http://api.ning.com:80/files/7KfVtj4CX6g*AXHZfuqUVkc6wwIzntQ9wbJkH5zDmBDv7ADRl8ojOGv404IAMWmTEQqG*72baEYfnBz*8r35gIqIpg4JPWys/003.chat.jpg)
Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu (kushoto) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kuzindua huduma mpya ya “Bonga na Staa†inayowapa fursa wateja wa kampuni hiyo kuongea moja kwa mojaâ€LIVE†na mtu mashuhuri wanaompenda ambapo wiki hii mashabiki wa mwanamuziki wa kizazi kipya wa bongo fleva Nurdin Billalâ€Shettaâ€watapata nafasi hiyo.Ili kujiunga na huduma hiyo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LYZrjK6etVflh5O0bVh7*eucrX6x5*nVPgaId9xV2Pqya0cK9qnCekK7Zr*EtRtvbHY6sjj8andzMfmbBj2mSb-jjJQty3T*/001.FINAL.jpg)
KUNDI LA”WAKALI SISI” LATIMKA NA MILIONI 5 ZA SHINDANO LA DANCE100% 2014
Kikundi cha The WT cha jijini Dar es Salaam kilichoshinda nafasi ya pili katika fainali ya shindano la Dance 100% 2014 likionesha umahiri wao wa kudansi katika fainali hiyo iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Don Bosco Oysterbay jijini Dar es Salaam.Ambapo kundi laâ€WAKALI SISIâ€toka kiwalani jijini liliibuka na ushindi huo na kujinyakulia kitita cha shilingi Milioni 5 toka kwa wadhamini wakuu wa shindano...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m3kRA-aqkq*gWSoiFCqjvgeWSyMcHZy9laMw06s2z-e3Mu9Fsbq9-7w5rzLSWnV1XQuFmFP38wdOneFpydaomf3KrtpFRJni/001.KABUMBU.jpg)
VODACOM YAJA NA PROMOSHENI YA “SHINDA NA KABUMBU”
Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu (kushoto) akiongea  na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa Promosheni ya â€SHINDA NA KABUMBUâ€inayolenga kuwawezesha wadau wa soka na wateja wa kampuni hiyo kushiriki kwa kutuma neno SOKA kwenda namba 15725 ambapo mteja atakuwa akiulizwa maswali mbalimbali kwa njia ya ujumbe kuhusiana na maswala ya soka na kuweza kujishindia fedha...
10 years ago
MichuziPROF J AFUNIKA TAMASHA LA "VODACOM MAISHA NI MURUA COCO BEACH”
9 years ago
Bongo504 Sep
Shetta kubonga na wateja wa Vodacom ‘LIVE’
Mashabiki wa mwanamuziki wa kizazi kipya wa bongo fleva Nurdin Billal alimaarufu kama Shetta watapata fursa ya kubonga naye Live Kutokana na kuzinduliwa kwa huduma mpya ya ‘Bonga na Star’ iliyozinduliwa leo na Vodacom Tanzania mahususi kwa wateja wake. Shetta (katikati)akifafanua jambo kwa waandishi wa habari(hawapo pichani)kuhusiana na kupata fursa ya kwanza ya kuongea moja […]
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmFIhqID0Foy6BawwqRJcsxXpQJnmlz229U6Eyugeok2GnjwZ1OhxTpLObr81C-jiOMWEKBa4Srg9-ipLysly6t82BsBaK3i/001.Droo.jpg?width=650)
WASHINDI 62 WAMEJINYAKULIA ZAWADI MBALIMBALI KUPITIA PROMOSHENI YA “SHINDA NA KABUMBU” YA VODACOM
Humudini Abdulhussen Ofisa Mwandamizi wa Bodi ya Kusimamia Michezo ya Kubahatisha Tanzania (kushoto) akihakiki moja ya namba za simu anazoonyeshwa kwenye kompyuta mpakato na Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu (katikati) na Ofisa Masoko wa kampuni hiyo Prestin Lyatonga (kulia) wakati wa droo ya pili ya shindano la “Shinda na Kabumbu†inayowawezesha wadau wa soka na wateja wa kampuni hiyo...
9 years ago
GPLAIRTEL YAWAZAWADIA WATEJA WAKE MAMILIONI KUPITIA PROMOSHENI YAKE YA “JIONGEZEE NA MSHIKO”
Maneja mauzo wa Airtel Kigoma Philip Nkupama (kushoto) akimzawadia shilingi million moja, Bwana Luwi Saulo Karunda kutoka Kigoma baada ya kuwa mshindi katika droo ya nane ya promosheni ya “Jiongeze na Mshiko”. Afisa huduma za ziada Airtel bwana Fabian Felician.(kulia) akimzawadia shilingi million tatu Habibu Mwella Freuzi (kushoto), shilingi million tatu, baada ya kuwa mshindi katika droo ya nane ya promosheni ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LXZYmTRupZ**gQFD*b2ApDlBJ7fJRalKi083wfZhBnpVg9MqAnrqzDoVAUsN3iQtdqVjeui8UIuC8m3MMfAwQP6Xn9IJz5Fb/Mgongo.jpg?width=650)
“NINA TATIZO LA MGONGO”
Stori: Imelda Mtema na Denis Mtima/UWAZI
INASIKITISHA! Mtoto Seif Sudi Seif, 15, (pichani), wa Shule ya Msingi Hedenzeri, Tanga analia kwa uchungu akitaka kusaidiwa ili aweze kutimiza ndoto zake kutokana na tatizo lake la kushindwa kutembea kutokana na kuumwa mgongo. Mtoto Seif Sudi Seif akishindwa kutembea kutokana na tatizo la mgongo. Mama wa mtoto huyo, Fatuma Hemed aliliambia gazeti hili akiwa nyumbani kwa shemeji yake...
10 years ago
Michuzi24 Apr
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania