VODACOM YAJA NA PROMOSHENI YA “SHINDA NA KABUMBU”
![](http://api.ning.com:80/files/m3kRA-aqkq*gWSoiFCqjvgeWSyMcHZy9laMw06s2z-e3Mu9Fsbq9-7w5rzLSWnV1XQuFmFP38wdOneFpydaomf3KrtpFRJni/001.KABUMBU.jpg)
Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu (kushoto) akiongea  na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa Promosheni ya â€SHINDA NA KABUMBUâ€inayolenga kuwawezesha wadau wa soka na wateja wa kampuni hiyo kushiriki kwa kutuma neno SOKA kwenda namba 15725 ambapo mteja atakuwa akiulizwa maswali mbalimbali kwa njia ya ujumbe kuhusiana na maswala ya soka na kuweza kujishindia fedha...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmFIhqID0Foy6BawwqRJcsxXpQJnmlz229U6Eyugeok2GnjwZ1OhxTpLObr81C-jiOMWEKBa4Srg9-ipLysly6t82BsBaK3i/001.Droo.jpg?width=650)
WASHINDI 62 WAMEJINYAKULIA ZAWADI MBALIMBALI KUPITIA PROMOSHENI YA “SHINDA NA KABUMBU” YA VODACOM
Humudini Abdulhussen Ofisa Mwandamizi wa Bodi ya Kusimamia Michezo ya Kubahatisha Tanzania (kushoto) akihakiki moja ya namba za simu anazoonyeshwa kwenye kompyuta mpakato na Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu (katikati) na Ofisa Masoko wa kampuni hiyo Prestin Lyatonga (kulia) wakati wa droo ya pili ya shindano la “Shinda na Kabumbu†inayowawezesha wadau wa soka na wateja wa kampuni hiyo...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zq4OuGuA3Oo/VGnUogUPR_I/AAAAAAAGxxw/Tp9bPnVGcvk/s72-c/unnamed%2B(52).jpg)
Vodacom yaja na promosheni ya “shinda na kabumbu”
Wadau wa soka nchini na wateja Vodacom Tanzania kwa ujumla wameletewa Promosheni mpya na ya aina yake iliyozinduliwa jana na kampuni hiyo ambapo imewalenga wapenzi wa soka na wateja wa kampuni hiyo kushiriki katika Promosheni ya “SHINDA NA KAMBUMBU”
Promosheni hii ambayo itadumu kwa kipindi cha mwezi mmoja kuanzia leo itawafanya wapenzi wa soka kuchemsha bongo kujibu maswali mbalimbali kuhusiana na ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara,Ligi kuu ya Uingereza,na masuala mengine mengi...
Promosheni hii ambayo itadumu kwa kipindi cha mwezi mmoja kuanzia leo itawafanya wapenzi wa soka kuchemsha bongo kujibu maswali mbalimbali kuhusiana na ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara,Ligi kuu ya Uingereza,na masuala mengine mengi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-M2TSHk5HcyY/VHWpbe7cXRI/AAAAAAAGzgk/RS6QHyAMjTs/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
Washindi 62 wamejinyakulia zawadi mbalimbali kupitia promosheni ya “shinda na kabumbu” ya Vodacom
Jumla ya washindi 62 mpaka sasa wamejishindia zawadi ya shilingi 50,000 kila mmoja na wateja wawili wakubwa wa wiki wamejishindia 1,000,000 kila mmoja katika droo ya kwanza na ya pili ya promosheni ya “SHINDA NA KABUMBU” iliyozinduliwa hivi karibuni ikiwa inawalenga wapenzi wa soka.
Washindi wa shilingi 1,000,000/-katika droo ya kwanza ni Salome Mayoba mkazi wa Kahama,na mshindi wa droo ya pili ni na Raymond Mwegoha mkazi wa Dar es Salaam ambapo washindi wa shilingi 50,000/- wametangazwa...
Washindi wa shilingi 1,000,000/-katika droo ya kwanza ni Salome Mayoba mkazi wa Kahama,na mshindi wa droo ya pili ni na Raymond Mwegoha mkazi wa Dar es Salaam ambapo washindi wa shilingi 50,000/- wametangazwa...
10 years ago
GPLAIRTEL YATANGAZA WASHINDI WA DRAW YA PILI YA PROMOSHENI YA “JIONGEZE NA MSHIKO”
Afisa Uhusiano na matukio wa Airtel, Dangio Kaniki (katikati) akiongea na mshindi aliyepatikana wakati wa kuchezesha droo ya pili ya wiki ya promosheni ya "Jiongeze na Mshiko" ambapo wateja wawili wa Airtel kutoka mikoa ya Musoma na Tabora walipatikana akichukua taarifa za mshindi (kushoto) ni mkaguzi kutoka bodi ya michezo ya kubahatisha bwana Humudi Abdul Hussein na Afisa huduma za ziada Airtel bwana Fabian Felician. Droo hii...
9 years ago
GPLAIRTEL YAWAZAWADIA WATEJA WAKE MAMILIONI KUPITIA PROMOSHENI YAKE YA “JIONGEZEE NA MSHIKO”
Maneja mauzo wa Airtel Kigoma Philip Nkupama (kushoto) akimzawadia shilingi million moja, Bwana Luwi Saulo Karunda kutoka Kigoma baada ya kuwa mshindi katika droo ya nane ya promosheni ya “Jiongeze na Mshiko”. Afisa huduma za ziada Airtel bwana Fabian Felician.(kulia) akimzawadia shilingi million tatu Habibu Mwella Freuzi (kushoto), shilingi million tatu, baada ya kuwa mshindi katika droo ya nane ya promosheni ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pD0SOsZNPnc/VGxaTk59vbI/AAAAAAAGyKw/nh7kkBAjbXo/s72-c/PR.png)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FxVhj34_H-4/VM9gWf6dIVI/AAAAAAAAps8/VbRhlCJf49k/s72-c/DSCF2650.jpg)
Airtel yaja na Promosheni Mpya ya "shinda gari na Yatosha Zaidi"
![](http://4.bp.blogspot.com/-FxVhj34_H-4/VM9gWf6dIVI/AAAAAAAAps8/VbRhlCJf49k/s1600/DSCF2650.jpg)
10 years ago
GPLAIRTEL YAKABITHI PESA KWA WASHINDI WA PROMOSHENI YA “JIONGEZE NA MSHIKO”
Gabriel Ferdinand (kulia) mwanafunzi wa Musoma Mara akikabidhiwa fedha na Meneja wa Airtel Musoma, Emmanuel Rafael (Kushoto) baada ya kuibuka mshindi wa droo ya pili ya promosheni ya “Jiongeze na Mshikoâ€. Hamisi Rashid (kulia) mkulima wa Sikonge, Tabora akikabidhiwa fedha na Meneja wa Airtel Tabora, Phidelis Lugangila (Kushoto) baada ya kuibuka mshindi wa droo ya pili ya shindano la “Jiongeze na Mshikoâ€....
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OcxvxG4wHxb4GmzbSxLrzRbVhokGbWirLjrHtQCmo-KbpqvMZplDF-mEv1AgQbyXGgzErwumnAyZx5caeVGxNNYSyd5g4VD4/CASTLELITE.jpg)
BIA YA CASTLE LITE YAZINDUA PROMOSHENI YA “LITE UP THE WEEKEND”
Meneja msaidizi wa Castle Lite, Victoria Kimaro akizungumza katika uzinduzi wa kampeni ya shindano la Lite Up The Weekend ambapo washindi watajipatia VIP tiketi ya kushiriki katika Yacht Party. Katikati ni Meneja wa Castle Lite Geofray Makau na pembeni ni meneja masoko wa Castle Lite Vimal Vaghmaria. Wanahabari wakielekea eneo la maegesho ya Yacht itakayotumika katika kilele cha cha kampeni ya Lite Up The Weekend.… ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania