Vodacom yaja na promosheni ya “shinda na kabumbu”
.jpg)
Wadau wa soka nchini na wateja Vodacom Tanzania kwa ujumla wameletewa Promosheni mpya na ya aina yake iliyozinduliwa jana na kampuni hiyo ambapo imewalenga wapenzi wa soka na wateja wa kampuni hiyo kushiriki katika Promosheni ya “SHINDA NA KAMBUMBU”
Promosheni hii ambayo itadumu kwa kipindi cha mwezi mmoja kuanzia leo itawafanya wapenzi wa soka kuchemsha bongo kujibu maswali mbalimbali kuhusiana na ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara,Ligi kuu ya Uingereza,na masuala mengine mengi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
VODACOM YAJA NA PROMOSHENI YA “SHINDA NA KABUMBU”
10 years ago
Michuzi.jpg)
Washindi 62 wamejinyakulia zawadi mbalimbali kupitia promosheni ya “shinda na kabumbu” ya Vodacom
Washindi wa shilingi 1,000,000/-katika droo ya kwanza ni Salome Mayoba mkazi wa Kahama,na mshindi wa droo ya pili ni na Raymond Mwegoha mkazi wa Dar es Salaam ambapo washindi wa shilingi 50,000/- wametangazwa...
10 years ago
GPL
WASHINDI 62 WAMEJINYAKULIA ZAWADI MBALIMBALI KUPITIA PROMOSHENI YA “SHINDA NA KABUMBU” YA VODACOM
10 years ago
Michuzi
10 years ago
Michuzi
Airtel yaja na Promosheni Mpya ya "shinda gari na Yatosha Zaidi"

11 years ago
Michuzi.jpg)
Washindi Promosheni Shinda Ki-Brazil na Mwanaspoti wazawadiwa
.jpg)
.jpg)
11 years ago
GPLDROO NDOGO YA PILI PROMOSHENI YA SHINDA MAHELA YAFANYIKA MABIBO JIJINI DAR
10 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAKABIDHI ZAWADI KWA WASHINDI WA PROMOSHENI YA 'Tuma Pesa na SimBanking Shinda Passo’
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Michuzi.jpg)
EFM yaja na Promosheni ya Shika Ndinga
.jpg)
Washiriki wa shindano kwa Wanawake walikua 21 na wanaume 20 ambapo kati ya hao ni Wanawake Watano na Wanaume watano waliofanikiwa kuendelea mbele katika raundi nyingine ambapo...