Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BIA YA CASTLE LITE YAZINDUA PROMOSHENI YA “LITE UP THE WEEKEND”

Meneja msaidizi wa Castle Lite, Victoria Kimaro akizungumza katika uzinduzi wa kampeni ya shindano la Lite Up The Weekend ambapo washindi watajipatia VIP tiketi ya kushiriki katika Yacht Party. Katikati ni Meneja wa Castle Lite Geofray Makau na pembeni ni meneja masoko wa Castle Lite Vimal Vaghmaria. Wanahabari wakielekea eneo la maegesho ya Yacht itakayotumika katika kilele cha cha kampeni ya Lite Up The Weekend.… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Castle lite Yazindua Promosheni ya Lite up the wekeend.!

 Meneja masoko wa bia ya Castle lite Vimal Vaghmaria  kushoto mwenye miwani,Meneja wa Castle lite  Geofray makau   katikati na Meneja msaidizi wa Castle lite Tanzania Victoria kimaro wakionyesha chupa ya bia hiyo kwenye uzinduzi wa kampeni ya shindano la kuwapata washindi wa Castle lite VIP Yacht Party ambapo washindi watafanya tamasha kubwa ndani ya Boti katika bahari ya Hindi.  Baadhi ya waandishi wa habari waliohudhuria uzinduzi huo katika Hotel ya Slip way washindi wa Castle lite VIP...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Castle Lite yazindua Lite Up

KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL) kupitia kinywaji chake cha Castle Lite, jana ilizindua promosheni maalum ya ‘Lite Up The Weekend’ itakayoendeshwa kwa muda wa miezi mitatu. Kwa mujibu wa Meneja...

 

9 years ago

Dewji Blog

Castle LITE yazindua nembo mpya inayotambulisha ubaridi wa kinywaji

Lite pix 7

Meneja wa bia ya Castle LITE nchini,Victoria Kimaro akitambulisha nembo mpya ya bia hiyo ikiwa baridi wakati hafla ya uzinduzi wake kwenye hafla iliyofanyika kwenye baa ya Break Point-Kinondoni jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.

lite pix 2

Baadhi ya wageni waliohudhuria hafla uzinduzi wa nembo mpya ya Castle LITE inayobadilika rangi na kuwa bluu inapokuwa kwenye ubaridi sahihi mpya ya kinywaji hicho  wakipatiwa maelezo juu ya mabadiliko hayo ya nembo .Hafla hiyo ilifanyika kwenye baa ya Break...

 

10 years ago

Bongo5

Just Got Paid: Lite Up wikiendi yako na bia maarufu Afrika!

Anza na “Just Got Paid” Azura tarehe 26 Septemba kuanzia saa 3 usiku mpaka kukuche ukijikita na midundo ya muziki wa ukweli pamoja na Castle LITE ya baridi. Endeleza wikiendi yako Jumamosi 27 Septemba kuanzia saa 7 mchana mpaka 2 usiku, kwa kujiachia na mUziki laini wakati jua likizama kwenye fukwe za Coral Beach katika […]

 

10 years ago

Michuzi

Castle lite yataja washindi sita wa wiki ya kwanza kwenye shindano la Casttlelite Yachy Party.

Meneja msaidizi  wa bia ya castle lite Victoria Kimaro kushoto akizungungumza na waandishi wa habari jijini Dar Es Salaam alipokuwa akiwatangaza washindi sita wa wiki ya kwanza katika shindano la promosheni ya Castle lite Yacht Party ambapo baadae watapatikana washindi watakaojishindia zawadi kubwa ya kushiriki katika burudani itakayofanyika katika kisiwa kwenye Bahari ya Hindi na kulia kwake ni meneja wa bia hiyo Geoffray Makau.Sehemu ya waandishi mbalimbali wa vyombo vya habari wakiwa...

 

10 years ago

GPL

VODACOM YAJA NA PROMOSHENI YA “SHINDA NA KABUMBU”‏

Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu (kushoto) akiongea  na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa Promosheni ya ”SHINDA NA KABUMBU”inayolenga kuwawezesha wadau wa soka na wateja wa kampuni hiyo kushiriki kwa kutuma neno SOKA kwenda namba 15725 ambapo mteja atakuwa akiulizwa maswali mbalimbali kwa njia ya ujumbe kuhusiana na maswala ya soka na kuweza kujishindia fedha...

 

10 years ago

GPL

AIRTEL YAKABITHI PESA KWA WASHINDI WA PROMOSHENI YA “JIONGEZE NA MSHIKO”

Gabriel Ferdinand (kulia) mwanafunzi wa Musoma Mara akikabidhiwa fedha na Meneja wa Airtel Musoma, Emmanuel Rafael (Kushoto) baada ya kuibuka mshindi wa droo ya pili ya promosheni ya “Jiongeze na Mshiko”. Hamisi Rashid (kulia) mkulima wa Sikonge, Tabora akikabidhiwa fedha na Meneja wa Airtel Tabora, Phidelis Lugangila (Kushoto) baada ya kuibuka mshindi wa droo ya pili ya shindano la “Jiongeze na Mshiko”....

 

10 years ago

GPL

AIRTEL YATANGAZA WASHINDI WA DRAW YA PILI YA PROMOSHENI YA “JIONGEZE NA MSHIKO”‏

Afisa Uhusiano na matukio wa Airtel, Dangio Kaniki (katikati) akiongea na mshindi aliyepatikana wakati wa kuchezesha droo ya pili ya wiki ya promosheni ya "Jiongeze na Mshiko" ambapo wateja wawili wa Airtel kutoka mikoa ya Musoma na Tabora walipatikana akichukua taarifa za mshindi (kushoto) ni mkaguzi kutoka bodi ya michezo ya kubahatisha bwana Humudi Abdul Hussein na Afisa huduma za ziada Airtel bwana Fabian Felician. Droo hii...

 

10 years ago

GPL

WASHINDI 62 WAMEJINYAKULIA ZAWADI MBALIMBALI KUPITIA PROMOSHENI YA “SHINDA NA KABUMBU” YA VODACOM‏

Humudini Abdulhussen Ofisa Mwandamizi wa Bodi ya Kusimamia Michezo ya Kubahatisha Tanzania (kushoto) akihakiki moja ya namba za simu anazoonyeshwa kwenye kompyuta mpakato na Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu (katikati) na Ofisa Masoko wa kampuni hiyo Prestin Lyatonga (kulia) wakati wa droo ya pili ya shindano la “Shinda na Kabumbu” inayowawezesha wadau wa soka na wateja wa kampuni hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani