FILAMU YA ESPINHO DA ROSA “THE THORN OF THE ROSE” YATWAA TUZO TATU TAMASHA LA 17 LA ZIFF 2014
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_0987.jpg?width=650)
Malkia wa Filamu ya Espinho da Rosa (the Thorn of the rose) ya Filipe Henriques kutoka Guinea Bissau ADY de Batista akiwasili huku akiongozana na Meneja wake Sholey Maqueta kwenye usiku maalum wa tuzo wakati wa tamasha la 17 la ZIFF 2014 lililomalizika mwishoni mwa juma visiwani Zanzibar kwenye viunga vya Ngome Kongwe Mkurugenzi Mtendaji wa Hoteli ya Doubletree by Hilton Zanzibar, Bw. Samuel(kulia) Bond na Mkewe Jenny Bond...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog25 Jun
Filamu ya Espinho da Rosa “the Thorn of the rose” yatwaa tuzo tatu tamasha la 17 la ZIFF 2014
Malkia wa Filamu ya Espinho da Rosa (the Thorn of the rose) ya Filipe Henriques kutoka Guinea Bissau ADY de Batista akiwasili huku akiongozana na Meneja wake Sholey Maqueta kwenye usiku maalum wa tuzo wakati wa tamasha la 17 la ZIFF 2014 lililomalizika mwishoni mwa juma visiwani Zanzibar kwenye viunga vya Ngome Kongwe.
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
FILAMU ya Espinho da Rosa (the Thorn of the rose) ya Filipe Henriques kutoka Guinea Bissau imeondoka na tuzo tatu katika tamasha la 17 la filamu...
11 years ago
Dewji Blog21 Jun
Ady Batista wa “The Thorn Of The Rose” akonga nyoyo za wapenzi wa sinema tamasha la ZIFF 2014
ADY de Batista (30).
ADY de Batista akisaidiwa kushuka kwenye gari na meneja wake Sholey Maqueta mara baada ya kuwasili kwenye viunga vya Ngome Kongwe visiwani Zanzibar. (Picha zote na Zainul Mzige wa MOblog).
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
ADY de Batista alishuka taratibu katika gari la Noah, akiwa amevalia nguo nyeupe.Alisaidiwa kushuka kwenye gari na meneja wake Sholey Maqueta na kuingia katika ukumbi wa maonesho ya sinema wa wazi uliopo Ngome Kongwe kwa ajili ya sinema yake ya O...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_0193.jpg)
SAUTI SOL WATIKISA TAMASHA LA ZIFF 2014
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_02172.jpg)
MASHINDANO YA NGALAWA YANOGESHA TAMASHA LA 17 LA ZIFF 2014 VISIWANI ZANZIBAR
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_0157.jpg)
BALOZI SEFU IDDI ABARIKI TAMASHA LA 17 LA ZIFF 2014 VISIWANI ZANZIBAR
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/un1.jpg)
UN KUZINDUA MFUMO MPYA WA KUHABARISHA UMMA NDANI YA TAMASHA LA ZIFF 2014 JIONI HII
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_00871.jpg)
MZUNGU KICHAA NA RICO SINGLE KUWACHIZISHA WAZANZIBAR TAMASHA LA ZIFF 2014 USIKU WA LEO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m3kRA-aqkq*gWSoiFCqjvgeWSyMcHZy9laMw06s2z-e3Mu9Fsbq9-7w5rzLSWnV1XQuFmFP38wdOneFpydaomf3KrtpFRJni/001.KABUMBU.jpg)
VODACOM YAJA NA PROMOSHENI YA “SHINDA NA KABUMBU”
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_0297.jpg)
“WE WILL NOT HESITATE TO CONTRIBUTE MORE PEACEKEEPERS” – DR HUSSEIN MWINYI