Ady Batista wa “The Thorn Of The Rose” akonga nyoyo za wapenzi wa sinema tamasha la ZIFF 2014
ADY de Batista (30).
ADY de Batista akisaidiwa kushuka kwenye gari na meneja wake Sholey Maqueta mara baada ya kuwasili kwenye viunga vya Ngome Kongwe visiwani Zanzibar. (Picha zote na Zainul Mzige wa MOblog).
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
ADY de Batista alishuka taratibu katika gari la Noah, akiwa amevalia nguo nyeupe.Alisaidiwa kushuka kwenye gari na meneja wake Sholey Maqueta na kuingia katika ukumbi wa maonesho ya sinema wa wazi uliopo Ngome Kongwe kwa ajili ya sinema yake ya O...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi21 Jun
RAS INNOCENT NGANYAGWA AKONGA NYOYO ZA WAPENZI WA REGGAE KATIKA TAMASHA LA ZIFF 2014
![DSC_0397](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/UEFQpnVXBmPAoOQCeMNYTOVlx235ECv9OEWUFhkzBgOHPv0sNsuPMhqiUkl0xJDMJNJQdai8S4M1BlgiLbHZ4rpwGzvt17ekNbJNP291HhJFPw=s0-d-e1-ft#http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_0397.jpg)
![DSC_0438](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/Aj1rvhw5jWLcTaxoW_MMpMLgoe9PpQvHU6rqV_NG3Tsli330ftRaEl3jfruq-jXGcRrCgF11Odks3pOQ6mmJIJ7whyeFQ3aPiZ7n03WoP26ydQ=s0-d-e1-ft#http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_0438.jpg)
![DSC_0461](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/xNek0aphFu6lqooka1vFvNPYJ8jlBIQzBqbYYg3k1q7w6cyhbYVP67bi7mEu1Opkv6apbypRtF8VDyQaG-EBlX2KxViwQY_I9ZTFcn61pY218g=s0-d-e1-ft#http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_0461.jpg)
MKALI wa muziki wa rege nchini Innocent Nganyagwa anajiandaa kutoa filamu inayohusu maisha yake kama sehemu...
11 years ago
Dewji Blog25 Jun
Filamu ya Espinho da Rosa “the Thorn of the rose” yatwaa tuzo tatu tamasha la 17 la ZIFF 2014
Malkia wa Filamu ya Espinho da Rosa (the Thorn of the rose) ya Filipe Henriques kutoka Guinea Bissau ADY de Batista akiwasili huku akiongozana na Meneja wake Sholey Maqueta kwenye usiku maalum wa tuzo wakati wa tamasha la 17 la ZIFF 2014 lililomalizika mwishoni mwa juma visiwani Zanzibar kwenye viunga vya Ngome Kongwe.
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
FILAMU ya Espinho da Rosa (the Thorn of the rose) ya Filipe Henriques kutoka Guinea Bissau imeondoka na tuzo tatu katika tamasha la 17 la filamu...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_0987.jpg?width=650)
FILAMU YA ESPINHO DA ROSA “THE THORN OF THE ROSE” YATWAA TUZO TATU TAMASHA LA 17 LA ZIFF 2014
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_0397.jpg)
RAS INNOCENT NGANYAGWA AKONGA NYOYO ZA WANZIBARI TAMASHA LA ZIFF
10 years ago
Vijimambo20 Jul
Gwiji wa muziki Afrika Mama Dorothy Masuka akonga tamasha la ZIFF 2015
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC_0266.jpg)
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC_0336.jpg)
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC_0362.jpg)
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC_0388.jpg)
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC_0391.jpg)
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC_0395.jpg)
10 years ago
Dewji Blog20 Jul
Gwiji wa muziki Afrika Mama Dorothy Masuka akonga tamasha la ZIFF 2015
Mwanamuziki wa nyimbo za Ukombozi kwa Bara la Afrika, Mkongwe, Dorothy Masuka akiwa jukwaani katika shoo yake usiku wa Julai 19, katika tamasha la 18, la ZIFF 2015,Ngome Kongw upande wa Mambo Club. (Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog.com-Zanzibar)
Na Andrew Chale, modewjiblog
(Zanzibar) Mwanamuziki wa nyimbo za Ukombozi kwa Bara la Afrika, Mkongwe, Dorothy Masuka kutoka Afrika Kusini ambaye pia anatamba na wimbo wa ‘Hapo zamani’ usiku wa Julai 19 ameweza kukonga nyoyo za wadau wa...
11 years ago
Habarileo23 Mar
JK akonga nyoyo za wasomi, wanasiasa
WASOMI, wanasiasa pamoja na viongozi mbalimbali vya dini wamepongeza hotuba iliyotolewa juzi na Rais Jakaya Kikwete wakati akizindua Bunge Maalum la Katiba huku wajumbe wa bunge hilo wakitakiwa kuzingatia maoni ya Rais wanapojadili Rasimu ya pili ya Katiba hiyo.
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-VFUKRz78mU0/Vf8D8yT0oYI/AAAAAAAH6Yk/exCuW7gHki4/s72-c/_MG_8020.jpg)
MAMA JANETH MAGUFULI AKONGA NYOYO ZA WATANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-VFUKRz78mU0/Vf8D8yT0oYI/AAAAAAAH6Yk/exCuW7gHki4/s640/_MG_8020.jpg)
10 years ago
GPLDC MAKONDA AKONGA NYOYO ZA MAMIA KATIKA SEMINA YA GWT