Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Gwiji wa muziki Afrika Mama Dorothy Masuka akonga tamasha la ZIFF 2015

DSC_0266Mwanamuziki wa nyimbo za Ukombozi  kwa Bara la Afrika, Mkongwe, Dorothy Masuka  akiwa jukwaani katika shoo yake usiku wa Julai 19, katika tamasha la 18, la ZIFF 2015,Ngome Kongw upande wa Mambo Club. (Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog.com-Zanzibar)

Na Andrew Chale, modewjiblog

(Zanzibar) Mwanamuziki wa nyimbo za Ukombozi  kwa Bara la Afrika, Mkongwe, Dorothy Masuka kutoka Afrika Kusini ambaye pia anatamba na wimbo wa ‘Hapo zamani’ usiku wa Julai 19 ameweza kukonga nyoyo za wadau wa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Gwiji wa muziki Afrika Mama Dorothy Masuka akonga tamasha la ZIFF 2015

Mwanamuziki wa nyimbo za Ukombozi kwa Bara la Afrika, Mkongwe, Dorothy Masuka akiwa jukwaani katika shoo yake usiku wa Julai 19, katika tamasha la 18, la ZIFF 2015,Ngome Kongw upande wa Mambo Club. (Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog.com-Zanzibar)Gwiji wa muziki Afrika, Bi Dorothy Masuka akiimba pamoja na Mtanzania, Sauda Simba wakati wa shoo hiyo..Bi. Dorothy Masuka akiimba huku akisikilizia ala za gitaa kutoka kwa mpga gitaa wake..Picha ya juu na chini wakiaga mashabiki…..Wakiaga...

 

10 years ago

Dewji Blog

Dorothy Masuka kuja ZIFF

Dorothy-Masuka

Mwimbaji gwiji wa nyimbo zilizowakera wazungu wakati wa ubaguzi Afrika ya Kusini Dorothy Masuka anatarajiwa kuzuru Tanzania akiwa mgeni wa tamasha la Nchi za Jahazi ZIFF. Mwimbaji huyo anatarajiwa kutuwa Zanzibar tarehe 17 Julai tayari kwa ufunguzi wa Tamasha la ZIFF litakaloanza tarehe 18 Julai.

“Ni furaha ilioje kwa Mama Dorothy Masuka kukubali kuja ZIFF. Hii inatudhihirishia wazi umuhimu anaoweka katika sanaa na uwezo wa sanaa katika kuisanifu jamii”, alisema Mkurugenzi wa ZIFF Profesa...

 

11 years ago

GPL

RAS INNOCENT NGANYAGWA AKONGA NYOYO ZA WANZIBARI TAMASHA LA ZIFF

Mkali wa muziki wa rege nchini, Innocent Nyanyagwa na bendi yake wakitumbuiza kwenye tamasha la 17 la ZIFF 2014 linaloendelea kwenye viunga vya Ngome Kongwe visiwani Zanzibar. Akijibu swali kuhusu mahadhi ya muziki wake na imani yake ya kirastafarian amesema kwamba muziki wa rege japo upo ndani ya imani ya kirasta, unasimama wenyewe ndio maana mtu kama yeye hapigi rege ya Jamaica kama ilivyokuwa kwa Jimmy Clief, Burning...

 

11 years ago

Dewji Blog

Ady Batista wa “The Thorn Of The Rose” akonga nyoyo za wapenzi wa sinema tamasha la ZIFF 2014

DSC_0128

 

ADY  de Batista (30).

DSC_0154

ADY  de Batista akisaidiwa kushuka kwenye gari na meneja wake Sholey Maqueta mara baada ya kuwasili kwenye viunga vya Ngome Kongwe visiwani Zanzibar. (Picha zote na Zainul Mzige wa MOblog).

Na Mwandishi wetu, Zanzibar

ADY  de Batista alishuka taratibu katika gari la Noah, akiwa amevalia nguo nyeupe.Alisaidiwa kushuka kwenye gari na meneja wake Sholey Maqueta na kuingia katika ukumbi wa maonesho ya sinema wa wazi uliopo Ngome Kongwe kwa ajili ya sinema yake ya O...

 

11 years ago

Michuzi

RAS INNOCENT NGANYAGWA AKONGA NYOYO ZA WAPENZI WA REGGAE KATIKA TAMASHA LA ZIFF 2014

DSC_0397 Mkali wa muziki wa reggae nchini, Ras Innocent Nyanyagwa na bendi yake wakitumbuiza kwenye tamasha la 17 la ZIFF 2014 linaloendelea kwenye viunga vya Ngome Kongwe visiwani Zanzibar.
DSC_0438 DSC_0461 Ras Inno akiwapa mzuka mashabiki wake kwa kuruka na wamasai ndani ya Ngome Kongwe alipotoa show ya aina yake baada ya kuhudhuria tamasha la ZIFF miaka minane iliyopita. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
MKALI wa muziki wa rege nchini Innocent Nganyagwa anajiandaa kutoa filamu inayohusu maisha yake kama sehemu...

 

10 years ago

Dewji Blog

Siku ya Afrika Kusini kunogeshwa ndani ya tamasha la ZIFF usiku wa leo

19808848325_b2f0e67169_z Mwanamuziki wa nyimbo za Ukombozi  kwa Bara la Afrika, Mkongwe, Dorothy Masuka  akiwa jukwaani wakati wa ufunguzi wa tamasha la 18, la ZIFF 2015, katika jukwaa la Ngome Kongwe… Bi Masuka anatarajia kutumbuiza usiku wa leo ambao ni maalum kwa Taifa la Afrika Kusini (South Africa day).

Na Andrew Chale, modewjiblog

(Zanzibar) Today is South Africa Day at ‪#‎ZIFF2015 catch a range of South African movies including Uthando and Sarafina! (film) at the Old Fort with Guest of Honour Leleti Khumalo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ya Moto band, Orijino Komedi wafanya kweli tamasha la ZIFF 2015

DSC_0225Wanamuziki wa bendi ya Ya Moto wakishambulia jukwaa usiku huo…

Na Andrew Chale, modewjiblog

(ZANZIBAR) Kundi la muziki wa kizazi kipya nchini, YAMOTO BAND lenye maskani yake Temeke Jijini Dar es Salaam na kundi la vichekesho la Orijino Komedi ‘OK’   usiku wa Julai 21 wameweza kukonga nyoyo za wadau wa burudani waliojitokeza kwa wingi kwenye tamasha la 18, la kimataifa la filamu za nchi za Majahazi (Zanzibar International Films Festival-ZIFF) linaloendelea visiwani hapa.

Katika shoo hiyo...

 

10 years ago

Mtanzania

Doroth Masuka: Wasanii wa Afrika tujivunie Afrika yetu

DOROSiNA FESTO POLEA

MWANAMUZIKI mkongwe kutoka Afrika Kusini, Dorothi Masuka, amewataka wasanii wanaotoka nchi za Afrika wasisahau kusifia bara lao la Afrika kwa kutaja majina ya nchi wanazotoka tu.

Mkongwe huyo aliliambia MTANZANIA kwamba, wasanii wengi huwa wanatumia muda mwingi kutangaza majina ya nchi zao wanasahau kuitangaza Afrika ili kuimarisha mshikamano wa umoja na utaifa wao.

“Ukiwa Afrika unatakiwa kujivunia na kujitangaza sisi sote ni wasanii kutoka Afrika, kwanini huwa hatujinadi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Filamu ya “I Shot Bi Kidude” kuonyeshwa tamasha la Ziff 2015 Jumapili hii ndani ya Ngome Kongwe, Zanzibar

bi-kidude

I_HEART_BK_2_1

‘Makala ya Kusisimua yenye matukio yenye hisia nzito.’

Andy Markowitz, Tovuti ya Muziki wa Filamu Music Film Web

‘Tafakari ya kusisimua ya urafiki usio wa kawaida kati ya Kijana Mtengenezaji wa filamu na diva wa Zanzibar mzee wa miaka 100 Zanzibar diva’ Garth Cartwright – mwandishi, “More Miles Than Money”Umbali mkubwa kuliko fedha”

‘Uwasilishaji wa wa nyota …iliyofifia na kuifanya ing’are upya’.

Martin Mhando, Mkurugenzi ZIFF

Nilimpiga Picha Bi Kidude “I Shot Bi Kidude”, ni makala mpya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani