Ya Moto band, Orijino Komedi wafanya kweli tamasha la ZIFF 2015
Wanamuziki wa bendi ya Ya Moto wakishambulia jukwaa usiku huo…
Na Andrew Chale, modewjiblog
(ZANZIBAR) Kundi la muziki wa kizazi kipya nchini, YAMOTO BAND lenye maskani yake Temeke Jijini Dar es Salaam na kundi la vichekesho la Orijino Komedi ‘OK’ usiku wa Julai 21 wameweza kukonga nyoyo za wadau wa burudani waliojitokeza kwa wingi kwenye tamasha la 18, la kimataifa la filamu za nchi za Majahazi (Zanzibar International Films Festival-ZIFF) linaloendelea visiwani hapa.
Katika shoo hiyo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLYAMOTO BAND WAFANYA KWELI ESCAPE ONE JIJINI DAR
10 years ago
VijimamboNGOMA AFRICA BAND WAFANYA KWELI MJINI LIGA,NCHINI LATVIA
Liga,LatviaBendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band maarufu kamaFFU ughaibuni ukipenda waite viumbe wa ajabu Anunnaki Alien juzi wikiendi walifanikiwa kuwadatisha washabiki wa muziki nchini Latvia katika maonyesho ya Summer Festival,yaliyofanyika Liga. bendi maarufu yenye makao yake nchini Ujerumani inayoongozwa na mwanamuziki mahili Ebrahim Makunja aka Kamanda Ras Makunja,imejizolea umaarufu wa kimataifa kwa kutumia mdundo wake wa "Bongo Dansi" uliochanganywa na...
10 years ago
Michuzi20 Jul
KALUNDE BAND KATIKA UBORA WAO, WAFANYA KWELI KLABU YA GMB MBEZI
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/166.jpg)
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/260.jpg)
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/439.jpg)
10 years ago
Michuzi21 Sep
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IQN7BH78xrA/VkDsCjKmFBI/AAAAAAAIFHI/NJzFF4DgSvY/s72-c/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
NGOMA AFRICA BAND AKA FFU WAKIENDELEA KUDATISHA UGHAIBUNI WAFANYA KWELI JIJINI BREMEN
11 years ago
Dewji Blog15 Jun
Sauti Sol kuwasha moto tamasha la ZIFF usiku wa leo
Kundi la wasanii maarufu kutoka nchini Kenya Sauti Sol katika mkutano na wandishi wa habari (hawapo pichani) ndani ya Hoteli ya Doubletree by Hilton mjini Zanzibar. Kutoka kushoto ni Bien Baraza (vocalist), Chimano Austin (vocalist), Delvine Mudigi(vocalist) na Polycarp Otieno (Quitar & Vocalist).
Bien Baraza wa kundi la Sauti Sol akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana umuhimu wa wasanii kutumia mitandao ya kijamii na muziki wao katika kukemea mambo maovu yanayoendelea...
10 years ago
Michuzi19 Sep
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/jU0fTRQJp_4/default.jpg)