Sauti Sol kuwasha moto tamasha la ZIFF usiku wa leo
Kundi la wasanii maarufu kutoka nchini Kenya Sauti Sol katika mkutano na wandishi wa habari (hawapo pichani) ndani ya Hoteli ya Doubletree by Hilton mjini Zanzibar. Kutoka kushoto ni Bien Baraza (vocalist), Chimano Austin (vocalist), Delvine Mudigi(vocalist) na Polycarp Otieno (Quitar & Vocalist).
Bien Baraza wa kundi la Sauti Sol akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana umuhimu wa wasanii kutumia mitandao ya kijamii na muziki wao katika kukemea mambo maovu yanayoendelea...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog16 Jun
Sauti Sol watikisa tamasha la ZIFF 2014
Na MOblog, Zanzibar
MOJA ya vitu ambavyo wazanzibari watakumbuka ni jinsi kundi la Kenya ambalo hivi karibuni liliibuka kundi bora katika MTV Base lilivyovamia jukwaa na kuendesha shoo ya saa moja na nusu iliyokuwa na uhakika.
Kundi hilo lenye watu watano wakiongozwa na mtia sauti Bien Baraza liliwaacha hoi wazanzibari waliofurika katika ukumbi wa Mambo uliopo ndani ya Ngome Kongwe na muziki wenye mahadhi ya Afro Pop.
Muziki huo ambao uliwateka vijana kutokana na midundo yake na maneno ya...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_0193.jpg)
SAUTI SOL WATIKISA TAMASHA LA ZIFF 2014
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
Tamasha la Serengeti Fiesta kuwasha moto Moshi leo
UHONDO wa burudani ya aina yake kutoka kwa wasanii mahiri waliopo katika msafara wa Serengeti Fiesta 2014, leo ni zamu ya wapenzi na mashabiki wa mji wa Moshi na vitongoni...
10 years ago
Dewji Blog19 Jul
Siku ya Afrika Kusini kunogeshwa ndani ya tamasha la ZIFF usiku wa leo
Mwanamuziki wa nyimbo za Ukombozi kwa Bara la Afrika, Mkongwe, Dorothy Masuka akiwa jukwaani wakati wa ufunguzi wa tamasha la 18, la ZIFF 2015, katika jukwaa la Ngome Kongwe… Bi Masuka anatarajia kutumbuiza usiku wa leo ambao ni maalum kwa Taifa la Afrika Kusini (South Africa day).
Na Andrew Chale, modewjiblog
(Zanzibar) Today is South Africa Day at #ZIFF2015 catch a range of South African movies including Uthando and Sarafina! (film) at the Old Fort with Guest of Honour Leleti Khumalo...
11 years ago
Dewji Blog19 Jun
Mzungu Kichaa na Rico Single kuwachizisha wazanzibar tamasha la ZIFF 2014 usiku wa leo
Music Coordinator wa ZIFF, Edward Lusala akiwatambulisha wasanii watakaotumbuiza usiku wa leo kwenye tamasha la 17 la ZIFF 2014 ndani ya viunga vya Mambo Club – Ngome Kongwe visiwani Zanzibar wakati wa mkutano na waandishi wa habari. Katikati ni msanii wa muziki nchini almaarufu kama Mzungu Kichaa na Kulia ni Msanii Grace Matata.(Picha zote na Zainul Mzige wa MOblog).
Mzungu Kichaa akizungumza na waandishi wa habari wakati wa mkutano na waandishi wa habari kwenye hoteli ya Doubletree by...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_00871.jpg)
MZUNGU KICHAA NA RICO SINGLE KUWACHIZISHA WAZANZIBAR TAMASHA LA ZIFF 2014 USIKU WA LEO
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-NgeF1AcFBCg/VG8DvDzjMmI/AAAAAAABFqU/9q4IAHcTHG0/s72-c/IMG_2000.jpg)
FM ACADEMIA 'WAZEE WA NGWASUMA' YAMOTO BAND NA BARBANAS KUWASHA MOTO USIKU WA ONYESHO LA 'USIKU MWEUPE' JIJINI DAR
Na Mwandishi Wetu. FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma' Yamoto Band na Barbanas, kesho watakuwa na onesho maalum liitwalo 'Usiku Mweupe' litakalofanyika kwenye ukumbi wa Escape One, uliopo mikocheni Dar es Salaam.Mratibu wa onesho hilo Wiliam Malecela, alisema kuwa kila kitu kipo vizuri ambapo onesho hilo litaanza saa 3, usiku.Alisema kuwa dhumuni la kufanya onesho la pamoja kwa bendi hizo na msanii huyo anayefanya vizuri katika muziki wa kizazi kipya ni kutaka kuuinua muziki wa dansi ambao...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LQskPInfO58/VOXWiYbz5xI/AAAAAAAHEjI/l89qF6i8Bww/s72-c/Siku%2BYa%2BWarembo%2BDJ%2BBiggie.png)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-K_LkjDc3Rd0/VJUsyVBQWNI/AAAAAAAG4l8/9flQfWR5gQE/s72-c/DIAMONDNAMZEEYUSUF.jpg)
Diamond na Mzee Yusuf kuwasha moto Dar Live Krismas katika tamasha la wafalme chini ya Vodacom Tanzania, Moto mwingine wa burudani utakuwa Coco beach
![](http://3.bp.blogspot.com/-K_LkjDc3Rd0/VJUsyVBQWNI/AAAAAAAG4l8/9flQfWR5gQE/s1600/DIAMONDNAMZEEYUSUF.jpg)