Siku ya Afrika Kusini kunogeshwa ndani ya tamasha la ZIFF usiku wa leo
Mwanamuziki wa nyimbo za Ukombozi kwa Bara la Afrika, Mkongwe, Dorothy Masuka akiwa jukwaani wakati wa ufunguzi wa tamasha la 18, la ZIFF 2015, katika jukwaa la Ngome Kongwe… Bi Masuka anatarajia kutumbuiza usiku wa leo ambao ni maalum kwa Taifa la Afrika Kusini (South Africa day).
Na Andrew Chale, modewjiblog
(Zanzibar) Today is South Africa Day at #ZIFF2015 catch a range of South African movies including Uthando and Sarafina! (film) at the Old Fort with Guest of Honour Leleti Khumalo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog15 Jun
Sauti Sol kuwasha moto tamasha la ZIFF usiku wa leo
Kundi la wasanii maarufu kutoka nchini Kenya Sauti Sol katika mkutano na wandishi wa habari (hawapo pichani) ndani ya Hoteli ya Doubletree by Hilton mjini Zanzibar. Kutoka kushoto ni Bien Baraza (vocalist), Chimano Austin (vocalist), Delvine Mudigi(vocalist) na Polycarp Otieno (Quitar & Vocalist).
Bien Baraza wa kundi la Sauti Sol akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana umuhimu wa wasanii kutumia mitandao ya kijamii na muziki wao katika kukemea mambo maovu yanayoendelea...
11 years ago
Dewji Blog18 Jun
Innocent Nganyagwa kutumbuiza tamasha la ZIFF 2014 usiku huu ndani ya ukumbi wa Mambo Club, Ngome Kongwe
Mwanamuziki Mkongwe wa Rege nchini, Innocent Nganyagwa akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na show yake kwenye tamasha la ZIFF 2014 usiku wa leo ndani ya ukumbi wa Mambo Club kwenye viunga vya Ngome Kongwe visiwani Zanzibar.Kushoto Mtaalamu wa masuala ya habari ZIFF, Bw. Dave Ojay.(Picha na Zainul Mzige wa MOblog).
Baadhi ya wageni mbalimbali na waandishi wa habari wanaohuduria tamasha la ZIFF 2014 linaloendelea kutimua vumbi visiwani Zanzibar.
Na. Mwandishi...
11 years ago
Dewji Blog19 Jun
Mzungu Kichaa na Rico Single kuwachizisha wazanzibar tamasha la ZIFF 2014 usiku wa leo
Music Coordinator wa ZIFF, Edward Lusala akiwatambulisha wasanii watakaotumbuiza usiku wa leo kwenye tamasha la 17 la ZIFF 2014 ndani ya viunga vya Mambo Club – Ngome Kongwe visiwani Zanzibar wakati wa mkutano na waandishi wa habari. Katikati ni msanii wa muziki nchini almaarufu kama Mzungu Kichaa na Kulia ni Msanii Grace Matata.(Picha zote na Zainul Mzige wa MOblog).
Mzungu Kichaa akizungumza na waandishi wa habari wakati wa mkutano na waandishi wa habari kwenye hoteli ya Doubletree by...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_00871.jpg)
MZUNGU KICHAA NA RICO SINGLE KUWACHIZISHA WAZANZIBAR TAMASHA LA ZIFF 2014 USIKU WA LEO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7LcWi4BkmZ8/VSBKx4MHmVI/AAAAAAAC2yM/dZyCpDYQ_Vk/s72-c/IMG_0689.jpg)
MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI KUTOKA AFRIKA KUSINI REBECCA MALOPE AWASILI USIKU HUU KUTUMBUIZA KESHO TAMASHA LA PASAKA JIJINI DAR.
![](http://1.bp.blogspot.com/-7LcWi4BkmZ8/VSBKx4MHmVI/AAAAAAAC2yM/dZyCpDYQ_Vk/s1600/IMG_0689.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jEeTvJLE1hh*PN2A1kbdspTj4zcv3SfeKU0nWgnJ*whDEYRreZXV4pnnQe-dfJcx6VVP0**eJY-SNkADrUOvY*uw6dPkH9sR/Mtoto.jpg?width=650)
LEO NI SIKU YA MAOMBI AFRIKA KUSINI KUMKUMBUKA MANDELA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-a-ysu2GiLvs/Va1PXNOzbkI/AAAAAAAHqq8/FS2ZnX426XU/s72-c/I_HEART_BK_2_1.jpg)
filamu ya "I SHOT BI KIDUDE" ya mwisho itakayoonyeshwa tamasha la ZIFF usiku wa Jumapili Julai 26 Saa 1:15 NGOME KONGWE, ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-a-ysu2GiLvs/Va1PXNOzbkI/AAAAAAAHqq8/FS2ZnX426XU/s320/I_HEART_BK_2_1.jpg)
11 years ago
Dewji Blog16 Jun
UN kuzindua mfumo mpya wa kuhabarisha umma ndani ya tamasha la ZIFF 2014 jioni hii
Ofisa habari wa Kitengo cha habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Stella Vusso (kushoto) akionesha taarifa ya Umoja wa Mataifa ya utekelezaji wa mpango wa pamoja wa mashirika ya Umoja wa mataifa hapa nchini. Taarifa hiyo imo katika documentary (taarifa ambayo iko katika mfumo wa video) ya dakika saba inayoonyesha kazi mbalimbali Umoja wa Mataifa nchi itazinduliwa leo kwenye ukumbi wa Ngome Kongwe kuanzia saa moja jioni katika mpango wa Umoja wa Mataifa wa kutumia mitandao ya kijamii...
10 years ago
Vijimambo20 Jul
Gwiji wa muziki Afrika Mama Dorothy Masuka akonga tamasha la ZIFF 2015
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC_0266.jpg)
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC_0336.jpg)
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC_0362.jpg)
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC_0388.jpg)
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC_0391.jpg)
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC_0395.jpg)