LEO NI SIKU YA MAOMBI AFRIKA KUSINI KUMKUMBUKA MANDELA
![](http://api.ning.com:80/files/jEeTvJLE1hh*PN2A1kbdspTj4zcv3SfeKU0nWgnJ*whDEYRreZXV4pnnQe-dfJcx6VVP0**eJY-SNkADrUOvY*uw6dPkH9sR/Mtoto.jpg?width=650)
Binti akiwa na mshumaa wakati wa ibada ya maombi ya kumkumbuka Nelson Mandela katika kanisa la Regina Mundi lililopo Soweto, Afrika Kusini leo. Waumini wakiwa katika ibada ya maombi ya kumkumbuka Nelson Mandela katika kanisa la Methodist mjini Johannesburg leo. (Picha na Reuters) Wananchi wa Afrika Kusini leo wanashirki maombi ya kitaifa ya… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili08 Dec
Mandela:Siku ya maombi Afrika Kusini
11 years ago
MichuziUbalozi wa Afrika ya kusini na Vodacom waadhimisha siku ya Nelson Mandela
11 years ago
GPLUBALOZI WA AFRIKA YA KUSINI NA VODACOM WAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA NELSON MANDELA
11 years ago
Dewji Blog18 Jul
Ubalozi wa Afrika ya Kusini, Umoja wa Mataifa (UN) na Vodacom waadhimisha siku ya Kimataifa ya Nelson Mandela
Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi Duniani (UNHCR), Joyce Mends-Cole akizungumza na baadhi ya wadau waliohudhuria katika maadhimisho ya siku ya kimataifa ya Nelson Mandela kabla ya kusoma ujumbe maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Mooniliyofanyika leo duniani kote na hapa nchini imeadhimishwa katika shule ya watoto wenye mahitaji maalum na kudhaminiwa na Vodacom.
Na Mwandishi wetu
Wafanyakazi wa Ubalozi wa Afrika ya kusini nchini Tanzania,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BpcxhYIbWSbMI6OY0WWIc2VyFcsGV5boMPwOfEHjyRrLsmQquh5EWF*cySa7Jf3b1UWnHqc7kjICp-*PKzR06h8RQAFiQ3oY/Nelson_Mandela_MGN.1372021643.jpg)
IBADA YA KITAIFA AFRIKA KUSINI KUMUAGA MANDELA LEO
11 years ago
BBCSwahili08 Dec
Maombi ya kitaifa Afrika Kusini
10 years ago
Dewji Blog19 Jul
Siku ya Afrika Kusini kunogeshwa ndani ya tamasha la ZIFF usiku wa leo
Mwanamuziki wa nyimbo za Ukombozi kwa Bara la Afrika, Mkongwe, Dorothy Masuka akiwa jukwaani wakati wa ufunguzi wa tamasha la 18, la ZIFF 2015, katika jukwaa la Ngome Kongwe… Bi Masuka anatarajia kutumbuiza usiku wa leo ambao ni maalum kwa Taifa la Afrika Kusini (South Africa day).
Na Andrew Chale, modewjiblog
(Zanzibar) Today is South Africa Day at #ZIFF2015 catch a range of South African movies including Uthando and Sarafina! (film) at the Old Fort with Guest of Honour Leleti Khumalo...
11 years ago
Mwananchi09 Dec
Ibada ya maombi kila kona Afrika Kusini
10 years ago
BBCSwahili05 Dec
Mandela akumbukwa Afrika Kusini