IBADA YA KITAIFA AFRIKA KUSINI KUMUAGA MANDELA LEO

Marehemu Nelson Rolihlahla Mandela enzi za uhai wake. Leo inafanyika ibada kubwa ya kitaifa Uwanja wa FNB, Johannesburg kumuaga Nelson Mandela ambapo viongozi mbalimbali watahudhuria ibada hiyo wakiwemo Rais Barrack Obama na mkewe Michelle, Rais Jakaya Kikwete, Rais Robert Mugabe na mkewe, Rais Uhuru Kenyatta na mkewe, Rais Yoweri Museveni, Rais Joyce Banda na wengineo wengi. ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
LEO NI SIKU YA MAOMBI AFRIKA KUSINI KUMKUMBUKA MANDELA
11 years ago
Habarileo11 Dec
Kikwete kumuaga Mandela leo
RAIS Jakaya Kikwete leo ataungana na viongozi wenzake kutoa heshima za mwisho na kuuaga rasmi mwili wa kiongozi mashuhuri wa Afrika Kusini na duniani, Nelson Mandela. Mwili wa Mandela unatarajiwa kuwekwa kwenye majengo ya Urais wa Afrika Kusini ya Union Buildings mjini Pretoria, ambayo sasa yataitwa Majengo ya Kumbukumbu ya Mandela.
11 years ago
Habarileo10 Dec
Ulinzi mkali kumuaga Nelson Mandela leo
LEO ni siku ya kitaifa ya kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Rais wa Kwanza mweusi wa Afrika Kusini, Nelson Mandela.
11 years ago
BBCSwahili08 Dec
Maombi ya kitaifa Afrika Kusini
11 years ago
Mwananchi09 Dec
Ibada ya maombi kila kona Afrika Kusini
10 years ago
BBCSwahili05 Dec
Mandela akumbukwa Afrika Kusini
11 years ago
BBCSwahili08 Dec
Mandela:Siku ya maombi Afrika Kusini
11 years ago
BBCSwahili09 Dec
Bunge la Afrika Kusini kumuenzi Mandela
11 years ago
Mwananchi12 Dec
Mandela alileta mapinduzi ya kiuchumi Afrika ya Kusini