Ulinzi mkali kumuaga Nelson Mandela leo
LEO ni siku ya kitaifa ya kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Rais wa Kwanza mweusi wa Afrika Kusini, Nelson Mandela.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo11 Dec
Kikwete kumuaga Mandela leo
RAIS Jakaya Kikwete leo ataungana na viongozi wenzake kutoa heshima za mwisho na kuuaga rasmi mwili wa kiongozi mashuhuri wa Afrika Kusini na duniani, Nelson Mandela. Mwili wa Mandela unatarajiwa kuwekwa kwenye majengo ya Urais wa Afrika Kusini ya Union Buildings mjini Pretoria, ambayo sasa yataitwa Majengo ya Kumbukumbu ya Mandela.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BpcxhYIbWSbMI6OY0WWIc2VyFcsGV5boMPwOfEHjyRrLsmQquh5EWF*cySa7Jf3b1UWnHqc7kjICp-*PKzR06h8RQAFiQ3oY/Nelson_Mandela_MGN.1372021643.jpg)
IBADA YA KITAIFA AFRIKA KUSINI KUMUAGA MANDELA LEO
Marehemu Nelson Rolihlahla Mandela enzi za uhai wake. Leo inafanyika ibada kubwa ya kitaifa Uwanja wa FNB, Johannesburg kumuaga Nelson Mandela ambapo viongozi mbalimbali watahudhuria ibada hiyo wakiwemo Rais Barrack Obama na mkewe Michelle, Rais Jakaya Kikwete, Rais Robert Mugabe na mkewe, Rais Uhuru Kenyatta na mkewe, Rais Yoweri Museveni, Rais Joyce Banda na wengineo wengi. ...
10 years ago
Mwananchi25 Nov
Ulinzi mkali mdahalo wa Jaji Warioba leo
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova amesema ulinzi utaimarishwa kabla, wakati na baada ya mdahalo maalumu wa Katiba ulioandaliwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere (MNF), kwenye Ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam mzungumzaji mkuu akiwa Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dfIC5s87vIU/VJMbPD9FT1I/AAAAAAAG4To/G71vHFsJaMA/s72-c/unnamed%2B(13).jpg)
JK atunukiwa PHD katika mahafali ya pili ya Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela jijini Arusha leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-dfIC5s87vIU/VJMbPD9FT1I/AAAAAAAG4To/G71vHFsJaMA/s1600/unnamed%2B(13).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Gr6bBGkB-TE/VJMbOz1dJJI/AAAAAAAG4Tg/Fsz3A_nX--U/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/64878000/jpg/_64878424_mandela%2Bnew%2Btitle%2Bframe%2Blayers%2Bclean%2B.jpg)
12 years ago
BBCSwahili25 Jun
Wasifu wa Nelson Mandela
Mandela alikuwa Rais wa zamani wa Afrika Kusini na amefariki akiwa na umri wa miaka
11 years ago
BBCSwahili08 Dec
Maisha ya Nelson Mandela
Nelson Mandela aaga dunia baada ya kuugua homa ya mapafu kwa muda mrefu. Je utamkumbuka vipi Mandela
11 years ago
Mwananchi14 Dec
Maelfu wakwama kumuaga Mandela
Maelfu ya wananchi wa Afrika Kusini wameshindwa kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa Rais wa Kwanza mzalendo wa nchi hiyo, Nelson Mandela kutokana na muda uliopangwa kumalizika.
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/71766000/jpg/_71766680_71765425.jpg)
Nelson Mandela - the final goodbye
Grief-stricken but thankful South Africa pays respects to Mandela
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania