Maelfu wakwama kumuaga Mandela
Maelfu ya wananchi wa Afrika Kusini wameshindwa kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa Rais wa Kwanza mzalendo wa nchi hiyo, Nelson Mandela kutokana na muda uliopangwa kumalizika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili19 Oct
Maelfu ya wakimbizi wakwama Slovenia
11 years ago
Mwananchi15 Apr
Maelfu ya abiria wakwama Ubungo
9 years ago
Habarileo08 Oct
JK aongoza maelfu kumuaga Mchungaji Mtikila
RAIS Jakaya Kikwete ameongoza mamia ya waombolezaji pamoja na viongozi wa kitaifa, katika kumuaga Mwenyekiti wa Chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila aliyekufa kwa ajali hivi karibuni mkoani Pwani.
11 years ago
Habarileo11 Dec
Kikwete kumuaga Mandela leo
RAIS Jakaya Kikwete leo ataungana na viongozi wenzake kutoa heshima za mwisho na kuuaga rasmi mwili wa kiongozi mashuhuri wa Afrika Kusini na duniani, Nelson Mandela. Mwili wa Mandela unatarajiwa kuwekwa kwenye majengo ya Urais wa Afrika Kusini ya Union Buildings mjini Pretoria, ambayo sasa yataitwa Majengo ya Kumbukumbu ya Mandela.
11 years ago
Habarileo10 Dec
Ulinzi mkali kumuaga Nelson Mandela leo
LEO ni siku ya kitaifa ya kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Rais wa Kwanza mweusi wa Afrika Kusini, Nelson Mandela.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BpcxhYIbWSbMI6OY0WWIc2VyFcsGV5boMPwOfEHjyRrLsmQquh5EWF*cySa7Jf3b1UWnHqc7kjICp-*PKzR06h8RQAFiQ3oY/Nelson_Mandela_MGN.1372021643.jpg)
IBADA YA KITAIFA AFRIKA KUSINI KUMUAGA MANDELA LEO
11 years ago
Dewji Blog06 Aug
Maelfu wajitokeza kumuaga mweka hazina wa manispaa ya Ilala marehemu Medard Kabikile Stima, azikwa Jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-K72BT3NSJwY/U-AFlYg-lqI/AAAAAAAA-js/1R7D2bAjqJE/s1600/IMG_3844.jpg)
Pichani ni Watoto wa marehemu Medard Kabikile Stima ambaye alikuwa ni Mweka hazina wa Manispaa ya Ilala wakiwa wamebeba msalaba pamoja na picha kuongoza kuingiza mwili katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam ili kuangwa kiserikali na baadae kuelekea kanisani na kwenye makaburi ya Kinondoni ambapo Agosti 4, 2014 wamempumzisha katika nyumba yake ya milele.
Marehemu Stima alikufa katika ajali ya gari iliyotokea July 31, 2014 karibu na eneo la Bwawani, wakati wakielekea mjini...
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Cape Town wapitisha bajeti ya Sh12.2bil kumuaga Mandela
11 years ago
BBCSwahili10 Dec
Maelfu wamuaga shujaa wa Afrika Mandela