Kikwete kumuaga Mandela leo
RAIS Jakaya Kikwete leo ataungana na viongozi wenzake kutoa heshima za mwisho na kuuaga rasmi mwili wa kiongozi mashuhuri wa Afrika Kusini na duniani, Nelson Mandela. Mwili wa Mandela unatarajiwa kuwekwa kwenye majengo ya Urais wa Afrika Kusini ya Union Buildings mjini Pretoria, ambayo sasa yataitwa Majengo ya Kumbukumbu ya Mandela.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo10 Dec
Ulinzi mkali kumuaga Nelson Mandela leo
LEO ni siku ya kitaifa ya kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Rais wa Kwanza mweusi wa Afrika Kusini, Nelson Mandela.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BpcxhYIbWSbMI6OY0WWIc2VyFcsGV5boMPwOfEHjyRrLsmQquh5EWF*cySa7Jf3b1UWnHqc7kjICp-*PKzR06h8RQAFiQ3oY/Nelson_Mandela_MGN.1372021643.jpg)
IBADA YA KITAIFA AFRIKA KUSINI KUMUAGA MANDELA LEO
11 years ago
Mwananchi14 Dec
Maelfu wakwama kumuaga Mandela
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Cape Town wapitisha bajeti ya Sh12.2bil kumuaga Mandela
11 years ago
GPL15 Dec
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-KycAwceRBkA/Vc8qZGUouBI/AAAAAAAAkDY/7Zxs0jiz5Sc/s72-c/2.jpg)
WIZARA YA UJENZI YAMSHUKURU NA KUMUAGA RAIS KIKWETE
![](http://1.bp.blogspot.com/-KycAwceRBkA/Vc8qZGUouBI/AAAAAAAAkDY/7Zxs0jiz5Sc/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-sPgEb1MAcRU/Vc8qZ6AfM3I/AAAAAAAAkDc/wLsQ2pbWRio/s640/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tJt6Lq_wyPE/Vc8qfGg8LgI/AAAAAAAAkD4/YS64490EPu4/s640/6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UTfedAZEvX4/Vc8qdeCs4hI/AAAAAAAAkDw/-YzXu16z4V4/s640/7.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-pDYyMg9c-lM/Vc8qgZBvllI/AAAAAAAAkEA/-qNkoziGB6M/s640/8.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ie915juMlI8/Vc8qXQsUmwI/AAAAAAAAkDI/JIY2d2V2Y4I/s640/10.jpg)
11 years ago
Habarileo28 Feb
Kikwete aongoza mamia kumuaga Balozi Kazaura
RAIS Jakaya Kikwete na Makamu wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal jana waliongoza mamia ya viongozi wa Serikali, mabalozi wa nchi mbalimbali na wanataaluma, kuaga mwili wa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Balozi Fulgence Kazaura.
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-7pqsI6-VWi4/Vi-8TsaibHI/AAAAAAAEDG4/UYGQFMx63bs/s72-c/Rais%2BJK%2Bna%2BMama%2B1st%2BLady.jpg)
ACHA TUENDELEE KUMUAGA RAIS JAKAYA KIKWETE KWA NYIMBO NZURI
![](http://2.bp.blogspot.com/-7pqsI6-VWi4/Vi-8TsaibHI/AAAAAAAEDG4/UYGQFMx63bs/s640/Rais%2BJK%2Bna%2BMama%2B1st%2BLady.jpg)
NYIMBO ZA KUMUGA RAIS JAKAYA KIKWETE KUTOKA KWAO NGOMA AFRICA
Wakati wananchi tukiendelea kufuatilia matokeo ya uchaguzi mkuu wa kuchagua viongozi wa hawamu ya tano, ni vema basi kujikumbusha yale ambayo yaliyofanyika katika serikali ya hawamu ya nne ya Rais anayemaliza muda amri jeshi mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete.Kwa kupitia njia ya muziki bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU-ughaibuni...
9 years ago
Dewji Blog02 Nov
Vyama vya Siasa kumuaga Rais Kikwete Novemba 3 ukumbi wa JNICC
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Jaji Francis Mutungi akiongea na wajumbe wa Baraza la Vyama vya Siasa (hawapo pichani) wakati wa maandalizi ya hafla ya kumuaga Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete leo jijini Dar es salaam. Hafla hiyo itafanyika Novemba 03, 2015 katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam Dkt. Benson Bana akisistiza jambo wajumbe wa Baraza la Vyama vya Siasa (hawapo...