ACHA TUENDELEE KUMUAGA RAIS JAKAYA KIKWETE KWA NYIMBO NZURI
![](http://2.bp.blogspot.com/-7pqsI6-VWi4/Vi-8TsaibHI/AAAAAAAEDG4/UYGQFMx63bs/s72-c/Rais%2BJK%2Bna%2BMama%2B1st%2BLady.jpg)
TUKINGOJEA MATOKEO YA KURA ...NA HUKU TUNAPATA BURUDANI YA MUZIKI
NYIMBO ZA KUMUGA RAIS JAKAYA KIKWETE KUTOKA KWAO NGOMA AFRICA
Wakati wananchi tukiendelea kufuatilia matokeo ya uchaguzi mkuu wa kuchagua viongozi wa hawamu ya tano, ni vema basi kujikumbusha yale ambayo yaliyofanyika katika serikali ya hawamu ya nne ya Rais anayemaliza muda amri jeshi mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete.Kwa kupitia njia ya muziki bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU-ughaibuni...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7kvT6_DpHB8/Vi74psCYclI/AAAAAAAIC-I/xlbBRUUpmzk/s72-c/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
TUKINGOJEA MATOKEO YA KURA ...NA HUKU TUNAPATA BURUDANI YA MUZIKI NYIMBO ZA KUMUGA RAIS JAKAYA KIKWETE KUTOKA KWAO NGOMA AFRICA
![](http://1.bp.blogspot.com/-7kvT6_DpHB8/Vi74psCYclI/AAAAAAAIC-I/xlbBRUUpmzk/s640/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
11 years ago
Dewji Blog12 Aug
Tanzania imetulia kwa sera nzuri — Rais Kikwete
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete (pichani) amesema kuwa Tanzania imeendelea kuwa nchi tulivu, yenye umoja na yenye amani kwa sababu ya sera nzuri ambazo zilianzishwa na Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere na ambazo zimeendelezwa na viongozi wakuu ambao walimfuatia Mwalimu.
Aidha, Rais Kikwete amesema kuwa Tanzania imefanikiwa kudumisha umoja,mshikamano na utulivu kwa sababu ya kuwa na sera zenye kujumuisha kila mmoja bila kubagua Mtanzania yoyote kwa...
10 years ago
VijimamboRais Edgar Lungu wa Zambia Aandaa Dhifa Kwa Heshima ya Rais Jakaya Kikwete
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S6leBpJ8ovDa8gg1JbDAAbi0Q91eAnwd0VN1zkq5QVCnzVQHuX2l21uI7kOCE9sLdobeCax0KwC*9Y0Ru2ceieICXSqttMio/makonda2.jpg?width=650)
SALAMU ZA PONGEZI KWA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE
10 years ago
Mwananchi19 Aug
Lawama ziende kwa wajumbe wa Katiba, si Rais Jakaya Kikwete
10 years ago
Dewji Blog15 May
Rais Jakaya Kikwete awapongeza Madaktari bingwa wa Moyo kwa upasuaji
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na kisha kupiga picha ya pamoja na madaktari wa Shirika lisilo la kiserikali la Al Muntada lenye makao yake makuu jijini London Uingereza wanaoendesha zoezi la upasuaji na tiba ya moyo kwa zaidi ya watoto 70 katika hospitali ya taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam jana. (Picha na Freddy Maro).
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gp85O2XzVxg44hKjUa7FivGFbP-vnjLRVZM2pIv6Ieb-h7QbzODJLFlzNtOXATS73kFnTPagKYZBPNEIH01T4kQDBC0ssLFE/RAISKIKWETE.jpg?width=650)
BARUA KWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, JAKAYA MRISHO KIKWETE
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/pPk-GXrSMhY/default.jpg)
9 years ago
VijimamboRAIS DK. JAKAYA KIKWETE ATOA ZAWADI YA IDD EL HAJI KWA MAKUNDI MBALIMBALI