TUKINGOJEA MATOKEO YA KURA ...NA HUKU TUNAPATA BURUDANI YA MUZIKI NYIMBO ZA KUMUGA RAIS JAKAYA KIKWETE KUTOKA KWAO NGOMA AFRICA
![](http://1.bp.blogspot.com/-7kvT6_DpHB8/Vi74psCYclI/AAAAAAAIC-I/xlbBRUUpmzk/s72-c/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
Wakati wananchi tukiendelea kufuatilia matokeo ya uchaguzi mkuu wa kuchagua viongozi wa awamu ya tano, ni vema basi kujikumbusha yale ambayo yaliyofanyika katika serikali ya hawamu ya nne ya Rais anayemaliza muda Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete.Kwa kupitia njia ya muziki bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU-ughaibuni chini ya uongozi wake mtunzi gwiji kamanda Ras Makunja wameshusha nyimbo mbili za kumuaga Rais Jakaya KIkwete na kuyaimba...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-uosrlZNnz7w/VDQEr2G-K1I/AAAAAAADI5A/NNHdAbdrXq4/s72-c/president-jakaya-kikwete_portrait1.jpg)
NGOMA AFRICA BAND YATOA SALAM ZA HERI YA SIKU YA KUZALIWA RAIS DR.JAKAYA KIKWETE
![](http://2.bp.blogspot.com/-uosrlZNnz7w/VDQEr2G-K1I/AAAAAAADI5A/NNHdAbdrXq4/s1600/president-jakaya-kikwete_portrait1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TPRKLd0GgXA/VDP5_Q9a_9I/AAAAAAAGoiQ/mP-2ahXDY2Q/s72-c/Jk.jpg)
NGOMA AFRICA BAND YATOA SALAM ZA HERI YA SIKU YA KUZALIWA RAIS DR. JAKAYA KIKWETE
![](http://4.bp.blogspot.com/-TPRKLd0GgXA/VDP5_Q9a_9I/AAAAAAAGoiQ/mP-2ahXDY2Q/s1600/Jk.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-7pqsI6-VWi4/Vi-8TsaibHI/AAAAAAAEDG4/UYGQFMx63bs/s72-c/Rais%2BJK%2Bna%2BMama%2B1st%2BLady.jpg)
ACHA TUENDELEE KUMUAGA RAIS JAKAYA KIKWETE KWA NYIMBO NZURI
![](http://2.bp.blogspot.com/-7pqsI6-VWi4/Vi-8TsaibHI/AAAAAAAEDG4/UYGQFMx63bs/s640/Rais%2BJK%2Bna%2BMama%2B1st%2BLady.jpg)
NYIMBO ZA KUMUGA RAIS JAKAYA KIKWETE KUTOKA KWAO NGOMA AFRICA
Wakati wananchi tukiendelea kufuatilia matokeo ya uchaguzi mkuu wa kuchagua viongozi wa hawamu ya tano, ni vema basi kujikumbusha yale ambayo yaliyofanyika katika serikali ya hawamu ya nne ya Rais anayemaliza muda amri jeshi mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete.Kwa kupitia njia ya muziki bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU-ughaibuni...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HFw6g62gi08/VLlVTVEHGNI/AAAAAAAG94k/4wN6FPME5T8/s72-c/unnamed%2B(38).jpg)
RAIS DKT. JAKAYA KIKWETE AKUTANA NA WAJUMBE WA JOPO LA KUTATHMINI PROGRAMU YA TEKELEZA KWA MATOKEO MAKUBWA SASA (BRN)
10 years ago
Vijimambo24 Jul
RAIS JAKAYA KIKWETE AAGANA NA MABALOZI KUTOKA INDIA, UBELGIJI NA SWEDEN WALIOMALIZA MUDA WAO WA KAZI NCHINI
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/178.jpg)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na balozi wa India anayemaliza muda wake Mhe.Debnath Shaw wakati balozi huyo alipokwenda kumuaga ikulu jijini Dar es Salaam leo. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete leo ameagana na mabalozi watatu wanaoziwakilisha nchi zao Tanzania baada ya kumaliza muda wao wa kazi . Mabalozi walioagana na Rais leo ikulu jijini Dar es Salaam ni pamoja na Mhe.Debnath Shaw wa India,Balozi Koenraad Adam wa Ubelgiji na balozi Lennarth Hjelmaker wa Sweden.
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/269.jpg)
10 years ago
Dewji Blog09 Jul
Zoezi la uboreshwaji daftari la wapigakura laendelea mkoani Pwani, Rais Jakaya Kikwete ajiandikisha kupiga kura kwa kutumia BVR kijijini Msoga
![](http://1.bp.blogspot.com/-fqx6KUK-GfE/VZvay-k9RdI/AAAAAAAHnkk/mdbvjlqUoUY/s640/unnamed%2B%252884%2529.jpg)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akijiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura kwa kutumia mfumo mpya wa kielektoniki(Biometric Voters Register( BVR) katika kijiji cha Msoga,kata ya Msoga wilayani Bagamoyo jana.Kulia akiangalia kwa makini ni mwandikishaji msaidizi Bi.Happyness Thomas Misana na katikati ni Afisa TEHAMA kutoka ofisi Tume ya Taifa Uchaguzi Bi.Mariam Rajabu.Kushoto aliyesimama akishuhudia ni Mbunge wa Chalinze Ridhwani Kikwete.
![](http://4.bp.blogspot.com/-pSNrhvcekYU/VZvardPvU5I/AAAAAAAHnkI/feqVw7MiFDs/s1600/unnamed%2B%252885%2529.jpg)
Afisa TEHAMA kutoka ofisi ya Tume ya...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ijjA2qLKNfY/U0q0WmQnqwI/AAAAAAAFafI/LfNZMZHyhP0/s72-c/unnamed+(15).jpg)
NGOMA AFRICA BAND YA UJERUMANI YAOMBOLEZA KIFO CHA MWANA MUZIKI MKONGWE MUHIDIN GURUMO (RIP)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ijjA2qLKNfY/U0q0WmQnqwI/AAAAAAAFafI/LfNZMZHyhP0/s1600/unnamed+(15).jpg)
9 years ago
Dewji Blog17 Oct
Makamu wa Rais Dkt. Bilal amwakilisha Rais Jakaya Kikwete, azindua HALOTEL TANZANIA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal (katikati) akizungumza jambo na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (kushoto) na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick, wakati walipokuwa kwenye Hafla ya uzinduzi wa Mtandao mpya wa simu za Halotel Tanzania, iliyofanyika kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro jijini Dar es Salaam, jana usiku Okt 15, 2015. Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na...