Zoezi la uboreshwaji daftari la wapigakura laendelea mkoani Pwani, Rais Jakaya Kikwete ajiandikisha kupiga kura kwa kutumia BVR kijijini Msoga
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akijiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura kwa kutumia mfumo mpya wa kielektoniki(Biometric Voters Register( BVR) katika kijiji cha Msoga,kata ya Msoga wilayani Bagamoyo jana.Kulia akiangalia kwa makini ni mwandikishaji msaidizi Bi.Happyness Thomas Misana na katikati ni Afisa TEHAMA kutoka ofisi Tume ya Taifa Uchaguzi Bi.Mariam Rajabu.Kushoto aliyesimama akishuhudia ni Mbunge wa Chalinze Ridhwani Kikwete.
![](http://4.bp.blogspot.com/-pSNrhvcekYU/VZvardPvU5I/AAAAAAAHnkI/feqVw7MiFDs/s1600/unnamed%2B%252885%2529.jpg)
Afisa TEHAMA kutoka ofisi ya Tume ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboRais Kikwete ajiandikisha Kupiga kura kwa kutumia BVR Msoga leo
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fqx6KUK-GfE/VZvay-k9RdI/AAAAAAAHnkk/mdbvjlqUoUY/s72-c/unnamed%2B%252884%2529.jpg)
JK ajiandikisha Kupiga kura kwa kutumia BVR kijijini Msoga leo, ZAIDI YA WATU MILIONI 11 WAJIANDIKISHA NCHINI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZNt8FIknlRMZ1yTqjSCybQkv*VbKRBp3tZ8I9CY1sg1R5Q-OD7-rCalB-vkjPOIeTMaJu7-zZgtU6gy86AKX33MvmQOAadHo/22.jpg?width=650)
JK AJIANDIKISHA KUPIGA KURA KWA KUTUMIA BVR KIJIJINI MSOGA JANA, ZAIDI YA WATU MILIONI 11 WAJIANDIKISHA NCHINI
9 years ago
Dewji Blog07 Nov
Rais Mstaafu Jakaya Kikwete aondoka rasmi Ikulu na kuelekea kijijini Msoga
![](http://3.bp.blogspot.com/-hNMf7QFmRlo/VjyoOnVwk1I/AAAAAAAIEo8/q9JZUsKjMVA/s640/bye1.jpg)
Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiagana na watumishi wa Ofisi ya Rais Ikulu wakati wakiondoka rasmi katika jumba hilo waliloishi akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa miaka 10 iliyopita na kurudi kijijini Msoga. kushoto kwake ni Rais wa awamu ya tano Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.
![](http://2.bp.blogspot.com/-OypXjzTqX_s/VjyoOe_1ZdI/AAAAAAAIEo0/Oye2IBrFo5g/s640/bye2.jpg)
Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na watumishi wa Ofisi ya Rais Ikulu wakati akiondoka rasmi katika jumba hilo...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zOTWqsPeBOo/VngUBz5wg5I/AAAAAAAINt4/dqLwJ23ORN4/s72-c/ms14.jpg)
RAIS DKT MAGUFULI ASHIRIKI MAZISHI YA DADA YAKE RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE KIJIJINI MSOGA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-zOTWqsPeBOo/VngUBz5wg5I/AAAAAAAINt4/dqLwJ23ORN4/s640/ms14.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IMLXm88YdEA/VngUBqCqKdI/AAAAAAAINt0/OAfg7daVnz8/s640/ms15.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cMLjGldeRQI/VngUCPMcpoI/AAAAAAAINuA/vYzlQoMJjKk/s640/ms16.jpg)
9 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-hNMf7QFmRlo/VjyoOnVwk1I/AAAAAAAIEo8/q9JZUsKjMVA/s640/bye1.jpg)
RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE AONDOKA RASMI IKULU NA KUELEKEA KIJIJINI MSOGA LEO
9 years ago
MichuziRais Kikwete apiga kura Kijijini Kwake Msoga.
MKE WA...
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan ashiriki mazishi ya dada yake Rais Mstaafu Jakaya Kikwete Kijijini Msoga
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Samia Suluhu Hassan, akipokelewana Mke wa Rais Mstaafu Mama Salma Kikwete,wakati alipowasili kwenye msiba wa Dada yake na Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Dkt. Jakaya Kikwete, jana kijini Msoga Mkoa wa Pwani. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwafariji baadhi ya wanafamilia wa Marehemu Tausi Khalfani Kikwete, aliyekuwa Dada yake na Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Kikwete, kijijini...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hNMf7QFmRlo/VjyoOnVwk1I/AAAAAAAIEo8/q9JZUsKjMVA/s72-c/bye1.jpg)
NEWS ALERT: RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE AONDOKA RASMI IKULU NA KUELEKEA KIJIJINI MSOGA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-hNMf7QFmRlo/VjyoOnVwk1I/AAAAAAAIEo8/q9JZUsKjMVA/s640/bye1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OypXjzTqX_s/VjyoOe_1ZdI/AAAAAAAIEo0/Oye2IBrFo5g/s640/bye2.jpg)