WIZARA YA UJENZI YAMSHUKURU NA KUMUAGA RAIS KIKWETE
![](http://1.bp.blogspot.com/-KycAwceRBkA/Vc8qZGUouBI/AAAAAAAAkDY/7Zxs0jiz5Sc/s72-c/2.jpg)
Waziri wa Ujenzi Dk.John Pombe Magufuli akisalimiana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Mhandisi Mbogo Mfutakamba wakati akiwasili kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja kwenye hafla ya kumuaga Rais wa Jamhuri ya Muungano Dk.Jakaya Mrisho Kikwete.
Waziri wa Ujenzi Dk.John Pombe Magufuli akisalimiana na Mhandisi Stella Manyanya wakati akiwasili Mnazi Mmoja kwenye hafla maalumiliyoandaliwa na Wizara ya Ujenzi ya kumuaga Raiswa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete.
Ilikuwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog23 Apr
CHADEMA yamshukuru Rais Kikwete kwa maendeleo
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimtwisha ndoo ya maji mmoja wa wakazi wa mji wa Karatuwakati Rais alipozindua mradi wa maji katika mji wa Karatu.(Picha na Freddy Maro).
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kwa kuchangia kwa kiasi kikubwa maendeleo ya Wilaya ya Karatu katika Mkoa wa Arusha.
Aidha, chama hicho kimempongeza Rais Kikwete kwa kusambaza maendeleo kwa Watanzania wote bila kujali...
9 years ago
Dewji Blog02 Nov
Vyama vya Siasa kumuaga Rais Kikwete Novemba 3 ukumbi wa JNICC
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Jaji Francis Mutungi akiongea na wajumbe wa Baraza la Vyama vya Siasa (hawapo pichani) wakati wa maandalizi ya hafla ya kumuaga Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete leo jijini Dar es salaam. Hafla hiyo itafanyika Novemba 03, 2015 katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam Dkt. Benson Bana akisistiza jambo wajumbe wa Baraza la Vyama vya Siasa (hawapo...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-7pqsI6-VWi4/Vi-8TsaibHI/AAAAAAAEDG4/UYGQFMx63bs/s72-c/Rais%2BJK%2Bna%2BMama%2B1st%2BLady.jpg)
ACHA TUENDELEE KUMUAGA RAIS JAKAYA KIKWETE KWA NYIMBO NZURI
![](http://2.bp.blogspot.com/-7pqsI6-VWi4/Vi-8TsaibHI/AAAAAAAEDG4/UYGQFMx63bs/s640/Rais%2BJK%2Bna%2BMama%2B1st%2BLady.jpg)
NYIMBO ZA KUMUGA RAIS JAKAYA KIKWETE KUTOKA KWAO NGOMA AFRICA
Wakati wananchi tukiendelea kufuatilia matokeo ya uchaguzi mkuu wa kuchagua viongozi wa hawamu ya tano, ni vema basi kujikumbusha yale ambayo yaliyofanyika katika serikali ya hawamu ya nne ya Rais anayemaliza muda amri jeshi mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete.Kwa kupitia njia ya muziki bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU-ughaibuni...
11 years ago
Mwananchi23 Apr
Chadema Karatu yamshukuru Kikwete kwa maendeleo
5 years ago
MichuziRAIS DKT. SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA WIZARA YA UJENZI MAWASILIANO NA USAFIRISHAJI ZANZIBAR
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Rais Kikwete aongeza muda ujenzi wa maabara
10 years ago
MichuziRais Kikwete akagua ujenzi wa Mikutano wa Kimataifa wa Dodoma
Muonekano wa ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Dodoma.(picha na...
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AZINDUA UJENZI WA DARAJA LA GULWE MPWAPWA
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xY1pPoejRw4/ViE9yfB9OYI/AAAAAAAIAZs/B7omQjsZMpM/s72-c/1-D92A8294.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA UJENZI WA BANDARI YA MBEGANI BAGAMOYO
![](http://4.bp.blogspot.com/-xY1pPoejRw4/ViE9yfB9OYI/AAAAAAAIAZs/B7omQjsZMpM/s640/1-D92A8294.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10