RAIS KIKWETE AZINDUA UJENZI WA DARAJA LA GULWE MPWAPWA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete wakwanza kushoto akiwa na Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli, Mbunge wa Mpwapwa Mheshimiwa Gregory Teu pamoja na Mbunge wa Kibakwe ambaye pia ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mheshimiwa George Simbachawene, akiweka jiwe la msingi kama ishara ya kuzindua rasmi ujenzi wa Daraja la Mto Gulwe lenye urefu wa mita 170 litakalo unganisha kati ya Wilaya ya Mpwapwa na Kibakwe.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-skE2dv8Rwgc/Vfip-OKz29I/AAAAAAAH5J0/v-49MLsFWiA/s72-c/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA RASMI DARAJA LA KIKWETE JUU YA MTO MALAGARASI MKOANI KIGOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-skE2dv8Rwgc/Vfip-OKz29I/AAAAAAAH5J0/v-49MLsFWiA/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-TDdxDK1nDJg/Vfip-AY5GbI/AAAAAAAH5J4/IME8RQpqB50/s640/unnamed%2B%252834%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Aug
Rais Kikwete aandika historia: Aanzisha ujenzi Daraja la Kilombero
Magari yakivuka juu ya daraja la muda la Mto Kilombero lililojengwa kurahisisha kazi za ujenzi wa daraja la kudumu katika wilaya ya Kilombero Mkoa wa Morogoro, wakati wa sherehe za uwekaji jiwe la msingi wa ujenzi wa darajan hilo na Rais Jakaya Mrisho Kikwete Agosti 20, 2014.
Historia imeandikwa Jumatano, Agosti 20, 2014 katika Mkoa wa Morogoro na katika Tanzania. Kwa mara ya kwanza tokea enzi na enzi, magari yameweza kuvuka Mto wa Kilombero, moja ya mito mikubwa zaidi nchini, mpakani mwa...
9 years ago
MichuziMKAPA AMPONGEZA RAIS KIKWETE, NSSF UJENZI DARAJA LA KIGAMBONI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ONx6AI1isGk/U_WqfmiBIKI/AAAAAAAGBFY/RRB-6ksra0Y/s72-c/unnamed%2B(65).jpg)
RAIS KIKWETE AWEKA JIWE LA MSINGI LA UJENZI WA DARAJA LA KILOMBERO
![](http://1.bp.blogspot.com/-ONx6AI1isGk/U_WqfmiBIKI/AAAAAAAGBFY/RRB-6ksra0Y/s1600/unnamed%2B(65).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-w7CMGL8y0cI/U_Wqh-kYvpI/AAAAAAAGBFw/o_8b2yABlUE/s1600/unnamed%2B(66).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xY1pPoejRw4/ViE9yfB9OYI/AAAAAAAIAZs/B7omQjsZMpM/s72-c/1-D92A8294.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA UJENZI WA BANDARI YA MBEGANI BAGAMOYO
![](http://4.bp.blogspot.com/-xY1pPoejRw4/ViE9yfB9OYI/AAAAAAAIAZs/B7omQjsZMpM/s640/1-D92A8294.jpg)
11 years ago
GPLTRENI YA MIZIGO YAPATA AJALI ENEO LA GULWE WILAYA YA MPWAPWA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KmBpjlp_aeU/VJcEfxW8DbI/AAAAAAAG428/1TLdMN7W1jk/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
Rais Kikwete azindua mradi wa ujenzi Nyumba za maafisa wa jeshi
![](http://4.bp.blogspot.com/-KmBpjlp_aeU/VJcEfxW8DbI/AAAAAAAG428/1TLdMN7W1jk/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
Picha na Freddy Maro
![](http://4.bp.blogspot.com/-3tIYWTHu9i4/VJcEf756p4I/AAAAAAAG424/4ZWlAakb9aw/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
10 years ago
Dewji Blog08 Oct
Rais Kikwete asifu juhudi za NSSF kuwezesha mradi wa daraja la Kigamboni na ujenzi wa nyumza za gharama nafuu
Rais Jakaya Kikwete akisisitiza jambo wakati wa ziara yake ya kutembelea mradi wa daraja la Kigamboni inayofadhiliwa na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), pamoja na kuweka jiwe la msingi katika mradi wa nyumba za gharama nafuu zilizopo Kijichi Dar es Salaam.
Na Mwandishi Wetu
Rais Jakaya Kikwete ametembelea daraja la Kigamboni, Dar es Salaam, jana, ambapo ameagiza changamoto zilizoanishwa zitatuliwe haraka kabla mradi haujamalizika.
Akizungumza wakati wa kupokea taarifa ya ujenzi...