RAIS KIKWETE AZINDUA UJENZI WA BANDARI YA MBEGANI BAGAMOYO
![](http://4.bp.blogspot.com/-xY1pPoejRw4/ViE9yfB9OYI/AAAAAAAIAZs/B7omQjsZMpM/s72-c/1-D92A8294.jpg)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi kutoka Usultani wa Oman Hon.Dr.Ahmed Mohamed Al Furaisi na Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya China Merchants Group Dkt. Hu Jianhua wakichanganya kokoto kuzindua rasmi ujenzi wa Bandari ya Mbegani iliyopo wilayani Bagamoyo Mkoa wa Pwani leo.Bandari hiyo kubwa inajengwa kwa ubia kati ya serikali ya Tanzania, China na Oman.(Picha na Freddy Maro).
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CzZYTL-L8Pg/Vh2nXF7mH4I/AAAAAAAH_1o/OWGt9MiTeWs/s72-c/kikwete.jpg)
RAIS KIKWETE KUWEKA JIWE LA MSINGI LA UJENZI WA BANDARI YA BAGAMOYO
![](http://1.bp.blogspot.com/-CzZYTL-L8Pg/Vh2nXF7mH4I/AAAAAAAH_1o/OWGt9MiTeWs/s320/kikwete.jpg)
Mradi huo wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo utakaokuwa wa aina yake Afrika Mashariki na Kati, unatarajiwa kugharimu dola za Marekani bilioni 10.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari na Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu Dk Florens Turuka, Rais Kikwete ataweka jiwe hilo la msingi kwa ajili ya uzinduzi wa awamu ya kwanza ya mradi; ambayo ni...
9 years ago
MichuziRAIS JAKAYA KIKWETE KUWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA UJENZI WA BANDARI YA BAGAMOYO
9 years ago
Dewji Blog17 Oct
Rais Jakaya Kikwete ahimiza amani ilikuvutia zaidi wawekezaji, azindua rasmi jiwe la msingi Bandari ya Bagamoyo
Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete (katikati) akiwa sambamba na viongozi waandamizi wa China na Oman wakichanganya mchanga kwa pamoja na kuweka kwenye kalai kuashiria tukio hilo la ufunguzi wa jiwe la Msingi la ujenzi wa bandari ya Kisasa ya Bagamoyo kwa msaada wa nchi hizo mbili za China na Oman. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).
Na Andrew Chale, Modewjiblog.
[BAGAMOYO-PWANI] Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete amewahimiza watanzania kuendelea kuienzi...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qNsjO9eUmyE/UyW-iwg4ckI/AAAAAAAFT_Q/DnzdVAEfPfA/s72-c/unnamed+(40).jpg)
TATHMINI YA ARDHI YA BANDARI MPYA YA MBEGANI, BAGAMOYO, YAKAMILIKA
9 years ago
MichuziWAKAZI WA BAGAMOYO WA ENEO LA BANDARI WAFANYIWE TATHIMINI UPYA-RAIS KIKWETE
Dk.Kikwete ameyasema hayo leo Bagamoyo wakati wa kuweka jiwe la msingi la uzinduzi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo ,amesema kuwa wananchi wasiondoke katika maeneo yao wakiwa na manunguniko.
Amesema kuwa mradi wa ujenzi ni mkubwa hivyo wananchi wanatakiwa kupewa haki yake kutokana na eneo ikiwa pamoja na kujengewa...
10 years ago
GPLRAIS KIKWETE AZINDUA RASMI UPANUZI WA BARABARA YA NEW BAGAMOYO SEHEMU YA MWENGE - TEGETE LEO
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AZINDUA UJENZI WA DARAJA LA GULWE MPWAPWA
9 years ago
Mwananchi30 Nov
Ujenzi wa bandari, viwanda kuathiri mazingira Bagamoyo
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KmBpjlp_aeU/VJcEfxW8DbI/AAAAAAAG428/1TLdMN7W1jk/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
Rais Kikwete azindua mradi wa ujenzi Nyumba za maafisa wa jeshi
![](http://4.bp.blogspot.com/-KmBpjlp_aeU/VJcEfxW8DbI/AAAAAAAG428/1TLdMN7W1jk/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
Picha na Freddy Maro
![](http://4.bp.blogspot.com/-3tIYWTHu9i4/VJcEf756p4I/AAAAAAAG424/4ZWlAakb9aw/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10